Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Mtoko una loshoro na magimbi 🤣Wasio tumia kilevi wanaboa. Kiufupi mtoko bila kilevi haunogi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoko una loshoro na magimbi 🤣Wasio tumia kilevi wanaboa. Kiufupi mtoko bila kilevi haunogi
Kwahiyo siku hizi kuna humanity is a work, kuna yule kila uzi analia, kuna yule wa job true true. 😁😁Ke washajipatia Buzi kimasihara kulichuna, Me tusiogonga pombe tumebarikiwa hakika.
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kweli.Wasio tumia kilevi wanaboa. Kiufupi mtoko bila kilevi haunogi
Ha haaaMtoko una loshoro na magimbi 🤣
Tofauti ulevi na unywajiPombe na umalaya ni mtu na binamu yake.!!
Wengine hatupendi wanaume walevi
Mama mchungaji na wewe unakunywaga wine😅😅Kweli.
Wanaume wasiokunywa hapana aisee,Wana viprotocal na visheriasheria visivyo na kichwa Wala miguu....Asiwe tu mleviiii
Mlevi anakunywa chochote kikubwa alewe hata visungura kwake fresh tu.!! Mnywaji anashtua ubongo kidogo basi..!!!Tofauti ulevi na unywaji
Hiyo tunaita Divai....ndio muujiza wa kwanza alioufanya bwana Yesu kwenye harusi pale kana ya Galilaya,hebu chungulia Yohana 2:1-11...Gonga vitu mama😁Mama mchungaji na wewe unakunywaga wine😅😅
Shukuru hata huyo ana nguvu ya kupiga teke,Kuna wenzie anasahau gari baa,Kuna mwingine anafika nalo ila gari ikizima na yeye anazima hapohapo analalia sterling 🤣Mlevi anakunywa chochote kikubwa alewe hata visungura kwake fresh tu.!! Mnywaji anashtua ubongo kidogo basi..!!!
Tofauti na yule mlevi mpk mlango wa nyumbani kwake anafungua na teke 🤣🤣🤣🤣
Sio Kila saa uko na Hizo logical Kuna saa tunabidi kuwa hoves😁Meaning kwamba wewe na logic decisions ni east and west.
DeepPond..."Ke yeyote mlevi ni kiburudisho tena hutumika vizuri laini zote 2 kikishalewa".Wasio tumia kilevi wanaboa. Kiufupi mtoko bila kilevi haunogi
Sio Kila saa uko na Hizo logical Kuna saa tunabidi kuwa hoves[emoji16]
Hao sasa ndo na vilimo vya umwagilaji sio issue kwao 🤣🤣🤣Shukuru hata huyo ana nguvu ya kupiga teke,Kuna wenzie anasahau gari baa,Kuna mwingine anafika nalo ila gari ikizima na yeye anazima hapohapo analalia sterling 🤣
Ili iwe rahisi kwenda kwa mpalange !Wasalaam
Hii nimeshuhudia sana. Kama mtu anakunywa pombe ni rahisi kuwapata Wanawake ila kama hunywi ni ngumu sana. Najiuliza sana sababu ni nini.
Wasalaam
Hii nimeshuhudia sana. Kama mtu anakunywa pombe ni rahisi kuwapata Wanawake ila kama hunywi ni ngumu sana. Najiuliza sana sababu ni nini.
Utasikia mimi nikifika wote mje sebuleni kunisalimia [emoji3][emoji3]Wanaume wasiokunywa hapana aisee,Wana viprotocal na visheriasheria visivyo na kichwa Wala miguu....Asiwe tu mleviiii