Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Basi wanisamehe🤭🤭🤭🤭🤭utasababisha fujo mama... 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi wanisamehe🤭🤭🤭🤭🤭utasababisha fujo mama... 😀
Jibu la kwanza ndio sahihi 😃😃[emoji1787][emoji1787][emoji1787] apana jamni natania tu[emoji119][emoji119][emoji119]
Blessa mzee, Mwisho wa siku tutaona uhakika wa kipato na pombe kipi kina nguvu endelea kufuata akili za wanawake... Big Time✌️Sio kweli , kuna tofauti kati ya mlevi na mtumiaji, watumiaji wengi tunajua our limits, na kwa ujumla watumiaji ndio wenye kipato cha uhakika. Means wapo vema upstairs pia. Huwezi kutumia maneno kama huna kipato. na wana ramani za maisha. Wanajua kutafuta hela.
Na wanawake wanataka mtu mwenye kipato, mipango na ramani za maisha. Wewe enda gym kajazie mwili kisha kunywa fanta orenji na uwe mpole. Maisha hayahitaji uyakamie sana.
bilashaka,Basi wanisamehe🤭🤭🤭🤭🤭
😆😆😆😆😆Tutaanza wa mixia kimyakimya wachangamkebilashaka,
kwa uungwana huo wa kiwango cha juu kabisa kwa mwanadamu, wamesamehe na kusahau kabisa...
ila mama dah 😀😆😆😆😆😆Tutaanza wa mixia kimyakimya wachangamke
Hakuna wanawake wanaopitia kipindi kigumu kama wanaoishi na walevi.Walevi wengi ni wakarimu na wanajua kumlisha mwanamke vizuri ,kuliko wewe unawaza kumpikia mwanamke dagaa
na akiwa yuko nzwiiii 😀Hakuna wanawake wanaopitia kipindi kigumu kama wanaoishi na walevi.
Kuna jamaa watoto wanakosa hadi viatu vya shule lakini sehemu za pombe umkosi
Halafu kuna binamu zetu wanne (Four Cousin’s) kwa mjomba Vodka nao wana vurugu sana 🤣🤣🤣Mjanja mjanja sana cuzo Morgan,Bora hata yule mdogo wake Gordon's 😆
Unanilisha maneno mkuuExtrovert..."Ke yeyote mlevi ni kiburudisho tena hutumika vizuri laini zote 2 kikishalewa".
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kwanza ni manyanyaso, walevi wanapenda malaya,na akiwa yuko nzwiiii 😀
pole sana aise,Kwanza ni manyanyaso, walevi wanapenda malaya,
Mimi nimekulia kwenye familia hiyo mkuu.
Mama anapigwa anatuficha kwenye zile shangazi kaja chini ya kitanda halafu analiacha wazi limfuko.
Acha tu usisikie.
Wanaume walevi ni mwiba wao huwa ni malaya tu na wanawake wengine.
Kumbe unakula binamu halafu unaponda wanywaji. Moto wako utakuwa wa gesi ya blue ile..Halafu kuna binamu zetu wanne (Four Cousin’s) kwa mjomba Vodka nao wana vurugu sana 🤣🤣🤣
Tena bora huku mijinipole sana aise,
pole wapitiao masahibu haya muda huu....
Si unaona[emoji23][emoji23][emoji23] hata ukijitetea namna gani tunarudi pale pale chupa mbili tatu tu wanawake wote baa wana makalio makubwa na sura za kupendeza.
Mi namsaidia kumtajia family members ila siwatumii 😂Kumbe unakula binamu halafu unaponda wanywaji. Moto wako utakuwa wa gesi ya blue ile..