Ni kwanini wanawake wanapenda wanaume wanaokunywa pombe?

Ni kwanini wanawake wanapenda wanaume wanaokunywa pombe?

mie sijasema napesa mingi, aaah, hapana, ispokua kwakusema ukweli namshukuru Mungu natosheka na anacho nijaalia kibindoni pangu,

Nafurahia kibali cha maisha anachonijaali Mungu, zawadi ya uhai na afya, bidii, maarifa, nguvu na kipato kizuri...

na huyo captain morgan ni nani na ni wawapi walau ni mjuee, ili nione jinzi ya nitume hiyo nauli
Mbona unaanza kubadili gia hewani 🤣🤣🤣
Ww tuma nauli, Captain Morgan ni binamu yetu anatokea mkoani 😜
 
Sio kwel tunaweza kunywa unavyotaka tukaenda kulala , nikaishia tu mkono juu ya tako .mda mwingne na miguu nakupandishia kabisa
[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Unamdanganya nani wewe😂😂 hapo bado mnaenda kujipanga restroom kusubiri wadada waende ku susu muombe namba..
 
Mbona unaanza kubadili gia hewani 🤣🤣🤣
Ww tuma nauli, Captain Morgani ni binamu yetu anatokea mkoani 😜
😀 😀 😀tsaaatsaaatsaaahtsaaahhh aise....@Lamomy kumbe....

nime google na nimemwoma huyo binamu yenu anaetokea mkoani😀 ntatuma mjienjoy nikiwafundisha...
aise kumbe nyanyi mmooeee


ineandikwa...
Waefeso 5:18 "Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe na roho."
 
😀 😀 😀tsaaatsaaatsaaahtsaaahhh aise....@Lamomy kumbe....

nime google na nimemwoma huyo binamu yenu anaetokea mkoani😀 ntatuma mjienjoy nikiwafundisha...
aise kumbe nyanyi mmooeee


ineandikwa...
Waefeso 5:18 "Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe na roho."
Kwani wamesema wanalewa mkuu🤔
 
Wewe upo romantic?
Hio swala mm sijui, siwez kujipima, ila nisingekuwa romantic wasingekuwa wana enjoy to spend time with me.

Walevi sio romantic, pombe inaondoa aibu tuu kwa muda kwaio anaongea chochote kinachokuja akilini, swali ni je, akiwa sober(normal) bado yuko romantic??
Kama mwanaume yuko romantic bila pombe>>>>>>>kuliko mwanaume anayehitaji pombe kuwa romantic
 
Kwamba piga bia ukinunua bati likija kukukata je[emoji12][emoji12][emoji12].
Sometimes wanaume tunasota sana tunatafuta hela tunadhalilika kwenye utafutaji😂😂Kuna mda unafokewa mpaka bas.....Na ukiangalia kuna watu wanakula kwa mrija kupitia ww Sasa ya nn ujibane kama starehe yangu ni kupiga miti natumia Hela kupiga miti, kama ni mpira au pombe nalipuka bila kusahau kuna mambo ya msingi
 
Sometimes wanaume tunasota sana tunatafuta hela tunadhalilika kwenye utafutaji😂😂Kuna mda unafokewa mpaka bas.....Na ukiangalia kuna watu wanakula kwa mrija kupitia ww Sasa ya nn ujibane kama starehe yangu ni kupiga miti natumia Hela kupiga miti, kama ni mpira au pombe nalipuka bila kusahau kuna mambo ya msingi
Sure😁😁
 
Hio swala mm sijui, siwez kujipima, ila nisingekuwa romantic wasingekuwa wana enjoy to spend time with me.

Walevi sio romantic, pombe inaondoa aibu tuu kwa muda kwaio anaongea chochote kinachokuja akilini, swali ni je, akiwa sober(normal) bado yuko romantic??
Kama mwanaume yuko romantic bila pombe>>>>>>>kuliko mwanaume anayehitaji pombe kuwa romantic
Upo sahihi.
Ila mtoko unandana na ka wine pembeni...😅😅
 
Back
Top Bottom