Si kina ba mdogo wa town au!!!Walevi kokote wapo mpk kwenye familia za kilokole au ww ulikuwa unamaanisha wa kina nani.?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kina ba mdogo wa town au!!!Walevi kokote wapo mpk kwenye familia za kilokole au ww ulikuwa unamaanisha wa kina nani.?!
Hivi kumbe.?!! Basi mi napitwa na gari la mshaharaNa ndo wana hela sisi kina Paul kagame hatuna fwedha
Ww itakuwa ndo tabia zako 🤣🤣🤣Hahahahahaha sasa hao,wabobevu,si hasira zikipanda atakunyanyua na mkono mmoja! Maana anakuwa kila kitu anakitambua.
Au ajifanye amelewa, umwambie silali nasepa zangu. Ndo utajua kagonga kweli au kaigiza.😅😅😅😅😅
Ndio walevi.?!Si kina ba mdogo wa town au!!!
nimemuona nikastuka sana, na nikarudi nyuma kidogo,🤣🤣🤣 Mbona mama ako wa kiroho Joannah humshangai?! Naye yupo humu
Mwanaume unakunywaje flying fish 🙄Unaijua
SMIRNOFF BLACK ACE
FLYING FISH
GUINNESS SMOOTH
??
Ngoja wajuvi watakuja kukwambia😊😊😊😊
Sasa,si na wao kugundua waaminifu wajifanye wamegonga vitu kweli kweli.Ww itakuwa ndo tabia zako 🤣🤣🤣
Ww umefata nini huku.?!! 🤣🤣🤣nimemuona nikastuka sana, na nikarudi nyuma kidogo,
lakin ndo hivo tena nilishakua nimepress ok ya reply battan na nafundisho yangu kwa jamii yakawa hewani tayari juu ya bandiko la huyo muungwana...
Utaniona kwenye ushiriki wa madaItapendeza😅
Wewe upo upande gani?
Na mi nimeshangaa pombe za kujifunzia hata hazileweshi ni super Shake zilizochangamka hizo 🤣🤣🤣Mwanaume unakunywaje flying fish 🙄
Hizo ulizotaja hapo ni za wadada tena wanaojifunza
Kwanza zina sukari vibaya sana huwezi kunywa tatu at once
Nyie mabazazi 🤣🤣🤣Sasa,si na wao kugundua waaminifu wajifanye wamegonga vitu kweli kweli.
Mi wala si mlevi wala mnywaji. Mi ntakuwa kwenye kundi la makauzu. Ila tu kiuhalisia,tumekunywa,kwa bili yangu, umenisindikiza,lazima uhakikishe kunakucha salama🤣🤣🤣🙄🤪
Sasa jamani,mtu wa watu huenda nae ndo anajifunza, ndo kaelekezwa au kaletewa na kishtobe wake. Si kikubwa kasogea?! Muacheni baada ya miezi 6 ataleta mada hapa.Na mi nimeshangaa pombe za kujifunzia hata hazileweshi ni super Shake zilizochangamka hizo 🤣🤣🤣
😂😂😂😂 eti kishtobe!!! Ila wwSasa jamani,mtu wa watu huenda nae ndo anajifunza, ndo kaelekezwa au kaletewa na kishtobe wake. Si kikubwa kasogea?! Muacheni baada ya miezi 6 ataleta mada hapa.
Si kajina fulani ka kitambo?! Nimekukumbusha, nihonge kisungura😂😂😂😂 eti kishtobe!!! Ila ww
ni katika kazi za nje tu za hapa na paleWw umefata nini huku.?!! 🤣🤣🤣
[emoji1][emoji1]Wanaume wengi wanaokunywa pombe huwa wanakunjua moyo, wana ujasiri na wanaweza kuongea chochote kilichopo akilini. Na wanawake wanapenda hivyo vitu. Sasa we endelea kunywa fanta
[emoji16]Uliwahi kuona mnywa bia hana akili?
Sio kwel tunaweza kunywa unavyotaka tukaenda kulala , nikaishia tu mkono juu ya tako .mda mwingne na miguu nakupandishia kabisaKuna wanaume malaya kama wanywa pombe? Chupa mbili tatu pombe zinakimbilia kichwa cha chini kila mwanamke anaanza kuwa mzuri na wakuvutia au nasema uongo Extrovert ?
ulevi ni kama muujiza[emoji16][emoji16][emoji16]Wanapesa sana old man na sio wabahili hawana stress kama wabahili walivyo na mistresss yao... We tafuta pesa then kunywa pombe utaona maajabu yake kifupi ulevi ni kama muujiza