Ukilewa uwezo wa kutongoza ni mkubwa sana, ata awe nani. Maneno na flow sio ya kitoto.Wasalaam
Hii nimeshuhudia sana. Kama mtu anakunywa pombe ni rahisi kuwapata Wanawake ila kama hunywi ni ngumu sana. Najiuliza sana sababu ni nini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukilewa uwezo wa kutongoza ni mkubwa sana, ata awe nani. Maneno na flow sio ya kitoto.Wasalaam
Hii nimeshuhudia sana. Kama mtu anakunywa pombe ni rahisi kuwapata Wanawake ila kama hunywi ni ngumu sana. Najiuliza sana sababu ni nini.
Pole sana ndugu,Tena bora huku mijini
Ila huko vijijn acha kabsa
Watoto tuliokulia tunaona mama anapigwa baba home anapotea hata siku mbili yupo kwenye pombe, mama yupo radhi asile ila anafanya kazi anahakikisha tunakula,
Ile kitu mpaka nakua imeniathiri yaani mzee wangu huwa naongea nae basi tu sijsikii kabisa, ila nishamsamehe ila kukaa naye kuongea never halizid lisaa sababu ya mateso tuliyoyaona mama anapitia
Mkuu pombe haikuondolei logic inacombine logic na honest, unazungumza logic bila kupindishapindisha story.Meaning kwamba wewe na logic decisions ni east and west.
JiraniPombe na umalaya ni mtu na binamu yake.!!
Wengine hatupendi wanaume walevi
Wanaume tu ndio wana vichwa vya chini na juuHivi jinsia zote wana vichwa vya chini au ni bahati pekee kwa wanaume tu?
Huyu uliyemquote si kapanda mpaka mama mkwe sababu ya banana hahahaSio woteeeee
Cc. Mshana Jr
Abee jirani 😜Jirani
Binafsi sipendi mwanaume mleviWajitokezo KE wanaopenda wanywa Fanta tujue kama wapo pia.
Nishamsamehe kabisa.Pole sana ndugu,
inatia huruma, inasikitisha sana...
msamehe mzee tafadhali, ya Mungu ni mengi huenda kuna fundisho ulokua unapewa kupitia sahibu hilo la fedheha katika familia yenu. Pole kwa mtihani mgumu ulopitia...
Dah aise,Nishamsamehe kabisa.
Lakini ile bond unajua inkuwaga naturally naongea nae lakini si kama alivyo mama.na hata kumsaidia namsaidia na maisha yanaendelea.
Mkuu mwanaume mlevi kwenye familia yake ni mateso, 95% ni ni mateso
Mimi sinywi kabisa....pata picha😅😅😅😂😂😂 okee hunywi. Basi hata mvinyo kidogo kwa ajili ya tumbo lako?
Em soma mithali 31:6-7
Kwasababu walevi ni easy to manipulate.Wasalaam
Hii nimeshuhudia sana. Kama mtu anakunywa pombe ni rahisi kuwapata Wanawake ila kama hunywi ni ngumu sana. Najiuliza sana sababu ni nini.
Haha ndo tabia zao kuangalia nani kaja na mke wa nani bar, unawajua kumbe.Wanywa soda wanakuwaga wambea sana.
Haha picha ya hapo ngumu… ok okee basi wote tutahamia kwa coffee/ mocktail. Fanta marufukuMimi sinywi kabisa....pata picha😅😅😅