chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,079
- 2,273
Huwa wanaanza kuongea mambo ya kazi kwenye bia.Those "peple" are idiots!Wasio tumia kilevi wanaboa. Kiufupi mtoko bila kilevi haunogi
Pia hawako romantic kabisa yaaniHuwa wanaanza kuongea mambo ya kazi kwenye bia.Those "peple" are idiots!
Kuna wanaume malaya kama wanywa pombe? Chupa mbili tatu pombe zinakimbilia kichwa cha chini kila mwanamke anaanza kuwa mzuri na wakuvutia au nasema uongo Extrovert ?Wasio walevi wengi wanabore, alafu ni malaya, starehe yao ni chini, sisi walevi hatuna mambo mengi alafu wazungu wanafsi.
Wanapesa sana old man na sio wabahili hawana stress kama wabahili walivyo na mistresss yao... We tafuta pesa then kunywa pombe utaona maajabu yake kifupi ulevi ni kama muujizaWasalaam
Hii nimeshuhudia sana. Kama mtu anakunywa pombe ni rahisi kuwapata Wanawake ila kama hunywi ni ngumu sana. Najiuliza sana sababu ni nini.
Hata wewe ukienda Bar utawapata tu.Wasalaam
Hii nimeshuhudia sana. Kama mtu anakunywa pombe ni rahisi kuwapata Wanawake ila kama hunywi ni ngumu sana. Najiuliza sana sababu ni nini.
Bila shaka utafiti huu umeufanyia Bar, jibu ni kweli kabisa maana wote waleviWasalaam
Hii nimeshuhudia sana. Kama mtu anakunywa pombe ni rahisi kuwapata Wanawake ila kama hunywi ni ngumu sana. Najiuliza sana sababu ni nini.
Ke washajipatia Buzi kimasihara kulichuna, Me tusiogonga pombe tumebarikiwa hakika.Wasalaam
Hii nimeshuhudia sana. Kama mtu anakunywa pombe ni rahisi kuwapata Wanawake ila kama hunywi ni ngumu sana. Najiuliza sana sababu ni nini.