Ni kwanini Vitabu vya Kiimani (Dini) vimepinga Mwanamke kuwa Kiongozi / Mtawala?

Ila nyie mbona mnatudharau hivyo jamani?
Kweli soda ya jero....kweli?!! 😥 Labda kama mwanamke wako hakupendi!
 
Biblia haijakataza mwanamke...
Ila kwenye kutawala happy hatuna mifano ya mitume, manabii, watawala wote wa misri na Israeli hakuwahi kutokea mwanamke.
...
Nitachagia baadaye kwa urefu, ila soma...
Waamuzi 4:4
Neemia 6:
Kutoka 15:20
Luka 2:36
2Chronicles 34:
 
Kwa sababu madhaifu yao ni mengi kiasi cha kupelekea hatari kubwa wanapokuwa viongozi na hilo halina ubishi na asili ya mwanamke ni kuingozwa na mwanaume.
 
Mkumbuke kuwa mwanamke ndiye anaemiliki UTAMU WA DUNIA hivyo hayupo mwenye uwezo wa kusimamia hayo mawazo ya hivyo vitabu. Mtu anakabidhiwa msambwanda na sheria zote zinavunjwa hivi ninyi ni kitu gani hamjui? Hivi mliwaji jiuliza kwanini shetani alipitia kwa mwanamke?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…