Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Hawaelewi kuwa mwalimu akistaafu kila mwezi analipwa
Vijana wengi humu ni majobless. Hivyo wapo kimihemko zaidi, na wanafikiri watu wote humu jukwaani ni watoto kama wao.

Wanasema eti walimu wengi wastaafu wanahangaika mtaani mpaka wanatia huruma!! Sasa wanataka hao walimu wakistaafu, wasifanye shughuli nyingine za kujiingizia kipato! Mfano kilimo, ufugaji, biashara, nk?

Na ikatokea mwalimu mstaafu akafariki, shida iko wapi? Kwani sababu za kifo zinasababishwa na kustaafu tu!! Haika kuna mambo yanastaajabisha sana kutokana na uwezo wa kufikiri wa hiki kizazi cha sasa.
 
Hili kundi la walimu lina changamoto kubwa sana, nyingi zinafedhehesha. Walimu wengi wanakufa kwa Kisukari na pressure baada tu ya kustaafu sazingine anatembea njiani na kuongea peke ake

Nadhani kwasababu ya maisha duni waliyonayo na hofu ya kuwa jobless kwamba Sasa pesa atapata wapi kwasababu hawana maarifa ya kufanya biashara

Wengi wao ikiingia pension tu hata mwez haufiki ishateketezwa yoote, anagawia watoto million Tano Tano wanaenda mjini kuzitafuna zote mwisho watoto na baba wanakuwa vichaa wa kuomba omba

Mbaya zaidi nyumba wanajenga kwa pesa ya kustaafu, huwa ujenzi hauishi wanaungaunga za tope imeisha hiyoo
safari ya kwenda mashuleni kufundisha na kurudi nyumbani ni mazoezi yanayowasaidi sana kuwapa afya watu wengi.

Ni sehemu ya mazoezi yao japo wanaweza wasibaini kama zile movement zinaimarisha afya zao...

sasa gafla wanapo staafu ana kubadili mtindo wa maisha, huibuka mamabo mengi nyemelezi yaliyokua yakizuiwa au kudhubitiwa na zile movement za kila siku za kutoka nyumbani hadi kazini na kurudi...

hata hivyo, kifo kaumbiwa mwanadamu,
na tupo hivi tulivyo kwa neema na baraka za Mungu tyuu....
 
Tchaaa 😂😂😂😂

Ma ticha huwa mnapanic Sana sijui kwanini???
mpwayungu njoo huku umjibu huyu tchaa

Mimi sikukuambia uwe tchaaa 😂😂😂😂😂

Tchaa angalia usijerusha ngumi 😊😊😊😂😂
Wewe ni mwanamke au!! Mbona unajichekesha hovyo kama mchumba wangu wa zamani cocastic!!
 
Hili kundi la walimu lina changamoto kubwa sana, nyingi zinafedhehesha. Walimu wengi wanakufa kwa Kisukari na pressure baada tu ya kustaafu sazingine anatembea njiani na kuongea peke ake

Nadhani kwasababu ya maisha duni waliyonayo na hofu ya kuwa jobless kwamba Sasa pesa atapata wapi kwasababu hawana maarifa ya kufanya biashara

Wengi wao ikiingia pension tu hata mwez haufiki ishateketezwa yoote, anagawia watoto million Tano Tano wanaenda mjini kuzitafuna zote mwisho watoto na baba wanakuwa vichaa wa kuomba omba

Mbaya zaidi nyumba wanajenga kwa pesa ya kustaafu, huwa ujenzi hauishi wanaungaunga za tope imeisha hiyoo
Utafiti wako hauna uhalisia, ni maoni tu.
 
kimsingi sio waalimu tu wastaafu wengi wanakosa namna ya kuendelea kuishi vyema baada ya ajira ndiomaana wanapotea haraka sana, kumekosekana elimu mahsusi ya kuwaandaa ili waishi vyema baada ya utumishi, pili kuiga iga na kutumia hela hovyo hasa kwenye ulevi na umalaya, na kingine hakuna utaratibu maalum wa kuangalia afya zao mara wamalizapo utumishi , na kikubwa zaidi ni kukosekana kwa hela ya kueleweka baada ya utumishi, ukiskia mtu kapata kiinua mgongo utadhani ni hela ya maana kumbe yooote imeishia kwenye mamiradi ya serikali huku waliochangia wakiambulia kiduchu, wanaachaje kufa haraka?
 
Hili kundi la walimu lina changamoto kubwa sana, nyingi zinafedhehesha. Walimu wengi wanakufa kwa Kisukari na pressure baada tu ya kustaafu sazingine anatembea njiani na kuongea peke ake

Nadhani kwasababu ya maisha duni waliyonayo na hofu ya kuwa jobless kwamba Sasa pesa atapata wapi kwasababu hawana maarifa ya kufanya biashara

Wengi wao ikiingia pension tu hata mwez haufiki ishateketezwa yoote, anagawia watoto million Tano Tano wanaenda mjini kuzitafuna zote mwisho watoto na baba wanakuwa vichaa wa kuomba omba

Mbaya zaidi nyumba wanajenga kwa pesa ya kustaafu, huwa ujenzi hauishi wanaungaunga za tope imeisha hiyoo
Kwa kuwa thread ni ya ,PWAYUNGU basi no comment
 
Hili sio uongo lipo wazi kabisa moja ya watumishi wa Serikali wanaodharaulika kwenye jamii ni hili kundi la walimu.

Hata muonekano wao umekuwa ni too primitive huku wakijidifence eti ni dressing code ya mwalimu lakini nguo zao huwa ni zilezile shati kubwa ndefu na suruali iliyopwalaruka.

Hata wakiwa wanatembea wamejawa na msongo wa mawazo wananuka madeni kila kona utakuta wanadaiwa kila duka mala kakopa dagaa, kakopa sukari, kakopa Unga, kakopa mchele, mafuta na kila aina ya takataka dhamana yake ni kazi aliyonayo.

Kwa hiyo muda wote anaangalia tarehe ya mshahara ikifika tu ndowanakuwa wa kwanza kujazana benki yani siku hiyo panakuwa hapatoshi ni kero tupu, siku za mshahara almost zipo sawa kwa kila mtumishi wa umma ila walimu ikifika net day of salary yupo benki nadhani ni kutokana na madeni aliyonayo pamoja na ukata wa nyumbani maana hawa watu wanalisha Familia kubwa, ya kwake na ndugu zake.

Hii tabia imekuwa ikinifanya nakwazika nakuwaonea huruma pia.

Fedheha nyingine nikuwa walimu wengi wanaenda wenye hakili ndogo au waliofeli hili hata Samia alilisema zanzibar, hali hii imekuwa ikipelekea ongezeko kubwa la walimu mitaani wasionaajira bahati mbaya hawana skills zakujiajiri kutokana na low IQ waliyonayo kwahiyo matazamio yao ni kusaka huruma za watawala ili wawaajiri.

Mifano iko wazi, hizi ajira za juzi zilizotangazwa na tamisemi za afya na walimu, idadi kubwa ya walioomba ni walimu, waliomba zaidi ya laki moja wakigombania nafasi elfu tisa lakini afya hawakuzidi elfu thelasini kwa nafasi elfu saba. Hapo unaweza ukaona urahisi una gharama zake, ualimu ni ajira za watu wenye level ndogo ya uelewa darasani lakini udaktari sio program ya kitoto hiyo wanaoenda ni PCB smart hakuna matapitapi ya HKL wala wenye four za form six.

Njaa za walimu zimezidi mipaka. Kwanza hawana subira, angalia tu hizi ajira walizotoa tamisemi, walimu wanasumbua hadi aibu naona mimi, ukiingia kwenye mitandao ya kijamii wanatia huruma hadi kinyaa. Utasikia toeni pdf, mda wote utasikia toeni majina hawajui wizara Ina kazi nyingi za kufanya halafu majina yakitoka siku hiyo hiyo kero inaanza wa naanza kuuliza ajira za walimu mnatoa lini.

Mimi nadhani hii sekta ya walimu kama wizara mnaidekeza sana ndio mana mnawageuza kama cheap labor kwenye kazi za kitaifa kama sensa na uchaguzi mkuu maana mnajua wanalipika kwa pesa ya mrenda. Mbona hamuwachukui madaktari na watu wa TRA au TPDC tuone kama watakubali viajira vya sensa. Sasa mtazamo wangu walimu waanze kwenda wenye ufaulu mzuri kama kada zingine, hii itasaidia kupunguza idadi kubwa ya walimu wenye njaa njaa wanalia saaana,

Walimu waanze kupigwa interview kama kada zingine za utumishi ili kubaini vilaza na smart. Hii hali itapunguza mlundikano wa hawa watu kwenye competition za ajira. Wapigwe oral na written interview ili akili ziwakae sawa. Mbona tuliosoma kada zingine tunakaa mitaani miaka zaidi ya minne nahatusikii ajira zimetangazwa na hata zikitoka hatuanzi kero za kudai majina kwa haraka kama tunakimbizwa. Walimu hawana uvumilivu.

Sina Nia mbaya ila haya mawazo niliyotoa kama yatafanyiwa kazi basi walimu wataanza kuheshimika kama wafanyakazi wengine wa serikalini.
View attachment 2271988
Usingefundishwa na hao vilaza usingejua kuandika hivyo kaa chini tulia kama ww sio mwl pita juuu
 
Back
Top Bottom