wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Kwa kweli ilibidi Simba wafanye kweli kipindi hiki.Nyie ndo mlilipa thaman kwa kulitembeza mitaa yote ya dar...sasa tukaona msibaki nalo tena
Maana tulichukulia poa,kumbe wenzetu ikawa nongwa.
Haya sasa wapambane na hali zao.