Ni kwanini wanawake wanapenda wanaume wanaokunywa pombe?

Ni kwanini wanawake wanapenda wanaume wanaokunywa pombe?

Wanaume walevi wanapendwa na wanawake walevi

Hivyo hivyo rafiki mlevi anakuaga na rafiki mlevi, mtu ambae siyo mlevi ni ngumu sana kuwa na rafiki mlevi labda wawe na mazoea tu kupiga stori na kucheka na siyo urafiki wa maana
Hamna mkuu, ukilewa, confidence inaongezeka, charisma inaongezeka, sex appeal inaongezeka unakua mtu mwingine yaani

Itakua ndo ke wanachokipenda, nimeona sana ke walokole wanadata kwa walevi
 
Kuna wanaume malaya kama wanywa pombe? Chupa mbili tatu pombe zinakimbilia kichwa cha chini kila mwanamke anaanza kuwa mzuri na wakuvutia au nasema uongo Extrovert ?
Unatuonea, ni kweli tulkilewa pombe zinashuka chini lakini muda mwingi tunaishia kutoa ofa za beer na kutomasa makalio tu mpaka siku inaisha tunarudi kulala makwetu, itokee mara moja moja kweli as a man unaondoka na mmoja na kuna mawili upige show au ufike kitandani upitiwe na usingizi wa ulevi pasipo kuchapa ngozi.
 
Wajitokezo KE wanaopenda wanywa Fanta tujue kama wapo pia.
Nasikia wanawapenda sababu wakishalewa hawatembei vizuri ni mwendo wa kuyumba hivyo ni rahisi kutumbukia mtaroni huko akapambane na matope wakati huo pombe zimekaa kichwani akija kushtuka katakaa matope nguo hazitamaniki
 
Unatuonea, ni kweli tulkilewa pombe zinashuka chini lakini muda mwingi tunaishia kutoa ofa za beer na kutomasa makalio tu mpaka siku inaisha tunarudi kulala makwetu, itokee mara moja moja kweli as a man unaondoka na mmoja na kuna mawili upige show au ufike kitandani upitiwe na usingizi wa ulevi pasipo kuchapa ngozi.
Unataka kusema wewe hujawahi kujikuta umeangukia mtaroni?
 
Unatuonea, ni kweli tulkilewa pombe zinashuka chini lakini muda mwingi tunaishia kutoa ofa za beer na kutomasa makalio tu mpaka siku inaisha tunarudi kulala makwetu, itokee mara moja moja kweli as a man unaondoka na mmoja na kuna mawili upige show au ufike kitandani upitiwe na usingizi wa ulevi pasipo kuchapa ngozi.
Si unaona😂😂😂 hata ukijitetea namna gani tunarudi pale pale chupa mbili tatu tu wanawake wote baa wana makalio makubwa na sura za kupendeza.
 
Ni shida sana sasa kama hizi kazi zetu watu wanashtua nilienda mkoa flani uko jioni tumetoka kazini naona watu wote wamependeza nilikunywa red bull nusu nife bahat nzuri nlipata kamamaa kakuondoka nako hotel
 
Back
Top Bottom