Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

Watu wasiomjua MUNGU Aliwafananisha na mbwa. Lkn yule mama alipokomaa naye si alitimiziwa haja yake
duuh mkuu unasomaga bible kweli wewe?? Yesu aliwafananisha na mbwa wale wasio kuwa wa israel na kutaka huduma yake
 
Me Ra a a
Katika dini ya mafarao wa misri, ambayo ni dini ya zamani kuliko Ukristo, kuna mungu katika nafsi tatu,

Horus = mungu mwana. (sun of god)
Osirus = mungu baba
Isis = mungu mama

Je Mafundisho(dhana) haya ya dini ya kimsri yanafanana na dini ya kikristo? Jibu ni ndio. Ukristo uli-copy nadharia ya utatu kutoka misri.
Je Ra ama Re (Mungu jua), anaingia wapi katika hesabu hiyo. Wamisri walikuwa na Miungu wengi tu. Fundisho la Utatu Mtakatifu Katika Biblia ni la zamani kuliko hata Wamisri wa enzi za Mapharaoh ambao wana asili ya jamii ya "Wahyskos". Tunaliona tokea Mwanzo 1:26; linatokea tena Katika (Mwanzo 11:7). Matumizi ya Jina la Mungu wa Israeli El ama Eloi Katika uwingi wake Elohim Kama ilivyotumika Katika vifungu nilivyonukuu vinawaonyesha wasomaji wa Biblia Mungu akiwa katika ujumla wake. Tunaita hivi kuwa ni viashiria vya utatu mtakatifu wa Mungu. Nitarejea kueleza zaidi.
 
Watu wasiomjua MUNGU Aliwafananisha na mbwa. Lkn yule mama alipokomaa naye si alitimiziwa haja yake
usiseme watu wasiomjua mungu, maana hata wayahudi wapo ambao walikua wapagani, sema watu ambao hawakuwa wayahudi, yule mwanamke alikua mkanaani.. kwa hio hata wewe kwa yesu ni mbwa tu, sababu sio myahudi.
kwa kizungu wanasema Jesus was a racist.
 
usiseme watu wasiomjua mungu, maana hata wayahudi wapo ambao walikua wapagani, sema watu ambao hawakuwa wayahudi, yule mwanamke alikua mkanaani.. kwa hio hata wewe kwa yesu ni mbwa tu, sababu sio myahudi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kabla ya misri dini ilikuwepo. Wamisri ndo walikopi. Dini ilianzia mbinguni
kwakeli dhana ya mbinguni,ambapo ndo yuko Mungu inatokana na imani za zamani maeneo ya caanan,wao kwa mfano waliamini kuna miungu ya kila kitu,mfano jehova alikuwa mungu wa vita,ndo maana utasikia neno bwana wa majeshi,simba wa yuda,
sasa miongoni mwao alikuwepo mungu wa milima,the most high,ambae walimregard kama ndo mungu mkuu,alijulikana kama El.
So utaona hata moses akitaka kuongea na mungu wao ilibidi aende mlimani,hata yesu alipanda mlima kwenda kusali huko,
hata watu wa babel walijenga mnara mrefu ili wamfikie mungu,so asili ya kuamini mungu yuko juu haikuanza na dini za kileo
 
Mtu kuishi miaka 100 tu ni mziki lakini Biblia inasema Adam na Hawa waliishi miaka 900.

Je, hao walioandika Adam na Hawa waliishi miaka 900 walitumia kipimo gani?
kwa kukusaidia tu ni kwamba; miaka iliendelea kupungua sababu ya dhambi. kadiri miaka ilivyoendelea baada ya anguko la Adamu na Hawa pale bustanini mambo ya mwanadamu yalianza kupungukiwa na kitu kinachoitwa UTUKUFU WA KIMUNGU ambao kimsingi ndio unaimarisha usalama wa nafsi, roho na mwili wa mwanadamu, badala yake yakaanza magonjwa na vifo na kupunguzwa kwa umri wa kuishi sababu ya uasi wa mwanadamu.

mpaka sasa kiblia miaka ya kuishi ni sabini, tukiwa na nguvu sana ni themanini lakini ukumbuke kwamba wakati wa Mungu kuumba alimkusudia mwanadamu aishi milele ndiyo sababu ya wanadamu wa mwanzo kuonja onja neema ya umilele kwa kupewa miaka mingi kwa kuwa alikuwa bado na utukufu mwingi wa Mungu ndani yake.

sielewi kipimo kilichotumika ila naamini Mungu aliwafunulia kwa njia yoyote njema aliyoiona ama kwa maarifa ya sayansi au kwa kusema wazi na wale walioandika Biblia(na ndiyo njia ninayoweza kuiamini na kuisemea) kwa kuwa Biblia imeandikwa kabla hata ya teknolojia ya Carbon 14.

Kwamba ni uongo au la, mie sijui najua tu kuwa naiamini Biblia kama ilivyo ya kuwa ni NENO LA MUNGU LILETALO WOKOVU KWA KILA AAMINIYE. Ukibisha sana mgonje yeye ukamwulize vizuri siku utakapoondoka duniani japo utakuwa umechelewa kama hukumwamini ukiwa huku kwenye dunia ya kujikataa.

KWA MUNGU YOTE YANAWEZEKANA
 
usiseme watu wasiomjua mungu, maana hata wayahudi wapo ambao walikua wapagani, sema watu ambao hawakuwa wayahudi, yule mwanamke alikua mkanaani.. kwa hio hata wewe kwa yesu ni mbwa tu, sababu sio myahudi.
kwa kizungu tunasema Jesus was a racist.
Alikuja kwa walio wake lakini hawakumtambua wala hawakumpokea. Na wote waliompokea walipewa uwezo WA kufanyika wana WA MUNGU
 
Wewe ni lipumbavu la kutupwa. Tena utakufa kifo cha fedheha mzog wa mbwa wewe usiye na ufahamu. Pumbavu kwelikwlei. Ungelikuwa akili japo kidogo usingeongea upumbavu ambao hata tu elimu ya darasani inatoa jibu. Pumbavu kafie mbali zoga la mijibwa!

tena achana na mimi siji kwenye upumbavu wako wa kishetani hapa. Elti walitumia kipimo gani!. Nenda hata shule ya kata uapte basi ili hata kama ni argument uargue scientifically japo kidogo. Jitu lilipelekwa shule likawa jinga darasani, likakimbia umande, Mungu halimjui linaishi kwa sababu linaamuka ili lile, halafu leo linaleta ma.vi ya kichwani kwake hapa. Wewe unafikirakwa kutumia m.a.vi. Wweni zaidiya mzoga wanguruwe.
Alafu naona kama unatukana vile au sioni vizuri[emoji15]
 
kwakeli dhana ya mbinguni,ambapo ndo yuko Mungu inatokana na imani za zamani maeneo ya caanan,wao kwa mfano waliamini kuna miungu ya kila kitu,mfano jehova alikuwa mungu wa vita,ndo maana utasikia neno bwana wa majeshi,simba wa yuda,
sasa miongoni mwao alikuwepo mungu wa milima,the most high,ambae walimregard kama ndo mungu mkuu,alijulikana kama El.
So utaona hata moses akitaka kuongea na mungu wao ilibidi aende mlimani,hata yesu alipanda mlima kwenda kusali huko,
hata watu wa babel walijenga mnara mrefu ili wamfikie mungu,so asili ya kuamini mungu yuko juu haikuanza na dini za kileo
Mlimani maana yake ni kanisani. Na kanisa ni nyumba ya MUNGU
 
Alikuja kwa walio wake lakini hawakumtambua wala hawakumpokea. Na wote waliompokea walipewa uwezo WA kufanyika wana WA MUNGU
hawakumpokea una uhakika? wale waliokua wanamfata kila aendapo mpaka akafanya miujiza ya chakula walikua majini mahaba? hata kusulubiwa kwake ni mungu mwenyewe alitaka iwe hivyo kwa kuifanya mioyo ya wana wa israel iwe migumu..

mbona nakujibia maswali kuhusu dini yako we jamaa?
 
hawakumpokea una uhakika? wale waliokua wanamfata kila aendapo mpaka akafanya miujiza ya chakula walikua majini mahaba? hata kusulubiwa kwake ni mungu mwenyewe alitaka iwe hivyo kwa kuifanya mioyo ya wana wa israel iwe migumu..

mbona nakujibia maswali kuhusu dini yako we jamaa?
Mkuu haijui bible huyo si unaona hata majibu yake
 
Hahahahaa....eti fumbo la imani...my ribs...

Huyo mungu wa mafumbo hatufai kabisa...

Mungu anamfumbia mwanadamu ili iweje?Yaani hawa religious people wameibiwa bongo zao totally,hawamiliki bongo zao,kuna mtu kawaishikia.
It seems the so called God is gambling with our minds....according to those ''mind blocked people'', everything concerning the Dude in the sky is puzzel. Not only his location, gender,wealth, power, degree of humanity but all are puzzel! wonderful enough they claim to know all of the characters(all +ve) possessed by God and they are willing to teach us. Whenever questions/challenges arises, they spit simple answers i.e God is working in a mysterious way. To me I think such kind of answers is a simplest way of saying I DON'T KNOW!...If they don't understand what they are preaching, how can I follow them?
 
hawakumpokea una uhakika? wale waliokua wanamfata kila aendapo mpaka akafanya miujiza ya chakula walikua majini mahaba? hata kusulubiwa kwake ni mungu mwenyewe alitaka iwe hivyo kwa kuifanya mioyo ya wana wa israel iwe migumu..

mbona nakujibia maswali kuhusu dini yako we jamaa?
Wangemtambua na kumpokea wasingemkana na kumsurubisha. VP wewe unamtambua na kumkaribisha moyoni mwako
 
Wangemtambua na kumpokea wasingemkana na kumsurubisha. VP wewe unamtambua na kumkaribisha moyoni mwako
narudia tena, mungu aliifanya mioyo yao iwe migumu, kwa sababu wasingemkana kusingekua na maana ya yesu kuja duniani.. lengo ni kuja kusulubiwa so yale yote yalipaswa kutokea.. ndo mana alikua hachoki kusema imeandikwa.. alijua kabisa atake asitake lazma wamgongelee misumali.
 
Nawapongeza wazungu kwa hii propaganda ya kuleta dini, walitumia akili sana. Na wewe ukitaka kuhakikisha hilo, pitia maoni ya watu uone wanavyofarakana kwa ajili ya dini wengine wanadhiri hadhi kuvunjiana heshima!.

Ila Afrika tumepoteza asili yetu kwa kuwafuata wazungu (watu weupe)
 
Hahahaa....mbinguni wana "dini"?Na mbinguni ni wapi?Hupajui

Basi tu-assume kweli dini ilianzia mbinguni,ni dini gani labda?Itaje...Hujui hata unye
Me Ra a a

Je Ra ama Re (Mungu jua), anaingia wapi katika hesabu hiyo. Wamisri walikuwa na Miungu wengi tu. Fundisho la Utatu Mtakatifu Katika Biblia ni la zamani kuliko hata Wamisri wa enzi za Mapharaoh ambao wana asili ya jamii ya "Wahyskos". Tunaliona tokea Mwanzo 1:26; linatokea tena Katika (Mwanzo 11:7). Matumizi ya Jina la Mungu wa Israeli El ama Eloi Katika uwingi wake Elohim Kama ilivyotumika Katika vifungu nilivyonukuu vinawaonyesha wasomaji wa Biblia Mungu akiwa katika ujumla wake. Tunaita hivi kuwa ni viashiria vya utatu mtakatifu wa Mungu. Nitarejea kueleza zaidi.
El hakuwa mungu wa israel pekee,eneo lote la caanan wakiabudu el,
ila utawala wa yudah walikuwa na mungu wao akiitwa YHWH ama jehova kwa kiswahili.yesu alitokea nchi ya yuda so haingii akilini kabla hajafa alie akimwita El,
 
kwa kukusaidia tu ni kwamba; miaka iliendelea kupungua sababu ya dhambi. kadiri miaka ilivyoendelea baada ya anguko la Adamu na Hawa pale bustanini mambo ya mwanadamu yalianza kupungukiwa na kitu kinachoitwa UTUKUFU WA KIMUNGU ambao kimsingi ndio unaimarisha usalama wa nafsi, roho na mwili wa mwanadamu, badala yake yakaanza magonjwa na vifo na kupunguzwa kwa umri wa kuishi sababu ya uasi wa mwanadamu.
mpaka sasa kiblia miaka ya kuishi ni sabini, tukiwa na nguvu sana ni themanini lakini ukumbuke kwamba wakati wa Mungu kuumba alimkusudia mwanadamu aishi milele ndiyo sababu ya wanadamu wa mwanzo kuonja onja neema ya umilele kwa kupewa miaka mingi kwa kuwa alikuwa bado na utukufu mwingi wa Mungu ndani yake.
sielewi kipimo kilichotumika ila naamini Mungu aliwafunulia kwa njia yoyote njema aliyoiona ama kwa maarifa ya sayansi au kwa kusema wazi na wale walioandika Biblia(na ndiyo njia ninayoweza kuiamini na kuisemea) kwa kuwa Biblia imeandikwa kabla hata ya teknolojia ya Carbon 14.
Kwamba ni uongo au la, mie sijui najua tu kuwa naiamini Biblia kama ilivyo ya kuwa ni NENO LA MUNGU LILETALO WOKOVU KWA KILA AAMINIYE. Ukibisha sana mgonje yeye ukamwulize vizuri siku utakapoondoka duniani japo utakuwa umechelewa kama hukumwamini ukiwa huku kwenye dunia ya kujikataa.
KWA MUNGU YOTE YANAWEZEKANA
Nini chanzo cha dhambi? na kama ni shetani je ni nani wa kulaumiwa
Kati ya mungu binadamu na shetani?
Kwasababu mungu yeye ndio alimuumba adui shetani.
 
VP wewe unamtambua na kumkaribisha moyoni mwako
nilipokua mdini nilikua mtu wa kuhukumu watu wa dini tofauti, na kutokana na hilo moyo ulikua na mafadhaiko sababu nilikua na marafiki wa kiislam na sikuona sababu ya kuwachukia..

mkuu huo mzigo wa chuki (dini) nimeshautua, nipo huru.. sitaki kabisa kusikia utumbo unaoitwa dini.
 
Back
Top Bottom