Ni kwanini wanawake wanapenda wanaume wanaokunywa pombe?

Ni kwanini wanawake wanapenda wanaume wanaokunywa pombe?

Wanakuaga wanafiki kichizi akikukuta unasukuma Moja dar Moja njombe anaanza kuwaza Kwa siku unatumia 15k Kwa mwezi Sijui gn Kwa mwaka Sijui gn anaconclude kwa miaka mitatu ushanunua hiace ya Arusha moshi
Atakupigia hesabu za mabati na misumali plus matofali na nondo😊😅

Enjoy_ Jux & diamond

🤣🤣
 
kutapeli hapana, siwezi,

sidhani kama nimepungukiwa kiasi cha kufikia hatua hiyo mbaya, hatari na ya fedheha, haiwezekani.
nadhani najitosheleza vizuri na kwa uhakiaka kabisa wa muda mrefu kidogo ujao..
Kwahiyo una pesa nyingi baba mchungaji?! 😜
Dada Joannah unamuelewa huyu lakini..?! Hebu atutumie pesa ya Captain Morgan tuamini maneno yake 🤣🤣🤣
 
Unatuonea, ni kweli tulkilewa pombe zinashuka chini lakini muda mwingi tunaishia kutoa ofa za beer na kutomasa makalio tu mpaka siku inaisha tunarudi kulala makwetu, itokee mara moja moja kweli as a man unaondoka na mmoja na kuna mawili upige show au ufike kitandani upitiwe na usingizi wa ulevi pasipo kuchapa ngozi.
Mkuu kwel wewe ni mla bata hakika , kuna code za kilevi umezifungua apa.
 
Kwahiyo una pesa nyingi baba mchungaji?! 😜
Dada Joannah unamuelewa huyu lakini..?! Hebu atutumie pesa Captain Morgan tuamini maneno yake 🤣🤣🤣
mie sijasema napesa mingi, aaah, hapana, ispokua kwakusema ukweli namshukuru Mungu natosheka na anacho nijaalia kibindoni pangu,

Nafurahia kibali cha maisha anachonijaali Mungu, zawadi ya uhai na afya, bidii, maarifa, nguvu na kipato kizuri...

na huyo captain morgan ni nani na ni wawapi walau ni mjuee, ili nione jinzi ya nitume hiyo nauli
 
Back
Top Bottom