Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

We ni mshamba wa grade A sio kila uzi unatuhusu mengine tunawasemea marafiki zetu wasiokuwa jamiiforum. Nadhani waliosoma really story yangu ya safari ya lindi watakuambia vyeti nilivyo weka nimesoma program ipi.
Tulia wewe kiande..huna adabu unatukana walimu...na kwenye kila nyuzi zako una washambulia...hata kama wanamaisha magumu hiyo ni kutokana na mazingira na sera za serikali kuhusu maslahi ya walimu.



NB...Mimi kama counselor naona uko na msongo wa mawazo sana..hivo unafanya projection ya maumivu yako as a defense mechanism ya matatizo yako...na ukiendeleza ujinga wako bakora zitakufuata huko huko mpwayungu bwege wew
 
Hii thread ina chuki ndani yake, ama ni mtindo wa siasa maarufu kama Scapegoating method.

Una kitu kina kusumbua kwenye utawala, umeona kabisa kama Walimu ni kundi kubwa na lenye ushawishi, ukili Provoke, yaani kulijaza chuki, litageuka dhidi ya Mamlaka, automatically watakuwa mtaji wako, watashambulia Mamlaka, wakimaliza watakuuliza "Bwana mkubwa, problem Solved, tunakusikiliza, tufanyaje?" Mpaka hapo tayari ni "Acolytes" wako, you won.


Huenda chuki hii ina viashiria vya wewe pia kuwa Mwalimu na unataka mageuzi, ama kada mtiifu wa chama cha Siasa mlengo wa kushoto.

Bro, nchi ndio kwanza ina miaka 60+, Taxbase ndio kwanza 3.9 Million payers, halafu population ni 62+million, [emoji3][emoji3] hivi huoni kama kuna tatizo?
 
Ebu pita humu, halafu angalia ulichoandika kuhusu watumishi zaidi ya 500k kwenye hii nchi. [emoji4]
Screenshot_20220626-080936.jpg
 
Hii thread ina chuki ndani yake, ama ni mtindo wa siasa maarufu kama Scapegoating method.

Una kitu kina kusumbua kwenye utawala, umeona kabisa kama Walimu ni kundi kubwa na lenye ushawishi, ukili Provoke, yaani kulijaza chuki, litageuka dhidi ya Mamlaka, automatically watakuwa mtaji wako, watashambulia Mamlaka, wakimaliza watakuuliza "Bwana mkubwa, problem Solved, tunakusikiliza, tufanyaje?" Mpaka hapo tayari ni "Acolytes" wako, you won.


Huenda chuki hii ina viashiria vya wewe pia kuwa Mwalimu na unataka mageuzi, ama kada mtiifu wa chama cha Siasa mlengo wa kushoto.

Bro, nchi ndio kwanza ina miaka 60+, Taxbase ndio kwanza 3.9 Million payers, halafu population ni 62+million, [emoji3][emoji3] hivi huoni kama kuna tatizo?
Hapana wala sipo kwenye siasa nasitarajii, mm sio mwalimu mkuu
 
Nowdays waalimu wanajitihidi mkuu , wengi wanajenga na kununua magari. Nadhani ni ile mikipo yao.

Ila kinachinishangaza kwao ni kutokua na plan B, wengi ni kazi hiyohiyo ya ualimu hamna ishu nyingine ya kuegemea zaidi ya kazi tu. Na mara nyingi huoana wao kwa wao hili nalo sioni kama ni jema saana akili ni za mke na mume ni kama zinakua sawa tu, wakishajenga ni imeisha hiyo.

Kwa sasa wanajitahidi tofauti na miaka kadhaa iliyopita. Wapo wanaopiga hatua lakini wapo pia wanaosubiri kutusua kwa pesa ya mafao.
 
Nyie watoto mkishanunua smartphone ndio mnaanza kutudharau sisi tuliowafundisha mkawa wajanja.Wakati mnaanza form one hamjui definition yoyote.Vichwa vikishajaa mnajiona babu kubwa.
Sisi tunawashauri hatuwadharau
 
Moderator, muokoeni huyu kijana kwa kuufunga tu huu uzi. Maana amechokoza mzinga wa nyuki (Walimu)! Sasa wanamshambulia kutoka kila upande. Tena kwa hoja zilizoshiba kweli kweli, huku yeye akibakia tu kubwabwaja!

Hana mtu wa kumtia moyo! Hakika amebakia peke yake! Na kwa haraka haraka, naona pumzi yake inaelekea kukata. Msaidieni tafadhali.
 
Vishu Mtata upo sahihi ila Hao unaowaona wana vigari mara nyingi vya mkopo nawanateseka sana kwenye ulipaji maana wanakatwa direct kwenye mshahara wako kwahiyo hata kama umepata emergency utakatwa tuu, ujue maisha sio Gari unaweza ukawa na Gari ila likakupa stress mwanzo mwisho, linahitaji service, mafuta n. k..
Swala la walimu kuoana wao kwa wao hilo lipo ili kupata unafuu wa maisha na wengi wao wanaowana wakubwa 40+.
 
Sasa mbona tozo kibao na kodi kila sehemu, hizo pesa serikali inapeleka wapi??
Good question!! Hizo tozo na kodi, ndio zimempa yule mama jeuri ya kusema ile kauli kule Zanzibar, kuondoa ada ya elimu ya Sekondari n.k.

Kuongeza 23% na bado Wabunge wakataka angalau iwe 33% [emoji3][emoji3]

Siasa, upepo wake mkali hii nchi.
 
Walimu wana mchango mkubwa kwa taifa..ila hali ilibadilika baada ya vilaza nao kuanza kuwa walimu..imenifanya niione taaluma ya ualimu kwa Tz kuwa ni taaluma ya hovyo yani taaluma ya vilaza watupu.

Wito kwa wazazi kama umebarikiwa kipato usipeleke mtoto wako shule za umma anaenda kukutana na vilaza watupu wamuambukize ukilaza.
Mpeleke private ambako walimu wanafanyiwa usaili kupata vipanga.

#MaendeleoHayanaChama
 
Moderator, muokoeni huyu kijana kwa kuufunga tu huu uzi. Maana amechokoza mzinga wa nyuki (Walimu)! Sasa wanamshambulia kutoka kila upande. Tena kwa hoja zilizoshiba kweli kweli, huku yeye akibakia tu kubwabwaja!

Hana mtu wa kumtia moyo! Hakika amebakia peke yake! Na kwa haraka haraka, naona pumzi yake inaelekea kukata. Msaidieni tafadhali.
Mimi nimewashauri, wakiona ushauri hauwafai Sawa ila wacha waendelee kukiona cha mtema kuni ili wa jifunze. Watakuja nikumbuka
 
Walimu wana mchango mkubwa kwa taifa..ila hali ilibadilika baada ya vilaza nao kuanza kuwa walimu..imenifanya niione taaluma ya ualimu kwa Tz kuwa ni taaluma ya hovyo yani taaluma ya vilaza watupu.

Wito kwa wazazi kama umebarikiwa kipato usipeleke mtoto wako shule za umma anaenda kukutana na vilaza watupu wamuambukize ukilaza.
Mpeleke private ambako walimu wanafanyiwa usaili kupata vipanga.

#MaendeleoHayanaChama
Yeah sure mkuu, una akili sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom