Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Nikuhonge.?! 😳Si kajina fulani ka kitambo?! Nimekukumbusha, nihonge kisungura
Wanawake hatujawahi kuwa na pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikuhonge.?! 😳Si kajina fulani ka kitambo?! Nimekukumbusha, nihonge kisungura
Ungekuta nilisha kufa ngoma kitambo[emoji4]Pombe na umalaya ni mtu na binamu yake.!!
Wengine hatupendi wanaume walevi
[emoji76]Wanaume wasiokunywa hapana aisee,Wana viprotocal na visheriasheria visivyo na kichwa Wala miguu....Asiwe tu mleviiii
Thubutuuu!!! Na ww ni chapombe 🤣🤣ni katika kazi za nje tu za hapa na pale
Wadada mnajifanyaga mnakunywa wine tu ,kumbe ata mamizinga ya nyangi mnatambaa nayo tu.[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]Hiyo tunaita Divai....ndio muujiza wa kwanza alioufanya bwana Yesu kwenye harusi pale kana ya Galilaya,hebu chungulia Yohana 2:1-11...Gonga vitu mama[emoji16]
Wapi nimesema habari za kifo? 🤣Ungekuta nilisha kufa ngoma kitambo[emoji4]
🤣🤣🤣🤣Tunakunywa new captain in town... Captain Morgan 🤣Wadada mnajifanyaga mnakunywa wine tu ,kumbe ata mamizinga ya nyangi mnatambaa nayo tu.[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwanaume asiye kunywa pombe hata kidogo wa kazi gani sasa?[emoji23][emoji23]
nafundishaga mpaka huko wanakokunywa na hata sadaka wanatoaga kwa moyo vizuri sanaThubutuuu!!! Na ww ni chapombe 🤣🤣
Mkuu na ujanja wote unatumia vitu vinaleta nyuki [emoji16]ila nyie ni walevi[emoji1787]
Ww nae ni mlevi tu hakuna cha wine apa[emoji12][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sheeendwaa
Mi naonjaga wine tu ili kulegeza mwili kaka ako tusisumbuane kwenye kilimo cha kutafuta watoto
Sema na wewe huwa unajidunga ili ukawatapeli waumini vizuri 🤣nafundishaga mpaka huko wanakokunywa na hata sadaka wanatoaga kwa moyo vizuri sana
nikinywa pombe au soda basi sijailipiaMkuu na ujanja wote unatumia vitu vinaleta nyuki [emoji16]
UongoWasalaam
Hii nimeshuhudia sana. Kama mtu anakunywa pombe ni rahisi kuwapata Wanawake ila kama hunywi ni ngumu sana. Najiuliza sana sababu ni nini.
Ukiona hivyo ujue mwanamke huyo ni mpenda bata tu bali hataki kuto....mbwa. Wanajua walevu hawana pumzi kitandani. So, wanapend kula bata lakini hawapendi kuto....mbwa. Wanawake wa aina hii ni mbwa sana. Waepuke kwa kila hali.Wasalaam
Hii nimeshuhudia sana. Kama mtu anakunywa pombe ni rahisi kuwapata Wanawake ila kama hunywi ni ngumu sana. Najiuliza sana sababu ni nini.
Mkuu huijui dunia wewe , ukinywa pombe kwa pesa yako milango ya pesa inafunguka mara kumi , Ameeni.nikinywa pombe au soda basi sijailipia
mimi kutoa hela yangu kununua soda, pombe hapana
🤣🤣🤣 Ww mi nimeokokaWw nae ni mlevi tu hakuna cha wine apa[emoji12]