Ni kweli Arusha ni Geneva ya Afrika?


Akili ni changamoto, hatuongelei manufaa ya wananchi, Mimi nimeongea fact, hayo mengine mjadiliane huko.

Hemu uliza nchi yeyote Africa ambayo imekuwa na hazi ya kuhodhi mahakama ya Umoja wa mataifa, halafu ujijibu.

Hemu jiulize wakati wa hiyo Mahakama watu wa maeneo ya Njiro, na sehemu nyingine walivyokuwa wanapata biashara kutokana na uwepo wa hao staff.

Nyumba zilikuwa nazishikiki na ni kwa dollar, sasa hayo mengine yakwako ni trash, sijui hakuna barabara, ni trash na hayanihusu kabisa.

Fact:

Kwa nini imeitwa hivyo, hiyo ndo sababu.
 
Geneva wamechulia kwa mfanano wa hali ya hewa .

Inastahili kwa vile kweny hali ya hewa kunafanana .

Hayo mengine sio lazima Arusha itabaki kuwa Arusha na Geneva hivyo hivyo .
Hizi similarities nazipinga 100%. Kuna uvutaji wa ganja kwa vijana na mabinti mno, ivyo iitwe pia JAMAICA!?
 
STENDI TU ndo hua inaniachaga hoi hapa Arusha

Kweli jiji la Arusha lina stendi? au kituo cha mabas
Your browser is not able to display this video.
 
Hata izo hoja zako kwangu ni trash vile vile. Mimi natazama maendeleo kwa ujumla wake
 
Hivi hiyo Arusha si imeitwa Geneva of Africa kabla hata hujazaliwa?
 
Basi tu wanajitoa fahamu kujilinganisha na MWANZA

Wakati huo Mwanza
Nyegezi stend imezinduliwa
Nyamongolo stend imezinduliwa
Zote ni stend za kisasa
Soko kuu la kisasa
Barabara haina korongo wala mashimo
Maji UHAKIKA
Umeme inategemea upara kaamkaje ila ni uhakika
Huduma za Afya
Bugando Medical Hospital(BMH)
Sekou Toure,Uhuru hospital,Kamanga zote nu kubwa sana na za kisasa

Ivi watu wa chuga nguvu za kujilinganisha na Mwanza mnatoaga wapi??
 
Mount meru hospital x-ray tu sio ya uhakika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…