Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Though mi sio mwl ila mwandishi una chuki binafsi kama sio mtindio wa ubongo kwa taarifa yako wafanyakazi walio chini ya halmashauri mishhara yao inafanana nashangaa una point walimu pekee ...

Hawez kuelewa kwa sababu hana Ajira serikalini
 
Hawez kuelewa kwa sababu hana Ajira serikalini
Sio kila mtu lazima agombanie viajira vya serikali mjomba, wengine tumevuka hizo level iniajiri itanipa bei gani compare to my own business,. Hao walimu wananuka njaa, angalia hata ajira za sensa ni vituko wanalia kama yatima wanataka wawe wao tu kwenye hizo nafasi baada yakuwaachia jobless ili wapate mitaji. Halafu wengi hawajielewi wanabaka wanafunzi wao kucha kutwa. Nenda mahakama yoyote iliyo karibu yako utakuja kuniamini. Walimu ni mafukara, wana tamaa, njaa kali, wachafu, wamefeli shule mpaka maisha. Viajira vya sensa mbona hatusikii maenginner wanataka au madaktari au wanasheria. Lakini hawa watu wananjaa kali mpaka kazi za buku buku wanachukua watafute ulaji
 
Sio kila mtu lazima agombanie viajira vya serikali mjomba, wengine tumevuka hizo level iniajiri itanipa bei gani compare to my own business,. Hao walimu wananuka njaa, angalia hata ajira za sensa ni vituko wanalia kama yatima wanataka wawe wao tu kwenye hizo nafasi baada yakuwaachia jobless ili wapate mitaji. Halafu wengi hawajielewi wanabaka wanafunzi wao kucha kutwa. Nenda mahakama yoyote iliyo karibu yako utakuja kuniamini. Walimu ni mafukara, wana tamaa, njaa kali, wachafu, wamefeli shule mpaka maisha. Viajira vya sensa mbona hatusikii maenginner wanataka au madaktari au wanasheria. Lakini hawa watu wananjaa kali mpaka kazi za buku buku wanachukua watafute ulaji

Mm ni mwalinu na Nina pesa chafu. Njoo inbox nikuoneshe pesa na assets zangu. Na walimu wote hawako hivyo unavyosema. Unawajua sana kwa sababu wako mtaani wengi ukifananisha na kada zingine. Wananuka, Wachafu, Hawaeleweki lkn ndio waliokupa jeuri ya kuandika hayo matusi. Hakuna polisi, wanasheria, madktari, wenye sifa mbaya?Infact walimu wanakula mishahara mpk wanaenda kaburini ww utabaki kunenepesha makalio ukiangalia msanii Gani ametoa wimbo YouTube. Nikukumbushe zimebaki siku 3 mshahara utoke tena wenye nyongeza[emoji854][emoji854]. Huna hela, huna job security, huna bond, huna Elimu na kubwa zaidi ni "Jobless cant"
 
Uwalimu ni wito ,ikiwa wito huo utageuzwa biashara ,malengo yake yatageuka aibu na kudharauliwa.
Sio kila mwl anadharauliwa inategemea :-
1.Unaishije na jamii hiyo.
2/Unapokuwa shuleni watoto wajamii hiyo wanakuona kama shemeji ?beby? Wakikuona wanakukimbilia kwa salam za heshima na utii au tabia ulizonazo zinafanya wakutafsirije?
Heshima inalindwa na mhusika,kila mtu atengeneze heshima yake bila kujali jinsia na kazi aliyonayo.
 
Mkuu hata hao degree wenye one niwakukaunti mm nakwambia wengi ni three ya 13

Kwani wenye division 1 ndiyo wenye uwezo mkubwa wa kufikiri?mh,jamii forum siku hizi........
Lakini walimu kwanini tumeandamwa hivi?!lazima Kuna sehemu tunakosea tujitathimini.

Mwalimu ndiyo huamua taifa liweje.
Walimu Wana kipato kidogo chanzo Ni wao wenyewe Wala siyo serikali.
Walimu wanadharaurika pia chanzo Ni wao wenyewe!
 
Walimu ni watu wa ajabu sanaa ila wale wenye akili huwa wanatoka fasta .kwanza kwa levo ya degree wanaanza na 700k diplom 650k shidah kubwa ya hawa nikupenda competition za kijinga mwenzio akinunua gari shuleni watataka waanze kushinda nae
 
Walimu ni watu wa ajabu sanaa ila wale wenye akili huwa wanatoka fasta .kwanza kwa levo ya degree wanaanza na 700k diplom 650k shidah kubwa ya hawa nikupenda competition za kijinga mwenzio akinunua gari shuleni watataka waanze kushinda nae
Wajinga
 
Mm ni mwalinu na Nina pesa chafu. Njoo inbox nikuoneshe pesa na assets zangu. Na walimu wote hawako hivyo unavyosema. Unawajua sana kwa sababu wako mtaani wengi ukifananisha na kada zingine. Wananuka, Wachafu, Hawaeleweki lkn ndio waliokupa jeuri ya kuandika hayo matusi. Hakuna polisi, wanasheria, madktari, wenye sifa mbaya?Infact walimu wanakula mishahara mpk wanaenda kaburini ww utabaki kunenepesha makalio ukiangalia msanii Gani ametoa wimbo YouTube. Nikukumbushe zimebaki siku 3 mshahara utoke tena wenye nyongeza[emoji854][emoji854]. Huna hela, huna job security, huna bond, huna Elimu na kubwa zaidi ni "Jobless cant"
Jobless cunt.[emoji2]

Daah
 
Hili sio uongo lipo wazi kabisa moja ya watumishi wa Serikali wanaodharaulika kwenye jamii ni hili kundi la walimu.

Hata muonekano wao umekuwa ni too primitive huku wakijidifence eti ni dressing code ya mwalimu lakini nguo zao huwa ni zilezile shati kubwa ndefu na suruali iliyopwalaruka.

Hata wakiwa wanatembea wamejawa na msongo wa mawazo wananuka madeni kila kona utakuta wanadaiwa kila duka mala kakopa dagaa, kakopa sukari, kakopa Unga, kakopa mchele, mafuta na kila aina ya takataka dhamana yake ni kazi aliyonayo.

Kwa hiyo muda wote anaangalia tarehe ya mshahara ikifika tu ndowanakuwa wa kwanza kujazana benki yani siku hiyo panakuwa hapatoshi ni kero tupu, siku za mshahara almost zipo sawa kwa kila mtumishi wa umma ila walimu ikifika net day of salary yupo benki nadhani ni kutokana na madeni aliyonayo pamoja na ukata wa nyumbani maana hawa watu wanalisha Familia kubwa, ya kwake na ndugu zake.

Hii tabia imekuwa ikinifanya nakwazika nakuwaonea huruma pia.

Fedheha nyingine nikuwa walimu wengi wanaenda wenye hakili ndogo au waliofeli hili hata Samia alilisema zanzibar, hali hii imekuwa ikipelekea ongezeko kubwa la walimu mitaani wasionaajira bahati mbaya hawana skills zakujiajiri kutokana na low IQ waliyonayo kwahiyo matazamio yao ni kusaka huruma za watawala ili wawaajiri.

Mifano iko wazi, hizi ajira za juzi zilizotangazwa na tamisemi za afya na walimu, idadi kubwa ya walioomba ni walimu, waliomba zaidi ya laki moja wakigombania nafasi elfu tisa lakini afya hawakuzidi elfu thelasini kwa nafasi elfu saba. Hapo unaweza ukaona urahisi una gharama zake, ualimu ni ajira za watu wenye level ndogo ya uelewa darasani lakini udaktari sio program ya kitoto hiyo wanaoenda ni PCB smart hakuna matapitapi ya HKL wala wenye four za form six.

Njaa za walimu zimezidi mipaka. Kwanza hawana subira, angalia tu hizi ajira walizotoa tamisemi, walimu wanasumbua hadi aibu naona mimi, ukiingia kwenye mitandao ya kijamii wanatia huruma hadi kinyaa. Utasikia toeni pdf, mda wote utasikia toeni majina hawajui wizara Ina kazi nyingi za kufanya halafu majina yakitoka siku hiyo hiyo kero inaanza wa naanza kuuliza ajira za walimu mnatoa lini.

Mimi nadhani hii sekta ya walimu kama wizara mnaidekeza sana ndio mana mnawageuza kama cheap labor kwenye kazi za kitaifa kama sensa na uchaguzi mkuu maana mnajua wanalipika kwa pesa ya mrenda. Mbona hamuwachukui madaktari na watu wa TRA au TPDC tuone kama watakubali viajira vya sensa. Sasa mtazamo wangu walimu waanze kwenda wenye ufaulu mzuri kama kada zingine, hii itasaidia kupunguza idadi kubwa ya walimu wenye njaa njaa wanalia saaana,

Walimu waanze kupigwa interview kama kada zingine za utumishi ili kubaini vilaza na smart. Hii hali itapunguza mlundikano wa hawa watu kwenye competition za ajira. Wapigwe oral na written interview ili akili ziwakae sawa. Mbona tuliosoma kada zingine tunakaa mitaani miaka zaidi ya minne nahatusikii ajira zimetangazwa na hata zikitoka hatuanzi kero za kudai majina kwa haraka kama tunakimbizwa. Walimu hawana uvumilivu.

Sina Nia mbaya ila haya mawazo niliyotoa kama yatafanyiwa kazi basi walimu wataanza kuheshimika kama wafanyakazi wengine wa serikalini.
View attachment 2271988
[emoji38][emoji38][emoji38]
FB_IMG_1658609536701.jpg
 
Mm ni mwalinu na Nina pesa chafu. Njoo inbox nikuoneshe pesa na assets zangu. Na walimu wote hawako hivyo unavyosema. Unawajua sana kwa sababu wako mtaani wengi ukifananisha na kada zingine. Wananuka, Wachafu, Hawaeleweki lkn ndio waliokupa jeuri ya kuandika hayo matusi. Hakuna polisi, wanasheria, madktari, wenye sifa mbaya?Infact walimu wanakula mishahara mpk wanaenda kaburini ww utabaki kunenepesha makalio ukiangalia msanii Gani ametoa wimbo YouTube. Nikukumbushe zimebaki siku 3 mshahara utoke tena wenye nyongeza[emoji854][emoji854]. Huna hela, huna job security, huna bond, huna Elimu na kubwa zaidi ni "Jobless cant"
Mwenye pesa hajitapi..wewe njaa zinakusumbua..99% ya walimu wanamaisha magumu sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Walimu ni watu wa ajabu sanaa ila wale wenye akili huwa wanatoka fasta .kwanza kwa levo ya degree wanaanza na 700k diplom 650k shidah kubwa ya hawa nikupenda competition za kijinga mwenzio akinunua gari shuleni watataka waanze kushinda nae
Huna uelewa na unachoandika humu,kiwango cha elimu mshahara,sio kigezo cha kutoka haraka,Ila ni akili ya mtu,wenye degree wanaanza kazi na mikopo ya bodi,pia hukopa benki kwa sbb mbali mbali,mwisho Huyu wa diploma anajikuta anamzidi mshahara mwenye degree. Kama hujui,kuna walimu Wana biashara zao kubwa tu mjini,na Wana maisha mazuri hata kuliko Kada nyingine. Watu wapumbav kama ww ,mnakimbilia mishahara mikubwa badala ya kufikiri kuwekeza.
 
Back
Top Bottom