Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Achaa story za ulikuwa namba moja wilaya. We sema o level ulipata ngapi au advance ulipata ngapi
Ukweli uliowazi wanaopata ufaulu hafifu ndio wanaenda kwenye ualimu
 
Achaa story za ulikuwa namba moja wilaya. We sema o level ulipata ngapi au advance ulipata ngapi
Ukweli uliowazi wanaopata ufaulu hafifu ndio wanaenda kwenye ualimu
Bora umenisaidia, huu ukweli wanakataa na hapo ndotunapowaundermine hawa walimu kwa ubishi wa kipumbavu walionao, jitu lilifeli halafu linakataa
 
Sababu moja ni kwakuwa kipato chao ni kidogo cha mshahara...

Pia hawajipendi, mavazi yao yapoyapo...

Ila wanamchango mkubwa sana ktk kuendeleza elimu za watoto wetu...

Achaa story za ulikuwa namba moja wilaya. We sema o level ulipata ngapi au advance ulipata ngapi
Ukweli uliowazi wanaopata ufaulu hafifu ndio wanaenda kwenye ualimu
Haina maana yyt kujibu.

Una uwezo mdogo sana kijana
 
Bora umenisaidia, huu ukweli wanakataa na hapo ndotunapowaundermine hawa walimu kwa ubishi wa kipumbavu walionao, jitu lilifeli halafu linakataa

Umejiunga jamiiforum juzi Leo unaanza kuwa minus watu akili zao, huku sio Facebook acha uhuni wa kishamba
Nina miaka 56 kijana. Utaalaniwa na nitakuroga uwe na uchi wa kike wenzio wakakutoboe.

Wewe sio kuku negate ni ndwandwa flan unapumulia matako.
 
Majibu.......

1. Tasnia ya Elimu nchini imeanza Kuharibiwa na Marais karibia wote ingawaje Kipindi cha Mwalimu waliheshimika kidogo.

2. Kuajiri 'Failures' hasa wa Kidato cha Nne au cha Sita nalo ni tatizo.

3. Uwezo mdogo pia wa Akili wa 85% kwani haiwezekani Mwalimu akazidiwa IQ na Wwanafunzi wake anayemfunsisha

4. Walimu wenyewe pia kukubali kutekwa na kujiingiza katika Siasa za Tanzania ambazo zina Dhuluma na Dhambi nyingi

5. Walimu wenyewe Kutojitambua na Kukubali kutumika

6. Walimu wenyewe kutokutaka Kujiimarisha zaidi Kimaarifa na hata Kielimu pia

7. Wasimamizi wao ( Mamlaka zao husika ) kutotaka Kubadilika ili kuendana na wakati kama zilivyo Tasnia nyinginezo
 
Leo umenikosha, point tupu umeongea. Shida ya hawa watu wanatumia na wanasiasa kwa malipo kiduchu, wanakuwa kama nyumbu
 
Unatumia kipimo gani kupimia Mwalimu comaparative na Mwanafunzi wake?
 
Asichokijua kuna mpaka namba ya simu iliyotumika baina yake na mtu mwingine, Sasa anataka tufanye jambo tule ban ila mtakaobaki mtamjua huyo mlemavu wa akili. Bahat yake sheria haziruhusu ila leo angejutia hii mada yake.
Mkiwa wapole kama hivyo dharau hazitokwisha lazima mtu apewe discipline
 
Yaani we ni mwalimu halafu unasema walimu wenzako duuh [emoji1787][emoji1787]


We jamaa una vituko sana
 
Taifa lolote linalopuuza walimu ni taifa la watu wajinga. Mleta mada ni mjinga asiyejua hata kuandika. Someni vizuri uandishi wake mtangundua hana lolote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…