Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #581
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Ukweli umekugusa pole mwalimu ila jitambueMungu awabariki sana walimu wangu walionifundisha,
Mkandawire,
Sedrick magasi
Mwalimu mlay
Kuna mzee mmoja alikua mtaalamu wa physics alifundisha tosamaganga dah nimemsahau jina
Sasa wewe mshenzi mmoja unawadharau walimu we ni mwehu mmoja
Mimi siwezi kuomba vikazi kama hivyo, hizo level sipo kabisaHuyu anayetusi walimu wetu nadhani kavimbiwa stress za kukosa nafasi ya ajira... Ni vema akanye... Mpuuzi sana Huyu !!
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Kabisa mtendaji wa kata anauhakika wa maisha sio hawa wakifeli form 4 kimbilio ni ualimu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unamuona mtendaji wa kata ni wamaana sana sio..?
Bahati mbaya waliokuwa smart darasani hawajisemiMimi nilikuwa kichwa nasikutegemea sana msaada wa walimu koz nilikuwa doja
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] KabisaWalimu wanaaibisha utumishi wa umma.
#MaendeleoHayanaChama
Au umelewa mkuu, huenda tunabishana na balimi hapa bila kujua [emoji1][emoji1]Wanajishughulisha na nini?, hakuna chamaana zaidi ya kuuza vitumbua na ubuyu wa rangi mashuleni
@mpwayungu village pitia hapa halafu uniambie umejifunza niniUmefanya nifanye ufukunyuzi kidogo kwa jambo uliloandika!
Mpnz wangu(tunaishi pamoja japo hatujafunga ndoa, ila tuna mtoto) ni mwalimu, (shahada), ana miaka 9 kazini, basic salary yake ni 1,235,000/=
Alikopa ili kujenga kwao, aliponiambia habari za kukopa afanye maboresho ya nyumbani kwao nilimuunga mkono, akafanya hivyo....
Nanunua mahitaji yote ya nyumbani, lakini mara nyingi tu hutumia pesa yake kununulia mahitaji ya hapa na pale, sasa haya maisha ya sijui kukopa kila kitu yanahusu walimu wa jnamna gani?
Maana pamoja na kukopa anabaki na ka sh.570k kwa matumizi yake madogo madogo, na kama usingekuwa mkopo angekuwa anakunja zaidi ya 900k kila mwezi, japo si nyingi lakini sio ya kumfanya mtu akope dagaa na mafuta ya kula kwa mangi...
Mimi mshahara wangu hauna tofauti kubwa na wa mpnz wangu, lakini kwetu semina, safari posho na turushwa tunatunisha mifuko na kufanya tuheshimike kidogo kitaa!
Lakini tofauti na rushwa, na hizi seminar + safari hakika nakwambia hali ingekuwa mbaya mnooo, wote tungekuwa tunaugulia ukata!
Kizuri ni kwamba watanzania wanatupa heshima kutokana na rushwa wanazotupa wao wenyewe...
View attachment 2272097
Unabishana na viroba hapo mkuuSoma uelewe kijana, yaani umeiona 500k tu bila kusoma maelezo?
Natamani nitaje majina lakini nita expose identity yangu lakini nawajua wengi tuu wenye 1 za PCB, CBG walioenda kusoma educationSio kweli, one ya PCB haendi ualimu hata umwekee bunduki kifuani
Bahati mbaya sana nafundisha hao wanaokufanya unalala usingizi wa kwa amani[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Ukweli umekugusa pole mwalimu ila jitambue
Huna jipya ni porojo tu.Wewe unaonekana ni mtu wa ligi sana, ngoja nikuache
Ungelipua tuu mkuu, hawana adabu hawa watoto wa 2000sAsichokijua kuna mpaka namba ya simu iliyotumika baina yake na mtu mwingine, Sasa anataka tufanye jambo tule ban ila mtakaobaki mtamjua huyo mlemavu wa akili. Bahat yake sheria haziruhusu ila leo angejutia hii mada yake.
Aamin na wewe pia, huyo Mpwayungu radhi ya walimu itamtafuna kwa alichokiandika kwani anaweza kujikuta akianguka Ktk kila harakati zake za kimaisha na kuaibika kumbe sababu ni andiko lake la kuwakosea hashima watu muhimu ktk jamii ambao hata Mwenyezi Mungu amewapa daraja kubwa.Mungu akubariki ndugu
Physcians wamepatikana kutokana walimu bila walimu hakuna physciansHilo lipo wazi, hakuna sekta isiyo kuwa na mchango inamana walimu ni potential sana kuliko physicians
Point yako ni nini?,kwani waliofeli pia darasani sinikutokana na walimu, mbona hili hulisemiPhyscians wamepatikana kutokana walimu bila walimu hakuna physcians
Wivu upi sasa, yani nionee wivu ualimuNi wivu tu, na wanaowadharau wana maisha magumu sana
Ukisoma baadhi ya maandiko yake kuna wakati alitaka kuwa mwalimu lkn akala mtoto headmaster ata kabla hajaanza kazi akafukuzwaAamin na wewe pia, huyo Mpwayungu radhi ya walimu itamtafuna kwa alichokiandika kwani anaweza kujikuta akianguka Ktk kila harakati zake za kimaisha na kuaibika kumbe sababu ni andiko lake la kuwakosea hashima watu muhimu ktk jamii ambao hata Mwenyezi Mungu amewapa daraja kubwa.
Alikuwa na uwezo wa kuandika hoja zake Ktk hali ya busara na hekima na ingeeleweka vizuri. Kibri , dharau , majivuno na kujifaharisha ni sifa mbaya na za watu waovu kama Firauni na Shetani..