Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Mungu awabariki sana walimu wangu walionifundisha,

Mkandawire,

Sedrick magasi

Mwalimu mlay

Kuna mzee mmoja alikua mtaalamu wa physics alifundisha tosamaganga dah nimemsahau jina

Sasa wewe mshenzi mmoja unawadharau walimu we ni mwehu mmoja
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Ukweli umekugusa pole mwalimu ila jitambue
 
Umefanya nifanye ufukunyuzi kidogo kwa jambo uliloandika!
Mpnz wangu(tunaishi pamoja japo hatujafunga ndoa, ila tuna mtoto) ni mwalimu, (shahada), ana miaka 9 kazini, basic salary yake ni 1,235,000/=

Alikopa ili kujenga kwao, aliponiambia habari za kukopa afanye maboresho ya nyumbani kwao nilimuunga mkono, akafanya hivyo....

Nanunua mahitaji yote ya nyumbani, lakini mara nyingi tu hutumia pesa yake kununulia mahitaji ya hapa na pale, sasa haya maisha ya sijui kukopa kila kitu yanahusu walimu wa jnamna gani?

Maana pamoja na kukopa anabaki na ka sh.570k kwa matumizi yake madogo madogo, na kama usingekuwa mkopo angekuwa anakunja zaidi ya 900k kila mwezi, japo si nyingi lakini sio ya kumfanya mtu akope dagaa na mafuta ya kula kwa mangi...

Mimi mshahara wangu hauna tofauti kubwa na wa mpnz wangu, lakini kwetu semina, safari posho na turushwa tunatunisha mifuko na kufanya tuheshimike kidogo kitaa!

Lakini tofauti na rushwa, na hizi seminar + safari hakika nakwambia hali ingekuwa mbaya mnooo, wote tungekuwa tunaugulia ukata!

Kizuri ni kwamba watanzania wanatupa heshima kutokana na rushwa wanazotupa wao wenyewe...


View attachment 2272097
@mpwayungu village pitia hapa halafu uniambie umejifunza nini
 
Huu Uzi umenitoa machozi 😭🥳🥳

niliingia ualimu nikiwa na status nakumbuka nilikuwa namba Moja kiwilaya na baadae nikawa na nafasi nzuri tu.

treatment ya watoto wasiojua Chochote iwe 'a' 'b' anaweza akasema hayo? Lkn kama ndivyo wahusika wamepata ujumbe. Lkn si kweli kwamba kada tajwa Ina watu uliowataja.
 
Asichokijua kuna mpaka namba ya simu iliyotumika baina yake na mtu mwingine, Sasa anataka tufanye jambo tule ban ila mtakaobaki mtamjua huyo mlemavu wa akili. Bahat yake sheria haziruhusu ila leo angejutia hii mada yake.
Ungelipua tuu mkuu, hawana adabu hawa watoto wa 2000s
 
Mungu akubariki ndugu
Aamin na wewe pia, huyo Mpwayungu radhi ya walimu itamtafuna kwa alichokiandika kwani anaweza kujikuta akianguka Ktk kila harakati zake za kimaisha na kuaibika kumbe sababu ni andiko lake la kuwakosea hashima watu muhimu ktk jamii ambao hata Mwenyezi Mungu amewapa daraja kubwa.

Alikuwa na uwezo wa kuandika hoja zake Ktk hali ya busara na hekima na ingeeleweka vizuri. Kibri , dharau , majivuno na kujifaharisha ni sifa mbaya na za watu waovu kama Firauni na Shetani..
 
Ni wivu tu, na wanaowadharau wana maisha magumu sana
 
Aamin na wewe pia, huyo Mpwayungu radhi ya walimu itamtafuna kwa alichokiandika kwani anaweza kujikuta akianguka Ktk kila harakati zake za kimaisha na kuaibika kumbe sababu ni andiko lake la kuwakosea hashima watu muhimu ktk jamii ambao hata Mwenyezi Mungu amewapa daraja kubwa.

Alikuwa na uwezo wa kuandika hoja zake Ktk hali ya busara na hekima na ingeeleweka vizuri. Kibri , dharau , majivuno na kujifaharisha ni sifa mbaya na za watu waovu kama Firauni na Shetani..
Ukisoma baadhi ya maandiko yake kuna wakati alitaka kuwa mwalimu lkn akala mtoto headmaster ata kabla hajaanza kazi akafukuzwa
 
Back
Top Bottom