Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Puff puff pass…nataka niende bangini mie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Puff puff pass…nataka niende bangini mie
Unamuwekea ute wa yai aache ujinga, anywe kistaarabu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwa kweli,ukipata wa hivyo ye akishazima unampiga diper lake fresh akija stuka baadae limekaa top kufulishana mi acid ya watu wazima inahusu?
Kama ni kiburudisho ni yeye kaamua awe hivyo...sijaona tatizo.Extrovert..."Ke yeyote mlevi ni kiburudisho tena hutumika vizuri laini zote 2 kikishalewa".
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hamna mkuu, ukilewa, confidence inaongezeka, charisma inaongezeka, sex appeal inaongezeka unakua mtu mwingine yaaniWanaume walevi wanapendwa na wanawake walevi
Hivyo hivyo rafiki mlevi anakuaga na rafiki mlevi, mtu ambae siyo mlevi ni ngumu sana kuwa na rafiki mlevi labda wawe na mazoea tu kupiga stori na kucheka na siyo urafiki wa maana
😂😂😂 Nilimix Amarula na konyagi nisianze kumfokea kaka ako aliniwasha makofi sina hamu..!!wewe hadi vodka unagonga wewe🤣
Unatuonea, ni kweli tulkilewa pombe zinashuka chini lakini muda mwingi tunaishia kutoa ofa za beer na kutomasa makalio tu mpaka siku inaisha tunarudi kulala makwetu, itokee mara moja moja kweli as a man unaondoka na mmoja na kuna mawili upige show au ufike kitandani upitiwe na usingizi wa ulevi pasipo kuchapa ngozi.Kuna wanaume malaya kama wanywa pombe? Chupa mbili tatu pombe zinakimbilia kichwa cha chini kila mwanamke anaanza kuwa mzuri na wakuvutia au nasema uongo Extrovert ?
naunga mkono hoja, nilewe alafu niwe nimejaa mfukoni sijui najikutaga nani mla bata mimi.Hamna mkuu, ukilewa, confidence inaongezeka, charisma inaongezeka, sex appeal inaongezeka unakua mtu mwingine yaani
Itakua ndo ke wanachokipenda, nimeona sana ke walokole wanadata kwa walevi
Nasikia wanawapenda sababu wakishalewa hawatembei vizuri ni mwendo wa kuyumba hivyo ni rahisi kutumbukia mtaroni huko akapambane na matope wakati huo pombe zimekaa kichwani akija kushtuka katakaa matope nguo hazitamanikiWajitokezo KE wanaopenda wanywa Fanta tujue kama wapo pia.
Lengo la kunywa huwa linaeleweka, hata hivyo pesa ni zao na maisha ni yao.Kama ni kiburudisho ni yeye kaamua awe hivyo...sijaona tatizo.
Halafu tofautisha mnywaji na mlevi
Unataka kusema wewe hujawahi kujikuta umeangukia mtaroni?Unatuonea, ni kweli tulkilewa pombe zinashuka chini lakini muda mwingi tunaishia kutoa ofa za beer na kutomasa makalio tu mpaka siku inaisha tunarudi kulala makwetu, itokee mara moja moja kweli as a man unaondoka na mmoja na kuna mawili upige show au ufike kitandani upitiwe na usingizi wa ulevi pasipo kuchapa ngozi.
Si unaona😂😂😂 hata ukijitetea namna gani tunarudi pale pale chupa mbili tatu tu wanawake wote baa wana makalio makubwa na sura za kupendeza.Unatuonea, ni kweli tulkilewa pombe zinashuka chini lakini muda mwingi tunaishia kutoa ofa za beer na kutomasa makalio tu mpaka siku inaisha tunarudi kulala makwetu, itokee mara moja moja kweli as a man unaondoka na mmoja na kuna mawili upige show au ufike kitandani upitiwe na usingizi wa ulevi pasipo kuchapa ngozi.
mie hata unishikie panga amarula siinywi....niliwah mix uwiii..🤣🙌...since then naiangaliaga kwa mbaliii😂😂😂 Nilimix Amarula na konyagi nisianze kumfokea kaka ako aliniwasha makofi sina hamu..!!
Mimi nadhani humu kuwe na chama cha wanywa pombe na cha wanywa soda ili twende sawa!Wasio tumia kilevi wanaboa. Kiufupi mtoko bila kilevi haunogi
Nzuri mi naipenda, inakujaza mi confidence kwa bed hata km cha uvivu pale unaonekana kungwi la makungwi 🤣🤣🤣mie hata unishikie panga amarula siinywi....niliwah mix uwiii..🤣🙌...since then naiangaliaga kwa mbaliii
Kwasababu hao ndio rahisi kuwapiga. Ushangai kila unaposikia wanaume kulalamika kupigwa na wake zao, mara nyingi inakuwa from RomboWasalaam
Hii nimeshuhudia sana. Kama mtu anakunywa pombe ni rahisi kuwapata Wanawake ila kama hunywi ni ngumu sana. Najiuliza sana sababu ni nini.
Itapendeza😅Mimi nadhani humu kuwe na chama cha wanywa pombe na cha wanywa soda ili twende sawa!
Yaani mstari wa 7 ndio kiboko,maskini apewe mvinyo asahau shida yake?jamani muwe mnamwandalia maskini na Hela supu kesho yake 😁😁😁😂😂😂 okee hunywi. Basi hata mvinyo kidogo kwa ajili ya tumbo lako?
Em soma mithali 31:6-7