Ni kwanini Vitabu vya Kiimani (Dini) vimepinga Mwanamke kuwa Kiongozi / Mtawala?

Ni kwanini Vitabu vya Kiimani (Dini) vimepinga Mwanamke kuwa Kiongozi / Mtawala?

Auche kulinganisha Ukristo na uislam. They are two different things and mungu wa waislam si Mungu wa Bwana Yesu Kristo. Period.

Wapi Biblia imekataza wanawake kuwa viongozi?

1 Timothy 2:11-12

King James Version

11 Let the woman learn in silence with all subjection.
12 But I suffer not a woman to teach, nor to usurp authority over the man, but to be in silence.

read between the lines
 
Na je, Mwenyezi Mungu aliona nini mpaka Kulisemea hili mpaka Kusisitiza kabisa kuwa Mwanaume ndiyo awe Kiongozi na kuainisha Majukumu ya Mwanamke na Ukomo wake?

Kwenye Kitabu cha Quran ( cha Waislamu ) hiyo Aya nimeiona na imesisitizwa kweli kweli na naomba kama kuna anayejua Aya inayosema hivi katika Kitabu cha Biblia ( cha Wakristo ) aniwekee hapa.
Mleta mada ungeweka vifungu mwenyewe badala ya kuwasakizia wenzako walete
 
Auche kulinganisha Ukristo na uislam. They are two different things and mungu wa Waislam si Mungu wa Bwana Yesu Kristo. Period.

Wapi Biblia imekataza wanawake kuwa viongozi?
1 mitume 2:11
 
Na je, Mwenyezi Mungu aliona nini mpaka Kulisemea hili mpaka Kusisitiza kabisa kuwa Mwanaume ndiyo awe Kiongozi na kuainisha Majukumu ya Mwanamke na Ukomo wake?

Kwenye Kitabu cha Quran (cha Waislamu) hiyo Aya nimeiona na imesisitizwa kweli kweli na naomba kama kuna anayejua Aya inayosema hivi katika Kitabu cha Biblia (cha Wakristo) aniwekee hapa.

Tuyaheshimu sana Maagizo ya Mungu!
inawanufaisha wazazi wenye watoto wa kike tupu
 
Na je, Mwenyezi Mungu aliona nini mpaka Kulisemea hili mpaka Kusisitiza kabisa kuwa Mwanaume ndiyo awe Kiongozi na kuainisha Majukumu ya Mwanamke na Ukomo wake?

Kwenye Kitabu cha Quran (cha Waislamu) hiyo Aya nimeiona na imesisitizwa kweli kweli na naomba kama kuna anayejua Aya inayosema hivi katika Kitabu cha Biblia (cha Wakristo) aniwekee hapa.

Tuyaheshimu sana Maagizo ya Mungu!
sasa unakuta mwanamke kichwani yuko smart akili anayo ya kutosha kwanini wasimpe uongozi?

hivi huoni hata skuizi watoto wa kike wanavokimbiza kwenye elimu? utakuta div one zote ni za wa kike hizo zingine ndo za wa kiume.

kama akili zipo kwanini wasipewe uongozi?
 

1 Timothy 2:11-12​

King James Version​

11 Let the woman learn in silence with all subjection.
12 But I suffer not a woman to teach, nor to usurp authority over the man, but to be in silence.

read between the lines
The Bible has no between lines, everything is clear. There we are, let us go.
  • Deborah – Judge, Prophetess, and Leader - Judges 4:8-9
  • Miriam – Prophetess and Leader - Exodus 15:20-21
  • Priscilla – Evangelist, Missionary, and Leader - Act 18:26
  • Naomi – Mother, Mentor, and Leader- Ruth 4:14-17
  • Hannah – Prayer Warrior and Leader - 1 Samuel 1:11
  • Esther 4:14 - Esther – Queen, Intercessor, and Leader
  • Industrious, Wise and a Leader- Proverbs 31:17-18
  • Let’s look at some key leadership traits she has….
    • She is trustworthy (Proverbs 31:11)
    • She is a hard worker and industrious (Proverbs 31:14-18)
    • She provides for the less fortunate (Proverbs 31:19-20)
    • She plans ahead (Proverbs 31:21)
    • Places of influence (Proverbs 31:23)
    • She is productive (Proverbs 31:24)
    • She is wise and kind (Proverbs 31:25)
    • She takes care of those under her (Proverbs 31:27)
    • She fears the Lord (Proverbs 31:30)
  • Joshua 2:11-13 Rahab – Seeker of Truth, Protector, and Leader
  • Romans 16:1-2 Phoebe – A Servant Leader
  • Tabitha – Philanthropist, and Leader - Acts 9:36
  • Lydia – Entrepreneur, and Leader Acts 16:14
  • The Women at the Tomb – The First Evangelist - Acts 9:36
  • Bad Women Leader of the Bible
    • Potiphar's Wife – Power Trip, Delilah – Cunning and Persuasion and
    • Jezebel – Political and Religious Dictatorship
  • We probably need a separate moment to jointly digest what it is in 1 Timothy 2:11-12 Blessings and peace. Good night.
 
Mola alikua anachuki nawanawake hata ukiangalia jinsi alivowaamlisha wavae mpaka kujifunika nyuso zao sijui mola alikosewaga Nini nahawa viumbe
Unakiburi sasaivi kwa sababu unavuta pumzi bure hulipii sio, endelea na kiburi chako
 
Mwanamke anaweza kutongozwa na kiongozi adui jirani yake alaf akaenda kuihonga nchi kiuzembe na tukatawaliwa milele
 
Auche kulinganisha Ukristo na uislam. They are two different things and mungu wa Waislam si Mungu wa Bwana Yesu Kristo. Period.

Wapi Biblia imekataza wanawake kuwa viongozi?
Kwahiyo wakristo na waislam wameumbwa na miungu tofauti? Pathetic

Hapo ni wazi kuna dini moja tu ya Haki na waliofuta dini( miungu) nyingine (mingine) watakuwa wameangamia.
 
Na je, Mwenyezi Mungu aliona nini mpaka Kulisemea hili mpaka Kusisitiza kabisa kuwa Mwanaume ndiyo awe Kiongozi na kuainisha Majukumu ya Mwanamke na Ukomo wake?

Kwenye Kitabu cha Quran (cha Waislamu) hiyo Aya nimeiona na imesisitizwa kweli kweli na naomba kama kuna anayejua Aya inayosema hivi katika Kitabu cha Biblia (cha Wakristo) aniwekee hapa.

Tuyaheshimu sana Maagizo ya Mungu!
Recite hayo maandiko
 
na pia hata namna ya uvaaji umeelezwa vizuri tu lakini ni vile tu watu hawafatilii hilo jambo,,
Refer to post hiyo ya aizna

sawa kabisa
FB_IMG_1642929800400.jpg


Sent from my SM-G935S using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo wakristo na waislam wameumbwa na miungu tofauti? Pathetic

Hapo ni wazi kuna dini moja tu ya Haki na waliofuta dini( miungu) nyingine (mingine) watakuwa wameangamia.
Yesu ndiye njia, mtu haendi kwa Baba (yaani Mungu), ila kwa njia ya Yesu. Yohana 14:6; Siasa, Ideolojia, filosofia, hazibadilishi ukweli huu.
Wwe na hao wenzako, mwaminini Bwana Yesu Kristo mpate kuokolewa, wala si moamedi wala alla Matendo ya Mitume 16:31.

Ukiongea habar za uumbaji, Mungu peke yake ndiye aliyeumba watu na vitu vyote, hiyo miungu inayoitwa, mizimu, alla, dagoni, baal, bikira maria, olimpiki, hyperion, helios, selene, lapetos, oekanos, klymene, koios, kreios, eurybia, zeus, rhea, mneosyne, okeanos, hades, demeter, poseidon, themis, tethys, theia, hyperion, anansi, bumba, kaang, anubis, gu, mami wata, nana-buluku, ngai, takhar, kubi, etc ni miungu inayoabudiwa na watu wasiomjua Mungu Muumbaji. Wanaabuduo kama muiungu kwao kwa kutokumjua Mungu Mkuu, muumba wa vitu vyote.

Yaani mnaabudu miungu isiyowaumba kwa kuwa hammjui Mungu aliyewaumba wala hammtambui. Na kwa bahati mbaya hasa mkiwa wabishi mnaojifanya kujua wakati hamjui.
Kwa hiyo usilazimishe kwamba Mungu muumbaji, yaani YHVH, ndiye hiyo ama yuko swa na hiyo miungu yenu.
Na usim reduce Mungu muumbaji into the level of your religions!. Mungu hana dini wala Kristo Yesu hakuleta dini isipokuwa wokovu kwa kupitia yeye dunia ikombolewe.
Wafilipi 2: 9 -11,
Matendo ya mitume 4: 12.
Warumi 14:11
Isaya 9: 6-7,
Luka 1: 26 - 34
31 Sikiliza, utapata mimba, nawe utazaa mtoto wa kiume; na utamwita jina lake Yesu. 32 Mtoto huyo atakuwa mkuu na ataitwa Mwana wa Aliye Juu. Na Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Mfalme Daudi, baba yake. 33 Atatawala juu ya nyumba ya Yakobo daima; na ufalme wake hau takuwa na mwisho!”
34 Mariamu akamwuliza malaika, “Lakini, nitapataje mimba, na mimi ni bikira?” 35 Malaika akamjibu, “Roho Mtakatifu ata kujilia na nguvu za Mungu zitakufunika kama kivuli, na kwa hiyo mtoto atakayezaliwa atakuwa mtakatifu na ataitwa Mwana wa Mungu.

Luka 2: 2 - 21
2 Siku zile Kaisari Augusto, mtawala wa milki ya Kirumi, aliamuru ya kwamba watu wote wa milki yake waandikishwe. 2 Hii ilikuwa ni sensa ya kwanza kufanyika nayo ilitokea wakati Kirenio alipokuwa liwali wa Siria. 3 Watu wote walikwenda katika sehemu walikozaliwa ili waandikishwe huko. 4 Yusufu alitoka mji wa Nazareti uliopo Galilaya akaenda mpaka Bethlehemu mji wa Daudi kwa sababu yeye alikuwa wa ukoo wa Daudi. 5 Alikwenda huko kujiandikisha pamoja na mchumba wake Mariamu ambaye kwa wakati huu alikuwa mja mzito.

6 Walipokuwa Bethlehemu, wakati wa Mariamu kujifungua uli fika, 7 naye akamzaa mtoto wa kiume, kifungua mimba. Akamfunika kwa vinguo na kumlaza horini, kwa sababu hapakuwa na nafasi katika nyumba ya wageni.

Wachungaji Wapata Habari​

8 Usiku ule walikuwako wachungaji wakilinda kondoo zao nje ya mji. 9 Ghafla malaika wa Bwana akawatokea, na utukufu wa Mungu ukawang’azia pande zote. Wakajawa na hofu kuu. 10 Lakini malaika akawatuliza akisema: “Msiogope! Nawaletea habari njema ya furaha kubwa, na habari hii ni kwa faida ya watu wote! 11 Kwa maana leo katika mji wa Bethlehemu, amezaliwa Mwokozi ambaye ndiye Kristo Bwana. 12 Na hivi ndivyo mtakavyomtambua: mtamkuta mtoto mchanga amefunikwa vinguo na kulazwa horini.”

13 Mara jeshi kubwa la malaika wa mbinguni likatokea na pamoja wakamsifu Mungu wakiimba: 14 “Atukuzwe Mungu juu mbin guni, na duniani iwepo amani kwa watu ambao amependezwa nao.”

15 Malaika hao waliporudi mbinguni wale wachungaji walish auriana: “Jamani, twendeni Bethlehemu tukaone mambo haya ya ajabu yaliyotokea, ambayo Bwana ametufahamisha.”

16 Kwa hiyo wakaenda haraka Bethlehemu, wakawakuta Mariamu na Yusufu; na yule mtoto mchanga alikuwa amelala mahali pa kulia ng’ombe. 17 Walipomwona mtoto, wakawaeleza yale waliyokuwa wameambiwa. 18 Na wote waliosikia habari hizi wakastaajabia yale waliyoambiwa na wachungaji. 19 Lakini Mariamu akayaweka mambo haya yote moyoni mwake, akayafikiria mara kwa mara.

20 Wale wachungaji wakarudi, huku wakimtukuza Mungu na kum sifu kwa yale waliyoyasikia na kuyaona.

21 Hata baada ya siku nane, ilipotimia siku ya kumtahiri mtoto, aliitwa Yesu; jina alilopewa na malaika kabla hata haja chukuliwa mimba.

Acha ubishi wala kujifariji kwamba miungu unayoabudu ndiyo iliyokuumba. Mwamini Bwana Yesu bila kuchelewa. Yeye pekee ndiye mwokozi. Umeelewa wewe?
 
Na je, Mwenyezi Mungu aliona nini mpaka Kulisemea hili mpaka Kusisitiza kabisa kuwa Mwanaume ndiyo awe Kiongozi na kuainisha Majukumu ya Mwanamke na Ukomo wake?

Kwenye Kitabu cha Quran (cha Waislamu) hiyo Aya nimeiona na imesisitizwa kweli kweli na naomba kama kuna anayejua Aya inayosema hivi katika Kitabu cha Biblia (cha Wakristo) aniwekee hapa.

Tuyaheshimu sana Maagizo ya Mungu!
Biblia imewapa wanawake uongozi mfano ni wakina Deborah aliyekuwa mwamuzi( judge) , Ester, n.k ata kipindi Cha Yesu ukiacha wanafunzi wake Kulikuwa na kikundi Cha wanawake waliokuwa na majukumu mbalimbali katika ziara za Yesu hao baadhi Yao ni wakina Veronica, Maria Magdalena, Elizabeth na kina Maria mama yake
 
Back
Top Bottom