Librarian 105
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 261
- 356
Uchache na ubovu wa miundombinu ya barabara ni changamoto sana hapa Arusha japo tumejaaliwa milima ya moramu na korongo la mchanga huko mirongo.
Ukija kwenye masoko ya jiji hayako organised na masoko mengine yaliyo chini ya halmashauri.
Ukiondoa utalii na madini, economic activities zingine ziko poor and so on.
Nasita kukubali Arusha kuitwa Geneva of Africa.
Ukija kwenye masoko ya jiji hayako organised na masoko mengine yaliyo chini ya halmashauri.
Ukiondoa utalii na madini, economic activities zingine ziko poor and so on.
Nasita kukubali Arusha kuitwa Geneva of Africa.