MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
-
- #21
Asante sana Ndugu kwa hii Reference yako kutoka katika Biblia kwani niliyoonyeshwa ilikuwa ni ya Kitabu cha Quran.Cha ajabu wamejaa MADHABAUNI-MADHABAU
Timotheo wa kwanza 2: 11-12 na muendelezo wake
Na Upumbavu wake pia.Wewe unasumbuliwa na chuki na Udini dhidi ya uislamu, sio kingine
Kuna amri inayosema mwanamke asiwe kiongozi?Mwenyezi Mungu anaijua Dunia mwanzo mpaka mwisho wake,so alipoleta amri zake ni za muda wote.
Ni waislam wote?Kumbuka waislam hatumjui mungu sisi tunae mtambua nimola wetu
Mola na mtume sws
Wewe leta mistari hapa, acha siasa.
Na wewe Covax , huwezi kulazimisha mtu apende li dini alilolijua na ndiyo sababu hajalichagua. Huwezi kulazmisha watu waabudu miungu yako na ndiyo sababu wana Mungu wao.
Kikbuwa ukubali kwamba mungu wa uislam si Baba wa Kristo na havifanani kwahyo acha kulinganisha. Na kwa hiyo unachotakiwa ni kujenga hoja kwa mfumo wa mungu wako kama alivyo na si lazima uegemeze uwongo wako kwa Kristo.
alla is not God.
Usikariri, mbona Quran inakwenda na wakati.Kila kitu maishani kinakuwa updated, haiwezekani vitabu vilivvoandikwa karne iliyopita kuendelea kutumika
Swadaqta, tatizo watu wanataka kutia pumba kwenye trekta na kumnywesha ng'ombe disel ili alime kama trekta.Uongozi kwa muktadha wa uislam ni majukumu,katika uislam Kuna mgawanyo wa majukumu kwa kila jinsia,na mwanaume kabebeshwa majukumu mazito,uongozi katika uislam siyo kufaidi mshahara mnono na v8,mahitaji yote ya familia ni hukumu la mwanaume,kupigana Vita nk...Sasa mtu aking'ang'ana anataka uongozi kwenye uislam unamshangaa
Aya gani kwenye Quran inayopinga wanawake kuwa viongozi, mbona hujaitaja ili kuthibitisha andiko lako?Na je, Mwenyezi Mungu aliona nini mpaka Kulisemea hili mpaka Kusisitiza kabisa kuwa Mwanaume ndiyo awe Kiongozi na kuainisha Majukumu ya Mwanamke na Ukomo wake?
Kwenye Kitabu cha Quran ( cha Waislamu ) hiyo Aya nimeiona na imesisitizwa kweli kweli na naomba kama kuna anayejua Aya inayosema hivi katika Kitabu cha Biblia ( cha Wakristo ) aniwekee hapa.
Tuyaheshimu sana Maagizo ya Mungu!!!
Ni kweli Mkuu nimesoma comment yake mbaka nikashangaa jamaa ana makasiliko hatari n sahihi uyo sio mkristo mwenzetu kabisa,,, Pia kuhusu mwanamke na makatazo ya kutokua kiongozi hata kwenye ukristo yapo na pia hata namna ya uvaaji umeelezwa vizuri tu lakini ni vile tu watu hawafatilii hilo jambo,,Wakristo halisi wenye roho mtakatifu tunawafahamu na si wapiganaji vita vya maneno kama unavyotaka kufanya hapa.
Wale watu wakikupa majibu unatamani uendelee kumsikiliza ila wewe majibu yako mtu akikusikiliza anatamani kukutukana.
Mfano Mwakasege, au maaskofu ukiwauliza swali majibu yao huwa yamejaa upendo na si vita hata kama lile swali limetoka kwa mpagani.
Cha ajabu wamejaa MADHABAUNI-MADHABAU
Timotheo wa kwanza 2: 11-12 na muendelezo wake
aliyeamrisha wanawake wajifunike sio allah ila ni rafiki ake mtume anaitwa Omary...tena ili kumlazimisha mtume iwe sheria akawa anavizia maeneo ya wanawake kujisaidia jangwani na akimuona mke wa mtume anaanza kupiga kelele ''nimekujua'' hivyo mtume akamaindi kichizi ikabidi aamuru (kupitia Allah) kuwa wanawake wote wawe wanafunika nyuso zaoMola alikua anachuki nawanawake hata ukiangalia jinsi alivowaamlisha wavae mpaka kujifunika nyuso zao sijui mola alikosewaga Nini nahawa viumbe