Ni kwanini wanawake wanapenda wanaume wanaokunywa pombe?

Ni kwanini wanawake wanapenda wanaume wanaokunywa pombe?

Wasalaam
Hii nimeshuhudia sana. Kama mtu anakunywa pombe ni rahisi kuwapata Wanawake ila kama hunywi ni ngumu sana. Najiuliza sana sababu ni nini.
Wanawake wa sasa wanataka kuwa vichwa vya familia hivyo hupenda kuwa na mtu dhaifu ili wawe viongozi automatically... Tazama familia nyingi ambazo baba ni mlevi utaona hata watoto wanamuona mama ndo master plan muweka mambo sawa huku baba akionekana kama asie na dira na mwenye Kuharibu familia kwaajili ya ulevi.... ilihali hela yake ndo mama huitumia kuweka mambo sawa

Usipotumia akili kuishi na hawa viumbe kwenye hii dunia utashtukia hauna kitu mwishoni, Wenzetu walishatusoma kwamba kwa mabavu hawatotuweza hivyo hutumia akili kukutoa kwenye reli (Leo watakuambia hatupendi wanaume weupe tunataka weusi sura ngumu) we na rangi yako nyeusi unaviiimba kumbe mwenzako anataka ule udhaifu wako ili uwe chini kwake kwa sababu ya uzuri aliokuzidi hivyo akuendeshe atavyo.

Wake up men.
 
Wanawake wa sasa wanataka kuwa vichwa vya familia hivyo hupenda kuwa na mtu dhaifu ili wawe viongozi automatically... Tazama familia nyingi ambazo baba ni mlevi utaona hata watoto wanamuona mama ndo master plan muweka mambo sawa huku baba akionekana kama asie na dira na mwenye Kuharibu familia kwaajili ya ulevi.... ilihali hela yake ndo mama huitumia kuweka mambo sawa
Facts
 
😀 😀 😀tsaaatsaaatsaaahtsaaahhh aise....@Lamomy kumbe....

nime google na nimemwoma huyo binamu yenu anaetokea mkoani😀 ntatuma mjienjoy nikiwafundisha...
aise kumbe nyanyi mmooeee


ineandikwa...
Waefeso 5:18 "Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe na roho."
🤣🤣🤣🤣🤣 Binamu yetu hana baya
Ww fanya hivyo
 
Nimekua Jf for years kabla hata ya hii 🆔🆔

Humu ndani Kuna watu wana mawazo mazur Kwa yeyote atakae wiwa kuona anaweza kunisaidia ushaur In box me ntampa scinerio....


Naomba awe GENUINE

otherwise aachane na mimi
 
🤣🤣🤣🤣 hao hapana jamani. Pombe kiasi inafaa
Mnywapombe hana kiasi kuna siku vibe litabamba atawaka na atakurudia nyumbani amejiharishia na mtaa mzima utajua.... Je, huo sio mwanzo wa kuwa ammada?

Kadiri mwili unavyozoea pombe kiwango cha unywaji kitaongezeka tu.

Kingine leo ana kauwezo atakunywa hizo wine na nini ila siku maisha yakishake tu tunamkuta kwa mama muuza anafosi komoni... Je, huo sio mwanzo wa uammada?
 
Mnywapombe hana kiasi kuna siku vibe litabamba atawaka na atakurudia nyumbani amejiharishia na mtaa mzima utajua.... Je, huo sio mwanzo wa kuwa ammada?

Kadiri mwili unavyozoea pombe kiwango cha unywaji kitaongezeka tu.
Tunaishi nao na hatujawahi waona wamejiharishia. Lazima ujue kiasi cha kunywa...
 
Back
Top Bottom