Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Sawa sawa😅😅Hiyo tunaita Divai....ndio muujiza wa kwanza alioufanya bwana Yesu kwenye harusi pale kana ya Galilaya,hebu chungulia Yohana 2:1-11...Gonga vitu mama😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawa😅😅Hiyo tunaita Divai....ndio muujiza wa kwanza alioufanya bwana Yesu kwenye harusi pale kana ya Galilaya,hebu chungulia Yohana 2:1-11...Gonga vitu mama😁
Yaani,!!mara hizi ndala Kwa Nini zinakaa hapa mlangoni?😁😁😁Utasikia mimi nikifika wote mje sebuleni kunisalimia [emoji3][emoji3]
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Na mnywa kitoko na banana je maana wote ni waleviUliwahi kuona mnywa bia hana akili?
🤣🤣🤣🤣Kwa kweli,ukipata wa hivyo ye akishazima unampiga diper lake fresh akija stuka baadae limejaa top kufulishana mi acid ya watu wazima inahusu?Hao sasa ndo na vilimo vya umwagilaji sio issue kwao 🤣🤣🤣
Unafua nguo za mikojo za watoto na wakubwa
ila nyie ni walevi🤣Pombe na umalaya ni mtu na binamu yake.!!
Wengine hatupendi wanaume walevi
Haha heeheWasalaam
Hii nimeshuhudia sana. Kama mtu anakunywa pombe ni rahisi kuwapata Wanawake ila kama hunywi ni ngumu sana. Najiuliza sana sababu ni nini.
🤣🤣🤣 Sheeendwaaila nyie ni walevi🤣
wewe hadi vodka unagonga wewe🤣🤣🤣🤣 Sheeendwaa
Mi naonjaga wine tu ili kulegeza mwili kaka ako tusisumbuane kwenye kilimo cha kutafuta watoto
nataka niende bangini mie😂😂😂 okee hunywi. Basi hata mvinyo kidogo kwa ajili ya tumbo lako?
Em soma mithali 31:6-7
Hii sentence tata sana hii yaan ndio kusema kwambaWanapenda kwa sababu ni rahisi kuwatoa mferejini na kuwaingiza mtaroni bila ya wao kushituka kama wamepelekwa mtaroni.