Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Kwa hiyo hata akina Nyerere, Magufuli, Majaliwa, Tulia, Jenister, na wengineo wengi walio/wanao waongoza pale Lumumba! Akili zao zimekaa upande!

Dogo heshimu walimu wako. Maana hao siku zote husimama kwa niaba ya wazazi wako. Dharau na kejeli, hazitawapeleka kukote.
Tate umechachamaa balaa.

Ulikuwa Mwalimu wa shule ya msingi?
 
Umeandika vema,lakini kuna kitu/vitu hujavifanyia utafiti haswa.
Kwa andiko lako inaonekana mwalimu ndiye daraja la chini kabisa kiuchumi,kiheshima na hata kimwonekano.
Hii siyo kweli,kwa mfano:
1.Walimu ndiyo waumini wazuri katika sehemu za ibada.
2.Walimu kwa kiasi kikubwa ndiyo hutumika pale jamii inayomzunguka ikiwa na shughuli/tukio(MC,wenyeviti wa vikao,waandaa ratiba n.k)
3.Walimu kuna wakati huwasaidia msaada wa hali na mali watoto/wanafunzi bila hata wazazi kujua.Pia hutoa zawadi kwa watoto kuliko hata wazazi wao(baadhi ya wazazi)
4.Walimu wengi hujitahidi kusomesha watoto wao na kusimamia elimu zao vizuri zaidi.Mara nyingi wao hujinyima kumiliki vitu vya gharama kubwa ili wasomeshe watoto wao.
5.Wakulima asilimia kubwa,Wachuuzi,machinga,mgambo na hata wafugaji mara nyingi hutamani kuwa na maisha kama ya walimu wanao wazunguka.(Japo ni kweli walimu hukopa kopa lakini siyo kusema wanakokopa wote wamewazidi vipato.

Kwa ujumla ni kweli walimu ukiwalinganisha na wafanyakazi wengine wao wanaonekana wapo chini.Ila kumbuka nao kuna makundi mengine wameyazidi ktk jamii.
 
Umeandika vema,lakini kuna kitu/vitu hujavifanyia utafiti haswa.
Kwa andiko lako inaonekana mwalimu ndiye daraja la chini kabisa kiuchumi,kiheshima na hata kimwonekano.
Hii siyo kweli,kwa mfano:
1.Walimu ndiyo waumini wazuri katika sehemu za ibada.
2.Walimu kwa kiasi kikubwa ndiyo hutumika pale jamii inayomzunguka ikiwa na shughuli/tukio(MC,wenyeviti wa vikao,waandaa ratiba n.k)
3.Walimu kuna wakati huwasaidia msaada wa hali na mali watoto/wanafunzi bila hata wazazi kujua.Pia hutoa zawadi kwa watoto kuliko hata wazazi wao(baadhi ya wazazi)
4.Walimu wengi hujitahidi kusomesha watoto wao na kusimamia elimu zao vizuri zaidi.Mara nyingi wao hujinyima kumiliki vitu vya gharama kubwa ili wasomeshe watoto wao.
5.Wakulima asilimia kubwa,Wachuuzi,machinga,mgambo na hata wafugaji mara nyingi hutamani kuwa na maisha kama ya walimu wanao wazunguka.(Japo ni kweli walimu hukopa kopa lakini siyo kusema wanakokopa wote wamewazidi vipato.

Kwa ujumla ni kweli walimu ukiwalinganisha na wafanyakazi wengine wao wanaonekana wapo chini.Ila kumbuka nao kuna makundi mengine wameyazidi ktk jamii.
Walimu wengi hawajitambui over
 
Walimu mnawaonea ila mishahara ya watumishi serikalini ni midogo sana sema kinachowafanya hao wengine wa survive ni per diem tu kitu ambacho walimu wana kosa wao wanasubiria mwisho wa mwezi tu wakati kada nyingine huko posho na madokezo ndo yanawaweka mjini ila mishahara inafanana tu.
 
Hili sio uongo lipo wazi kabisa moja ya watumishi wa serikali wanaodharaulika kwenye jamii ni hili kundi la walimu. Hata muonekano wao umekuwa ni too primitive huku wakijidifence eti ni dressing code ya mwalimu lakini nguo zao huwa ni zilezile Shati kubwa ndefu na suruali iliyopwalaruka. Hata wakiwa wanatembea wamejawa na msongo wa mawazo wananuka madeni kila kona utakuta wanadaiwa kila duka mala kakopa dagaa, kakopa sukari, kakopa Unga, kakopa Mchele, mafuta na kila aina ya takataka dhamana yake ni kazi aliyonayo kwahiyo mda wote anaangalia tarehe ya mshahara ikifika tu ndowanakuwa wa kwanza kujazana benki yani siku hiyo panakuwa hapatoshi ni kero tupu, siku za mshahara almost zipo sawa kwa kila mtumishi wa umma ila walimu ikifika net day of salary yupo benki nadhani ni kutokana na madeni aliyonayo pamoja na ukata wa nyumbani maana hawa watu wanalisha Familia kubwa, ya kwake na ndugu zake.

Hii tabia imekuwa ikinifanya nakwazika nakuwaonea huruma pia. Fedheha nyingine nikuwa walimu wengi wanaenda wenye hakili ndogo au waliofeli hili hata Samia alilisema zanzibar, hali hii imekuwa ikipelekea ongezeko kubwa la walimu mitaani wasionaajira bahati mbaya hawana skills zakujiajiri kutokana na low IQ waliyonayo kwahiyo matazamio yao ni kusaka huruma za watawala ili wawaajiri.

Mifano iko wazi, hizi ajira za juzi zilizotangazwa na tamisemi za afya na walimu, idadi kubwa ya walioomba ni walimu, waliomba zaidi ya laki moja wakigombania nafasi elfu tisa lakini afya hawakuzidi elfu thelasini kwa nafasi elfu saba. Hapo unaweza ukaona urahisi una gharama zake, ualimu ni ajira za watu wenye level ndogo ya uelewa darasani lakini udaktari sio program ya kitoto hiyo wanaoenda ni PCB smart hakuna matapitapi ya HKL wala wenye four za form six.

Njaa za walimu zimezidi mipaka. Kwanza hawana subira, angalia tu hizi ajira walizotoa tamisemi, walimu wanasumbua hadi aibu naona mimi, ukiingia kwenye mitandao ya kijamii wanatia huruma hadi kinyaa. Utasikia toeni pdf, mda wote utasikia toeni majina hawajui wizara Ina kazi nyingi za kufanya halafu majina yakitoka siku hiyo hiyo kero inaanza wa naanza kuuliza ajira za walimu mnatoa lini.

Mimi nadhani hii sekta ya walimu kama wizara mnaidekeza sana ndio mana mnawageuza kama cheap labor kwenye kazi za kitaifa kama sensa na uchaguzi mkuu maana mnajua wanalipika kwa pesa ya mrenda. Mbona hamuwachukui madaktari na watu wa TRA au TPDC tuone kama watakubali viajira vya sensa. Sasa mtazamo wangu walimu waanze kwenda wenye ufaulu mzuri kama kada zingine, hii itasaidia kupunguza idadi kubwa ya walimu wenye njaa njaa wanalia saaana,

Walimu waanze kupigwa interview kama kada zingine za utumishi ili kubaini vilaza na smart. Hii hali itapunguza mlundikano wa hawa watu kwenye competition za ajira. Wapigwe oral na written interview ili akili ziwakae sawa. Mbona tuliosoma kada zingine tunakaa mitaani miaka zaidi ya minne nahatusikii ajira zimetangazwa na hata zikitoka hatuanzi kero za kudai majina kwa haraka kama tunakimbizwa. Walimu hawana uvumilivu.

Sina Nia mbaya ila haya mawazo niliyotoa kama yatafanyiwa kazi basi walimu wataanza kuheshimika kama wafanyakazi wengine wa serikalini. View attachment 2271988
Katika mada za kijinga, hii namba moja.
Huwezi kuwadharau watu muhimu kwa maneno ya kejeli kiasi hiki. Bila walimu ungeweza kuandika uharo ulioandika hapa. Hata kama una uwezo kiasi gani huwezi kudharau wenzako kiasi hiki. Wamekuwezesha kuandika unaleta dharau.

Halafu watu kama nyie utakuta mnaishi kwa shemeji zenu. Kuwa na adabu.
 
Hili sio uongo lipo wazi kabisa moja ya watumishi wa serikali wanaodharaulika kwenye jamii ni hili kundi la walimu. Hata muonekano wao umekuwa ni too primitive huku wakijidifence eti ni dressing code ya mwalimu lakini nguo zao huwa ni zilezile Shati kubwa ndefu na suruali iliyopwalaruka. Hata wakiwa wanatembea wamejawa na msongo wa mawazo wananuka madeni kila kona utakuta wanadaiwa kila duka mala kakopa dagaa, kakopa sukari, kakopa Unga, kakopa Mchele, mafuta na kila aina ya takataka dhamana yake ni kazi aliyonayo kwahiyo mda wote anaangalia tarehe ya mshahara ikifika tu ndowanakuwa wa kwanza kujazana benki yani siku hiyo panakuwa hapatoshi ni kero tupu, siku za mshahara almost zipo sawa kwa kila mtumishi wa umma ila walimu ikifika net day of salary yupo benki nadhani ni kutokana na madeni aliyonayo pamoja na ukata wa nyumbani maana hawa watu wanalisha Familia kubwa, ya kwake na ndugu zake.

Hii tabia imekuwa ikinifanya nakwazika nakuwaonea huruma pia. Fedheha nyingine nikuwa walimu wengi wanaenda wenye hakili ndogo au waliofeli hili hata Samia alilisema zanzibar, hali hii imekuwa ikipelekea ongezeko kubwa la walimu mitaani wasionaajira bahati mbaya hawana skills zakujiajiri kutokana na low IQ waliyonayo kwahiyo matazamio yao ni kusaka huruma za watawala ili wawaajiri.

Mifano iko wazi, hizi ajira za juzi zilizotangazwa na tamisemi za afya na walimu, idadi kubwa ya walioomba ni walimu, waliomba zaidi ya laki moja wakigombania nafasi elfu tisa lakini afya hawakuzidi elfu thelasini kwa nafasi elfu saba. Hapo unaweza ukaona urahisi una gharama zake, ualimu ni ajira za watu wenye level ndogo ya uelewa darasani lakini udaktari sio program ya kitoto hiyo wanaoenda ni PCB smart hakuna matapitapi ya HKL wala wenye four za form six.

Njaa za walimu zimezidi mipaka. Kwanza hawana subira, angalia tu hizi ajira walizotoa tamisemi, walimu wanasumbua hadi aibu naona mimi, ukiingia kwenye mitandao ya kijamii wanatia huruma hadi kinyaa. Utasikia toeni pdf, mda wote utasikia toeni majina hawajui wizara Ina kazi nyingi za kufanya halafu majina yakitoka siku hiyo hiyo kero inaanza wa naanza kuuliza ajira za walimu mnatoa lini.

Mimi nadhani hii sekta ya walimu kama wizara mnaidekeza sana ndio mana mnawageuza kama cheap labor kwenye kazi za kitaifa kama sensa na uchaguzi mkuu maana mnajua wanalipika kwa pesa ya mrenda. Mbona hamuwachukui madaktari na watu wa TRA au TPDC tuone kama watakubali viajira vya sensa. Sasa mtazamo wangu walimu waanze kwenda wenye ufaulu mzuri kama kada zingine, hii itasaidia kupunguza idadi kubwa ya walimu wenye njaa njaa wanalia saaana,

Walimu waanze kupigwa interview kama kada zingine za utumishi ili kubaini vilaza na smart. Hii hali itapunguza mlundikano wa hawa watu kwenye competition za ajira. Wapigwe oral na written interview ili akili ziwakae sawa. Mbona tuliosoma kada zingine tunakaa mitaani miaka zaidi ya minne nahatusikii ajira zimetangazwa na hata zikitoka hatuanzi kero za kudai majina kwa haraka kama tunakimbizwa. Walimu hawana uvumilivu.

Sina Nia mbaya ila haya mawazo niliyotoa kama yatafanyiwa kazi basi walimu wataanza kuheshimika kama wafanyakazi wengine wa serikalini. View attachment 2271988
Wewe si ulienda fundisha lindi ikataka kula ka under age?
 

Attachments

  • Screenshot_20220626-195214_2.jpg
    Screenshot_20220626-195214_2.jpg
    54.5 KB · Views: 7
Back
Top Bottom