Ni kwanini wanawake wanapenda wanaume wanaokunywa pombe?

Ni kwanini wanawake wanapenda wanaume wanaokunywa pombe?

Hahahahahaha sasa hao,wabobevu,si hasira zikipanda atakunyanyua na mkono mmoja! Maana anakuwa kila kitu anakitambua.
Au ajifanye amelewa, umwambie silali nasepa zangu. Ndo utajua kagonga kweli au kaigiza.😅😅😅😅😅
Ww itakuwa ndo tabia zako 🤣🤣🤣
 
Mwanaume unakunywaje flying fish 🙄
Hizo ulizotaja hapo ni za wadada tena wanaojifunza
Kwanza zina sukari vibaya sana huwezi kunywa tatu at once
Na mi nimeshangaa pombe za kujifunzia hata hazileweshi ni super Shake zilizochangamka hizo 🤣🤣🤣
 
1.Wanaume walevi wanawaokota wanawake walevi wenzao huko bar.

2.Ukilewa una uwezo wa kumtongoza yeyote hata Mama mkwe hivyo ukitongoza mabinti 10 ukiwa Tungi hukosi walau wa 4.

3.Walevi watakuwa wanahonga hovyo hivyo rahisi kuwadaka wanawake.
 
Sasa,si na wao kugundua waaminifu wajifanye wamegonga vitu kweli kweli.
Mi wala si mlevi wala mnywaji. Mi ntakuwa kwenye kundi la makauzu. Ila tu kiuhalisia,tumekunywa,kwa bili yangu, umenisindikiza,lazima uhakikishe kunakucha salama🤣🤣🤣🙄🤪
Nyie mabazazi 🤣🤣🤣
 
Wanaume wengi wanaokunywa pombe huwa wanakunjua moyo, wana ujasiri na wanaweza kuongea chochote kilichopo akilini. Na wanawake wanapenda hivyo vitu. Sasa we endelea kunywa fanta
[emoji1][emoji1]
 
Kuna wanaume malaya kama wanywa pombe? Chupa mbili tatu pombe zinakimbilia kichwa cha chini kila mwanamke anaanza kuwa mzuri na wakuvutia au nasema uongo Extrovert ?
Sio kwel tunaweza kunywa unavyotaka tukaenda kulala , nikaishia tu mkono juu ya tako .mda mwingne na miguu nakupandishia kabisa
[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Back
Top Bottom