Hapo sasa. Ndo ujiulize mwanamke anaelala na baba mlevi,avutae sigara au ngiba, anakuwa na hali gani. Hata mnywaji,labda wote muwe mnakunywa.Na walevi wanapenda kuongea km chiriku hawajui km midomo inanuka 🤣🤣🤣
Au jimama liwe linajiboost kwa bia af father house hagusi! Hapo mmoja atalala chumba cha wageni