Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 7,841
- 17,491
mmh tatizo hilo, pombe zilimzidi, kitu chochote kikizidi ni majanga, vipi alipewa kwanza haha.Hiyo siku nimeenda hospital asubuhi kaja mkaka ana pombe bado kichwani anaulizia PEP maana alilewa akalala na mdada mwenye ngoma😂😂