GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mchezaji Bora Mechi ya Fainali Mapinduzi Cup - Henock Inonga (Simba SC)
Kipa Bora wa Mashindano ya 2022 Mapinduzi Cup - Aishi Manula (Simba SC)
Mfungaji Bora Mashindano ya Mapinduzi Cup - Meddie Kagere (Simba SC)
Mchezaji Bora ( MVP ) wa Mashindano ya Mapinduzi Cup - Pape Ousmane Sakho (Simba SC)
Klabu Bora kwa Kufungwa Magoli mengi katika Mashindano ya Mapinduzi Cup - Yanga SC
Kipa aliyetia Aibu, Kujiaibisha Yeye na Kuigharimu katika Mashindano ya Mapinduzi Cup - Erick Johora.
Klabu Bora kwa kuwa na bahati mbaya ya Kutolewa mapema katika Mashindano ya Mapinduzi Cup mpaka Kukosa Kutembezwa na Vivutio mbalimbali vya Utalii ( Kitalii ) Visiwani Zanzibar - Yanga SC.
Usininunie Mimi ila nunia tu Takwimu!!!
Kipa Bora wa Mashindano ya 2022 Mapinduzi Cup - Aishi Manula (Simba SC)
Mfungaji Bora Mashindano ya Mapinduzi Cup - Meddie Kagere (Simba SC)
Mchezaji Bora ( MVP ) wa Mashindano ya Mapinduzi Cup - Pape Ousmane Sakho (Simba SC)
Klabu Bora kwa Kufungwa Magoli mengi katika Mashindano ya Mapinduzi Cup - Yanga SC
Kipa aliyetia Aibu, Kujiaibisha Yeye na Kuigharimu katika Mashindano ya Mapinduzi Cup - Erick Johora.
Klabu Bora kwa kuwa na bahati mbaya ya Kutolewa mapema katika Mashindano ya Mapinduzi Cup mpaka Kukosa Kutembezwa na Vivutio mbalimbali vya Utalii ( Kitalii ) Visiwani Zanzibar - Yanga SC.
Usininunie Mimi ila nunia tu Takwimu!!!