Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tawachukulia kama ninavyokuchukulia wewe kwa upendo na kukuombeana wale waumini wenzako watakaohudhuria ibada zinazoendeshwa na shoga utawaonaje?
kama watu wa ukoo wako walioexist kabla ya kuja kwa dini ya kikristo walikua ni agents of satanism, basi sawa mkuu, I belong in that group.agent of satanism mnaongezeka tu
Naona broo unakosa la kujadili... Unaposema biblia inauongo unamaanisha kuwa Mungu ndo muongo. kuwenibmakin na kauli mnzaokuw mnatoa juu ya mambo ya Mungu. Mungu hadhihakiwi[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]mtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini biblia inasema adam na hawa waliishi miaka 900.
je hao walio andika adam na hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
kwa hio wewe utakua unasali kibubu bubu nyumbani? na wakati wa kuoa utakubali kuozeshwa na mchungaji shoga au utajiozesha mwenyewe?Tawachukulia kama ninavyokuchukulia wewe kwa upendo na kukuombea
Carbon 14mtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini biblia inasema adam na hawa waliishi miaka 900.
je hao walio andika adam na hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
Tutakuwa wengi mbona tutakaojisalisha sisi hata wewe utakuwa kwetu. Kuoa nihiari ya mtukwa hio wewe utakua unasali kibubu bubu nyumbani? na wakati wa kuoa utakubali kuozeshwa na mchungaji shoga au utajiozesha mwenyewe?
mtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini biblia inasema adam na hawa waliishi miaka 900.
je hao walio andika adam na hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
Jibu hoja kwa hoja! Kama huna hoja shut-up!Umepata tuhela umenunua ka smartphone ushaanza kuanika kutokujua kwako. ...hongera
Miaka ilikuwa inahesabiwa kinyumenyume kwa wakati huo
wakristo bwana, when it comes to proving the truth about some biblical scriptures, science is very applicable, IN SCIENCE WE TRUST. ila kwenye mambo mengine science is demonic, because they dont believe in the existence of God!!!??Carbon 14
Amin nakuambia, kama huwezi kufanya 'reconciliation' kati ya Science na Theology you are in for trouble!wakristo bwana, when it comes to proving the truth about some biblical scriptures, science is very applicable, IN SCIENCE WE TRUST. ila kwenye mambo mengine science is demonic, because they dont believe in the existence of God!!!??
WHY WOULD YOU USE AND TRUST THE KNOWLEDGE OF SOMEONE WHO DOESNT BELIEVE IN GOD TO PROVE THE EXISTENCE OF SOMETHING CONCERNING YOUR BELIEF?
kweli baniani mbaya kiatu chake dawa.
I'm just saying, using the source which is ungodly to prove something godly is insane..Amin nakuambia, kama huwezi kufanya 'reconciliation' kati ya Science na Theology you are in for trouble!
Nataka kukumbusha kuwa hiyo akili/talanta uliyo nayo imetoka kwa Mungu huyo huyo, alifanya hivyo ili akuwezeshe ufanye vitu vingine bila kumuhusisha moja kwa moja. Kumbuka ile hadithi ya mtu aliyechimbia talanta yake as compared na yule aliyeitumia na kuzalisha jinsi walivyokuwa treated na aliyewapa (Mungu), take care!
kabla hatujaelekea huko umegundua shida ni ipi? unaonekana una uhakika kweli na ulichogundua.Sasa nimekuelewa vyema hivyo nimeshajua shida yako, nakushauri uanzishe mada (thread) tofauti na hii ili tuijadili!
Vipi na wale wanaotuambia kuwa binadamu wa kwanza aliishi miaka milioni nyingi? Muongo ni nani hasa?mtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini biblia inasema adam na hawa waliishi miaka 900.
je hao walio andika adam na hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?