Ni kwanini Vitabu vya Kiimani (Dini) vimepinga Mwanamke kuwa Kiongozi / Mtawala?

Ni kwanini Vitabu vya Kiimani (Dini) vimepinga Mwanamke kuwa Kiongozi / Mtawala?

Mwanamke ni dhaifu Sana.
Mungu alilijuwa hilo.

Mfano.
_Utamnunulia gari la thamani kubwa.
Atakuja kukusaliti kwa mwanaume anayemuwekea mafuta ya 6000.

-- utampa 20000 akale chips ,atakusaliti kwa mwanaume atakaye mnunulia soda ya 500.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Ila nyie mbona mnatudharau hivyo jamani?
Kweli soda ya jero....kweli?!! 😥 Labda kama mwanamke wako hakupendi!
 
Biblia haijakataza mwanamke...
Ila kwenye kutawala happy hatuna mifano ya mitume, manabii, watawala wote wa misri na Israeli hakuwahi kutokea mwanamke.
...
Nitachagia baadaye kwa urefu, ila soma...
Waamuzi 4:4
Neemia 6:
Kutoka 15:20
Luka 2:36
2Chronicles 34:
 
Kwa sababu madhaifu yao ni mengi kiasi cha kupelekea hatari kubwa wanapokuwa viongozi na hilo halina ubishi na asili ya mwanamke ni kuingozwa na mwanaume.
 
Mkumbuke kuwa mwanamke ndiye anaemiliki UTAMU WA DUNIA hivyo hayupo mwenye uwezo wa kusimamia hayo mawazo ya hivyo vitabu. Mtu anakabidhiwa msambwanda na sheria zote zinavunjwa hivi ninyi ni kitu gani hamjui? Hivi mliwaji jiuliza kwanini shetani alipitia kwa mwanamke?
 
Back
Top Bottom