Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Taifa lolote linalopuuza walimu ni taifa la watu wajinga. Mleta mada ni mjinga asiyejua hata kuandika. Someni vizuri uandishi wake mtangundua hana lolote.
Tupo hapa kama taifa sababu ya aina ya walimu tulionao.
Tunataka wstu wakabadilikie vyuoni na kuwa na IQ kubwa wakati tokea primary, secondary walikutana na walimu vilaza.
Leo hii hatuna uthubutu wowote wa Teknolojia sababu ya msingi mbovu.

Kosa kubwa sana lililofanywa na serikali ni kukubali watu wanaofeli kwenda kuwa walimu(hili hata mama Samia alisema kule Zanzibar)
 
Mimi lawama nzangu nazipeleka kwa Serikali, kwanini waruhusu walio feli au walio patata alama ndogo ndiyo wawe walimu ? Hii hata akili tu ya kawaida inakataa.

Kingine, hili jambo ni Serikali tu waamue kupindua meza, waweke mishahara minono kwa Walimu na alama ziwe juu ili mtu awe mwalimu, ila sasa nawaza tatizo kwenye ualimu hakuna dili za kupiga hela ndefu, hapa sasa ndiyo kuna shida.
 
Tupo hapa kama taifa sababu ya aina ya walimu tulionao.
Tunataka wstu wakabadilikie vyuoni na kuwa na IQ kubwa wakati tokea primary, secondary walikutana na walimu vilaza.
Leo hii hatuna uthubutu wowote wa Teknolojia sababu ya msingi mbovu.

Kosa kubwa sana lililofanywa na serikali ni kukubali watu wanaofeli kwenda kuwa walimu(hili hata mama Samia alisema kule Zanzibar)
Safi sana chukua Pepsi kwa mangi
 
Mimi lawama nzangu nazipeleka kwa Serikali, kwanini waruhusu walio feli au walio patata alama ndogo ndiyo wawe walimu ? Hii hata akili tu ya kawaida inakataa.

Kingine, hili jambo ni Serikali tu waamue kupindua meza, waweke mishahara minono kwa Walimu na alama ziwe juu ili mtu awe mwalimu, ila sasa nawaza tatizo kwenye ualimu hakuna dili za kupiga hela ndefu, hapa sasa ndiyo kuna shida.
Ni kweli kabisa na wengi wanakuwa vilaza kwasababu tunafundishwa na vilaza
 
Ni kwa sababu wao pia wanajidharaulisha mtaani.

Sasa unakuta mwalimu anadaiwa vitumbua vya elfu moja na mama ntilie miezi miwili bila kulipa
 
Ni kwa sababu wao pia wanajidharaulisha mtaani.

Sasa unakuta mwalimu anadaiwa vitumbua vya elfu moja na mama ntilie miezi miwili bila kulipa
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
 
Asichokijua kuna mpaka namba ya simu iliyotumika baina yake na mtu mwingine, Sasa anataka tufanye jambo tule ban ila mtakaobaki mtamjua huyo mlemavu wa akili. Bahat yake sheria haziruhusu ila leo angejutia hii mada yake.
Yaani dogo basi tu amezingua sana
 
Utetezi wa kiufundi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anadhani kila mtu ana akili fupi kama zake, halafu hajui jf vizuri.


Hapo aliomba angalau na yeye awemo kwenye the so called PDF
Screenshot_20220626-201236_1.jpg
 
Hili sio uongo lipo wazi kabisa moja ya watumishi wa Serikali wanaodharaulika kwenye jamii ni hili kundi la walimu.

Hata muonekano wao umekuwa ni too primitive huku wakijidifence eti ni dressing code ya mwalimu lakini nguo zao huwa ni zilezile shati kubwa ndefu na suruali iliyopwalaruka.

Hata wakiwa wanatembea wamejawa na msongo wa mawazo wananuka madeni kila kona utakuta wanadaiwa kila duka mala kakopa dagaa, kakopa sukari, kakopa Unga, kakopa mchele, mafuta na kila aina ya takataka dhamana yake ni kazi aliyonayo.

Kwa hiyo muda wote anaangalia tarehe ya mshahara ikifika tu ndowanakuwa wa kwanza kujazana benki yani siku hiyo panakuwa hapatoshi ni kero tupu, siku za mshahara almost zipo sawa kwa kila mtumishi wa umma ila walimu ikifika net day of salary yupo benki nadhani ni kutokana na madeni aliyonayo pamoja na ukata wa nyumbani maana hawa watu wanalisha Familia kubwa, ya kwake na ndugu zake.

Hii tabia imekuwa ikinifanya nakwazika nakuwaonea huruma pia.

Fedheha nyingine nikuwa walimu wengi wanaenda wenye hakili ndogo au waliofeli hili hata Samia alilisema zanzibar, hali hii imekuwa ikipelekea ongezeko kubwa la walimu mitaani wasionaajira bahati mbaya hawana skills zakujiajiri kutokana na low IQ waliyonayo kwahiyo matazamio yao ni kusaka huruma za watawala ili wawaajiri.

Mifano iko wazi, hizi ajira za juzi zilizotangazwa na tamisemi za afya na walimu, idadi kubwa ya walioomba ni walimu, waliomba zaidi ya laki moja wakigombania nafasi elfu tisa lakini afya hawakuzidi elfu thelasini kwa nafasi elfu saba. Hapo unaweza ukaona urahisi una gharama zake, ualimu ni ajira za watu wenye level ndogo ya uelewa darasani lakini udaktari sio program ya kitoto hiyo wanaoenda ni PCB smart hakuna matapitapi ya HKL wala wenye four za form six.

Njaa za walimu zimezidi mipaka. Kwanza hawana subira, angalia tu hizi ajira walizotoa tamisemi, walimu wanasumbua hadi aibu naona mimi, ukiingia kwenye mitandao ya kijamii wanatia huruma hadi kinyaa. Utasikia toeni pdf, mda wote utasikia toeni majina hawajui wizara Ina kazi nyingi za kufanya halafu majina yakitoka siku hiyo hiyo kero inaanza wa naanza kuuliza ajira za walimu mnatoa lini.

Mimi nadhani hii sekta ya walimu kama wizara mnaidekeza sana ndio mana mnawageuza kama cheap labor kwenye kazi za kitaifa kama sensa na uchaguzi mkuu maana mnajua wanalipika kwa pesa ya mrenda. Mbona hamuwachukui madaktari na watu wa TRA au TPDC tuone kama watakubali viajira vya sensa. Sasa mtazamo wangu walimu waanze kwenda wenye ufaulu mzuri kama kada zingine, hii itasaidia kupunguza idadi kubwa ya walimu wenye njaa njaa wanalia saaana,

Walimu waanze kupigwa interview kama kada zingine za utumishi ili kubaini vilaza na smart. Hii hali itapunguza mlundikano wa hawa watu kwenye competition za ajira. Wapigwe oral na written interview ili akili ziwakae sawa. Mbona tuliosoma kada zingine tunakaa mitaani miaka zaidi ya minne nahatusikii ajira zimetangazwa na hata zikitoka hatuanzi kero za kudai majina kwa haraka kama tunakimbizwa. Walimu hawana uvumilivu.

Sina Nia mbaya ila haya mawazo niliyotoa kama yatafanyiwa kazi basi walimu wataanza kuheshimika kama wafanyakazi wengine wa serikalini.
View attachment 2271988
Mimi ninavyojuwa
1.Muonekano- hili linatokana na mtu binafsi anavyojiweka lakini ninavyojuwa mimi hakuna mtu anayependa kuvaa na kuchomekea kama walimu

2.Madeni- hili linahusu maisha binafsi ya mtu na linasababishwa na kmtu kuwa na matumizi makubwa kuliko kipato chake

3.Kudharauliwa -hili linategemea na namna yeye mwenyewe anavyojiweka na anavyojichukulia yeye, kuna walimu wanaoheshimika na wanao dharaulika hata watu wenye kada tofauti wapo wanaodharaulika, utofauti ni pale mwalimu anapofanya kosa yeye huangaliwa tofauti sana na jamii inayo mzunguka kuliko mtu wa kada zingine.

4.Walimu ni watu waliofeli- hili siyo kweli kwani ukiangalia ufaulu wa walimu hususani kidato cha nne ni mkubwa kuliko D-4 zilizopo kada zingine ila sema watumishi wenzake wanamdharau mwalimu kulingana na mshahara wake kuwa mdogo


Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom