alisema wapi ,hebu tuwekee hiyi audio au link tusikilize woteKwa hiyo anayejua asili ni Majuto mwenyewe au mwanaye? Majuto mwenyewe alisema ametoka Kigoma, huyo mwanaye anajua nini? Wewe umekaa dawati moja na mtoto wake, wakati wengine tumefanya kazi na Majuto...
Naona wewe una stamina ya ubishi...alisema wapi ,hebu tuwekee hiyi audio au link tusikilize wote
Billionaire wa haya madafu yetu au wa dolarii, tuanzie hapo kwanzaWana asili ya kudhubutu ni wabishi mwisho wa siku lazma wachomoze....mana ukiwa mbishi lazma tu watu watakuachia nafasi....hata hvo ni moja ya mikoa ambayo watu wake huanza vizur lakn mwishon huishia kwenye ufukara na umaskini wa kutupwa....hakuna billionare wa kutoka kigoma...
Hapo sawaLabda Lina Kaduguda... πππ
hahaaaaaMwina Kaduguda
Haji Manara
Dr Mwaka
Bahati nzuri walinyimwa Elimu, wangekuwa nayo Kama Wachagga Na Wahaya wangeshaanza kutangaza Mamlaka kamili ya Nchi ya Kigoma
SIO KWELI MAREHEMU MAJUTO ALIKUWA MBEMBE WA KIGOMA ILA ALIZALIWA NA KUKULIA TANGA, KUKULIA TANGA AU KUZALIWA TANGA HAKUKUPI TASWIRA YA KUWA MWENYEJI WA TANGAhayati King majuto mdigo pure wa tanga ,donge
Mzee baba kazi zinaendaje huko,Ha ha ha, kaka Inna bwana.
Kwahiyo na mimi ni maarufu.
LINAH Sanga sio wa Kigoma. Umemchanganya na LINEX naona!Japo kwa ufupi ukisoma mwongozo huu utagundua mkoa wa kigoma ni mkoa wa kipekee ambao umetoa watu mashuhuri na maarufu nchi hii tukianzia .....
1.DIamond platnum KIGOMA
2.ALI KIBA KIGOMAAAA
3.ZITTO KABWE KIGOMAA
4.ABDUL NONDO KIGOMA
5.ASKOFU KAKOBE KIGOMA
6.SHEHE PONDA ISSA PONDA KIGOMA
7.JUMA KASEJA KIGOMA
8.LINAH KIGOMA
9.UPENDO NKONE KIGOMA
10.DAVID KAFULILA KIGOMA
11.KING MAJUTO KIGOMA
12.CHEGE CHIBUNDA KIGOMA
13.TX MOSHI KIGOMA
14.BANANA ZORO KIGOMA
15.MAUNDA ZORO KIGOMA
16.DOCTOR LEAKEY KIGOMA
17.FUNDI HAMIS FULL MIGEBUKA (KIGOMA)
18.
19.
HAYA MNAWEZA KUENDELEA KUWATAJA WENGINE NILIOWASAHAU LAKINI KWANINI
Sent using Jamii Forums mobile app