Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Sorry Mkuu dishi lilihama, ni Deep Pond ndiye alinena hivyo, nimekumbuka vizuri.Unanilisha maneno mkuu
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sorry Mkuu dishi lilihama, ni Deep Pond ndiye alinena hivyo, nimekumbuka vizuri.Unanilisha maneno mkuu
Unadhani siijui hio😅Kunywa hata ka-flying fish kamoja uchanganye na maji loh
unampa pole ya nini tunawaonea tu wababa na libaba lizima linapigania wamama ngoja nikwambie kitu, hata mim baba yangu alikuwa mlevi tena bora wewe mama yako anapigwa alafu mzee anatoka hom siku mbili mm baba angu alikuwa ticha anahakikisha anavuruga kila kitu hom atamtandika mkewe mpaka kumuumiza na mama kushindwa kufanya kaz afu baba anasepa mwezi bila kuacha ki2 afu sis ndio tukafanye vibarua mama ale na sisi hapo mzee hajal kama kaajiliwa, and the day nakuja kumsikiliza mzee ukubwani, mbona nikamuona mama snich na chanzo ni yey hata ningekuwa mm ningesepa hawa wanawake hawa achen tu sema hamkaag na baba zenu kuongea nao yanayowasibu na mama kupandikiza sumu kwa watotoPole sana ndugu,
inatia huruma, inasikitisha sana...
msamehe mzee tafadhali, ya Mungu ni mengi huenda kuna fundisho ulokua unapewa kupitia sahibu hilo la fedheha katika familia yenu. Pole kwa mtihani mgumu ulopitia...
unampa pole ya nini tunawaonea tu wababa na libaba lizima linapigania wamama ngoja nikwambie kitu, hata mim baba yangu alikuwa mlevi tena bora wewe mama yako anapigwa alafu mzee anatoka hom siku mbili mm baba angu alikuwa ticha anahakikisha anavuruga kila kitu hom atamtandika mkewe mpaka kumuumiza na mama kushindwa kufanya kaz afu baba anasepa mwezi bila kuacha ki2 afu sis ndio tukafanye vibarua mama ale na sisi hapo mzee hajal kama kaajiliwa, and the day nakuja kumsikiliza mzee ukubwani, mbona nikamuona mama snich na chanzo ni yey hata ningekuwa mm ningesepa hawa wanawake hawa achen tu sema hamkaag na baba zenu kuongea nao yanayowasibu na mama kupandikiza sumu kwa watoto
I see a coded message within your again, very imotional story..unampa pole ya nini tunawaonea tu wababa na libaba lizima linapigania wamama ngoja nikwambie kitu, hata mim baba yangu alikuwa mlevi tena bora wewe mama yako anapigwa alafu mzee anatoka hom siku mbili mm baba angu alikuwa ticha anahakikisha anavuruga kila kitu hom atamtandika mkewe mpaka kumuumiza na mama kushindwa kufanya kaz afu baba anasepa mwezi bila kuacha ki2 afu sis ndio tukafanye vibarua mama ale na sisi hapo mzee hajal kama kaajiliwa, and the day nakuja kumsikiliza mzee ukubwani, mbona nikamuona mama snich na chanzo ni yey hata ningekuwa mm ningesepa hawa wanawake hawa achen tu sema hamkaag na baba zenu kuongea nao yanayowasibu na mama kupandikiza sumu kwa watoto
pata moya moto moya baridi utalipiaAbee jirani 😜
ChaiWasalaam
Hii nimeshuhudia sana. Kama mtu anakunywa pombe ni rahisi kuwapata Wanawake ila kama hunywi ni ngumu sana. Najiuliza sana sababu ni nini.
Tayari Gage kama ishapanda hiviKosa pombe shemej na mke wangenipanda kichwa, narud homer kama kuku mkimya shemej ananiteta na wife afu mwamba mi nimtu wa huruma na mpole sana bas kunasiku nikapita bar jamaa yangu akaniita akaniagizia maji na glas nilivyoenda kojua nikarud jamaa sijui alitia konyag nusu saa nikachange nikapand pkpk hom nafika hom wife kama kawa na mdogo wake c wakajua muhun yupo wa kila siku, kumbe mi stimu ipo kichwan wife njoo nipokee kwanza ni ile kibabe, bas nikawaita barazan nakuanza kuimba watotowangu eeh mimi baba yenu eeh sina nguvutena eeh........toka hapo nikamvuta shem lamba kofi moja,, wife akataka kujibu nikamzibua kibao cha makalion, jaman shemu wenu ni pisi, siku nikimpost mbona mtasema mr pipa dem wako hakuna kama huyo kwa hapa tz na zanzbr.....wakuu nilitaka tu fursa ya kumsifia shemu wenu haya ya mke kupenda mlev mi sijui
kama umeota niko maji balaa si mshahara umetoka leo ngoja tusahau shd kwa kiwiki kimoja hiki mu u hundumu angesaaa bihaaTayari Gage kama ishapanda hivi
Kwa sababu wanawake Malaya hawapendi wanaume waliokuwa timamu kiakili hasa kwenye kufanya maamuzi.Wasalaam
Hii nimeshuhudia sana. Kama mtu anakunywa pombe ni rahisi kuwapata Wanawake ila kama hunywi ni ngumu sana. Najiuliza sana sababu ni nini.