Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
🤣🤣🤣Wewe najua upo upande gani tayariItapendeza😅
Wewe upo upande gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Wewe najua upo upande gani tayariItapendeza😅
Wewe upo upande gani?
Sina ujlevi huo mkuu wa kushindwa kutambua njia nipitayoUnataka kusema wewe hujawahi kujikuta umeangukia mtaroni?
Sasa kutomasa makalio ni jambo la kumsema mtu mkuu? Ushauri kama unapenda afya yako ya akili basi usisite kudate mlevi.Si unaona😂😂😂 hata ukijitetea namna gani tunarudi pale pale chupa mbili tatu tu wanawake wote baa wana makalio makubwa na sura za kupendeza.
Mvinyo kidogo tu hawezi amka akiwa anahitaji supu 🤣Yaani mstari wa 7 ndio kiboko,maskini apewe mvinyo asahau shida yake?jamani muwe mnamwandalia maskini na Hela supu kesho yake 😁😁😁
Wala. Hata nyumbani uwaga hivo mkuu. Maana ukishalewa,anakusachi,akipata, anaficha,ukiuliza atakwambia hata pikipiki ilokuleta kalipia yeye. Utasema nini sasa!!!Title ya hii thread ilitakiwa iwe: Kwanini wanawake walevi wanapenda wanaume walevi?
Wale ni assistants. Wanajikojolea.Na mnywa kitoko na banana je maana wote ni walevi
Teh teh teh sasa,wale akistua tu Kili 2,hata kutembea hawezi. Huyo sawa? Au aagize tu home,haina shida!!Wanaume wasiokunywa hapana aisee,Wana viprotocal na visheriasheria visivyo na kichwa Wala miguu....Asiwe tu mleviiii
Au mlango wowote atakaoukuta wazi, ndo kwake hapo. Akute mama wa watu yupo nacked,aanze eti mama nani(anamuita mke wake)!! Mbona leo unaonekana kitoto vipi!Mlevi anakunywa chochote kikubwa alewe hata visungura kwake fresh tu.!! Mnywaji anashtua ubongo kidogo basi..!!!
Tofauti na yule mlevi mpk mlango wa nyumbani kwake anafungua na teke 🤣🤣🤣🤣
Eti kutomasa makalio🙌🙌🙌Sasa kutomasa makalio ni jambo la kumsema mtu mkuu? Ushauri kama unapenda afya yako ya akili basi usisite kudate mlevi.
Na walevi wanapenda kuongea km chiriku hawajui km midomo inanuka 🤣🤣🤣Au mlango wowote atakaoukuta wazi, ndo kwake hapo. Akute mama wa watu yupo nacked,aanze eti mama nani(anamuita mke wake)!! Mbona leo unaonekana kitoto vipi!
Hakuna kilichowahi kunishawishi kwa mlevi zaid ya kuona akilewa anakua mjingaHamna mkuu, ukilewa, confidence inaongezeka, charisma inaongezeka, sex appeal inaongezeka unakua mtu mwingine yaani
Itakua ndo ke wanachokipenda, nimeona sana ke walokole wanadata kwa walevi
Sasa🤦!!! Si ndo raha ya mlevi baba wa familia. Aulize mmekula kuku? Mnasema hapana. Anauliza kwani kuku Sh ngapi? Mama anasema laki mbili. Dadeeki. Hiyo ni saa saba usiku au saa nane. Anamwambia mdada wa kazi afate kuku sokoni. Hao si ndo wazuli! Ila akiwa John Cena, ndo utajua hujuiUtasikia mimi nikifika wote mje sebuleni kunisalimia [emoji3][emoji3]
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
😅😅😂😂Sahihi, There are exceptions to every rule.
Tena huyo uliyem -cc ndio pombe hazishuki bila mtoto mzuri pembeni
Wazee wa soda 🥤 na juice 🥤 hawapogo REALMtoa mada kauliza vzr tu nashangaaa mabalozi wa uji na juice mpo bize kumanipulate