Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Inapendeza baki na imani yako inatosha .
Nilibaki mwenyewe mpaka mtu alipoanzisha thread.

Sikuanzisha thread. Nimeikuta.

Maneno hayo kamwambie aliyeanzisha thread.
 
Kama mtu atahukumiwa kwa matendo yake je yesu ni wanini?

Je Imani bila matendo ni bure? Au
Matendo bila imani ni bora?
 
Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, pale mwanzo kabisa, kabla ya chochote au yeyote kuumbwa, hakuamua kuumba ulimwengu ambao ubaya wowote hauwezekani?

Kwa nini kaumba ulimwengu huu ambao ubaya unawezekana wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?
 

Hahaaa...aisee Tabby kabadilika kabisa...unaweza ua mtu ujue...watu wa dini mnachuki sana aisee...I wonder sijui mtaenda pepo ipi if at all kama ina exist...

Wote wewe na hao waabudu Lucifer wote mpo kapu moja tu,wote wagomvi,mnaabudu vitu havipo
 
Waeleze hao, nilikuwa nakosa neno sahihi la kuwahita
 

Hii story ya uongo ya miaka mingi bado upo nayo tu?

We will simply confirm a few of Jochen's conclusions:
  1. No such person as "Dr. Shlomi Lesser" exists; rather that name was pulled out of thin air.
  2. There is no such journal as Ha-Mada Ha-Yisraeli B'Angleet V'Ivreet; rather that is a figment of our imagination.
  3. There is no Hofesh V'Mada Society; rather that too was concocted in our heads.We will simply confirm a few of Jochen's conclusions:
    1. No such person as "Dr. Shlomi Lesser" exists; rather that name was pulled out of thin air.
    2. There is no such journal as Ha-Mada Ha-Yisraeli B'Angleet V'Ivreet; rather that is a figment of our imagination.
    3. There is no Hofesh V'Mada Society; rather that too was concocted in our heads.Profiles in Quackery II: Osama Abdallah
 
Kama mtu anaweza kuishi miaka 100 harafu biblia ikasema adamu na hawa waliishi miaka 900 inamaana hapo biblia imeonge uongo 800%
Ndiyo nauliza kama wazungu(waongo) wameweza kudanganya hivyo toka kipindi hicho hadi sasa basi tuwe makini nao hata kwenye mambo mengine maana wanaweza wakawa wanaendelea kuongopa.
 

Hawa jamaa wamejitoa akili, wanajitia ujinga wa kutoona kilicho wazi kabisa.
 

Una uhakika gani ukomo wa umri sasa hivi ndio mwisho?Hujui kama unaweza endelea kushuka?Kwa akili yako unadhani umekwama?Eti mungu kaukwamisha..Duh

Huyo mungu wako anaebadilisha mawazo aisee ni wa ajabu sana...eti mwanzoni alimuumba ili asiende moto,mara ghafla akaghairi akamjengea moto,hizi bahatisha bahatisha ni ajabu.

Nyie ndio mnamshushia mungu wenu heshima,mna mshusha kama vile ni mwanadamu mwenzenu...mnampa tabia za kibinadamu za kibwege kweli...huwezi mdiscuss mungu kwa perspective ya kibinadamu,tayari ni madhaifu matupu...
 
Unapoficha ubongo mfukoni na kutumia sehemu ya kukalia ili ufikiri, lazima utapeliwe fikra.Yaani mambo yapo wazi kabisa na hovyo ila unaambiwa kuwa ni fumbo la imani? waache wadanganywe...wametaka wenyewe.
Huyo Mungu Mungu gani aweke mafumbo ya ajabu ya kukiondolea credibility kitabu chake?

Kwa nini aweke fumbo at all?

Kwani anaimba taarabu? Au anajifunza kutongoza?

Ridiculous.
 
In the name of KING LUCIFER AND HIS YOUNG BROTHER SATAN let this spell to perish.

Mods please futa comments zinazomkashifu mfalme wetu (KING LUCIFER) .kwani wamwabuduo Jesus wanapenda akashifiwe?
Aisee, yana mwisho wake haya we tamba tu kwenye mgongo wa ardhi ila ngoja uingie tumboni ndipo utaaelewa
 
Hahahaha.......

Mkuu unanikumbusha ile verse ya kusamehe 7 x 70 kwenye agano jipya wakati agano la kale linatoa hukumu ya jicho kwa jicho, mkono kwa mkono.
 
Huyo Mungu Mungu gani aweke mafumbo ya ajabu ya kukiondolea credibility kitabu chake?

Kwa nini aweke fumbo at all?

Kwani anaimba taarabu? Au anajifunza kutongoza?

Ridiculous.
Mkuu si unajua kuna watu wenye tamaa za kudominate watu?

Sasa ninavyofikiri hao watu wazamani walitumia hallucinations zao kutiisha watu ili waweze kuwadominate.
Ona wanavyofanya wachungaji, kazi yao ni kutisha watu na kuwakamua fedha....Mbaya zaidi mawazo mfu waliyolishwa yalishajichimbia kwenye minds zao, so watu wanaona ni moja kati ya sheria za uhai.

Ndio maana hawakosoi hata kama kuna negatives, na wakisikia mtu anahoji au kukosoa humtisha kwa kifo.Kwani wao hawatakufa?...Yaani hata ukichambua hoja zao ni za kitoto mno na zinaashiria uvivu wa kufikiri.
 
brillnoel
kaka ni umaskini unaozungumziwa hapo ni umaskini wa kutokutenda dhambi, umaskini wa dhambi
Aya imetaja umaskini na si umaskini wa dhambi,.

Akili za kufikiri mmeziweka mifukoni, mnafikiri kwa maneno yakuambiwa.
 
Hahahaha......

[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
according to Jesus, hakuna anaeweza kufika mbinguni isipokua kupitia yeye.. yani hata mchina mhindi mwarabu hawasalimiki maana wao wanaabudu buddha, Allah na krishna. yani dunia nzima inabidi tuwe wakristo ili twende mbinguni... hatari sana
Af biblia hiyo hiyo inakwambia yesu alitumwa kwa wana israel


"Sikutumwa ila kwa kondoo aliye potea wa wana wa israel"


"Ewe bethelem katika majumbe ya Yuda hu mdogo kamwe katika majumbe ya Yuda kwa kuwa kwako atatoka mtawala atakae wachunga wana wangu wa israel"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…