Ni kwanini Vitabu vya Kiimani (Dini) vimepinga Mwanamke kuwa Kiongozi / Mtawala?

Upo uadui wa asili Kati ya mwanamke na mwanaume. So mwanamke akipata madaraka au pesa uwaza kulipiza kisasi kwa mwanaume. Thus kuna wenye mamlaka wanawake uyatumia vibaya kuwaumiza wanaume.
 
Asee mtume na Allah waliishi maisha yahovyo Sana wamewafanya wafuasi wao wakike kuishi kwamasharti yaajabuajabu
 
Kama mungu ndokasema hivyo basi mungu ni mdaku. Na ana chuki za wazi na wanawake. Acheni kutumia viandiko uchwara vya kuhusu miungu uchwara. KWA NGUVU ALIZONAZO NA MAAGIZO ALIYOTOA BASI SAMIA ANGESHAKUFA KWA KUKIUKA MAAGIZO YA MUNGU.
 
Asee mtume na Allah waliishi maisha yahovyo Sana wamewafanya wafuasi wao wakike kuishi kwamasharti yaajabuajabu
ilaunakuta wanawake wanaifurahia hiyo dini...yaani wanafurahia kuolewa wanne wanne kwa mafungu na kupigwa ndoani...wanafurahia kuomba ruhusa kwa wanaume wakitaka kufanya mambo ya msingi, wanafurahia kutorithi mali za wazazi wao kama wana kaka wa kiume, wanafurahia kulazimishwa kuvaa kama maninja haijalishi hali ya hewa,,,.

Kama wanawake wameweza kuvumilia hayo basi hakuna mtu atakayekuja kuutikisa uislam ndani ya hii miaka 1000 ijayo
 
Timotheo wa nwanza 2- 11- 13

Mwanamke na ajifunze katika utulivu na unyenyekevu.

12 Simruhusu mwanamke ye yote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume. Mwanamke anapaswa kukaa kimya. 13 Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza kisha Hawa; 14 na Adamu hakudanganywa bali mwanamke alidanganywa akawa mkosaji. 15 Lakini mwanamke ataoko lewa kwa kuzaa, kama ataendelea kudumu katika imani, upendo na utakatifu, pamoja na kujiheshimu.
 
Chakula cha roho ni damu, kwa kuwa kuna roho 2 tu Mungu na shetani hivyo mwanamke akiingia ck zake kuingiwa na ibilisi kama hana iman ktk Mungu ni vyepesi hivyo kusababisha dhambi na ukengeufu ktk dunia

Amin ndiyo maana wakati wa siku zao walipewa maagizo special

Kipindi cha ck zake tabia hubadirika kwa sabab ya hormone zake na maamuzi yake yanakuwa labile

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Wapumbavu hawaishagi
 
Mifano hai ipo katika level za kifamilia.

Baba anapofariki basi familia huwa inatetereka mno na kama hazitafanyika juhudi za lazima basi mali zote hupotea.
 
Mwanamke ni dhaifu Sana.
Mungu alilijuwa hilo.

Mfano.
_Utamnunulia gari la thamani kubwa.
Atakuja kukusaliti kwa mwanaume anayemuwekea mafuta ya 6000.

-- utampa 20000 akale chips ,atakusaliti kwa mwanaume atakaye mnunulia soda ya 500.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
 
Maswala ya dini kila mmoja afuate lake.Hakuna padri Wa Katoliki mwanamke Wala mchungaji Wa kisabato mwanamke.Vile vile hakuna imamu mwanamke kwa waislamu.Lakini wapo wenye dini wengine wenye viongozi wanawake kama wachungaji.
 
Akawa anavizia maeneo ya Wanawake kujisaidia jangwani [emoji3526][emoji4]
 
Sasa mtu anaongozwa na hisia utampa madaraka kweli?

Utakuwa na kichaaa.

Yaani mtu leo anasema hivi,kesho anasema vile,keshokutwa anasema vingine kabisa.

Madaraka yanataka mtu ambaye mawazo yake na hisia zake vinaendana
 
Mwalimu wetu wa madrassa alituambia mwanamke mmoja aliyesoma ngazi za juu kabisa za elimu ni sawa na kondoo mmoja mwenye kichaa

Hahahaha[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]



Kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…