Ni kweli CCM ni chama cha watoto wa Mjini tangu kikiwa TAA kisha TANU. Walugaluga walialikwa tuu.

Ni kweli CCM ni chama cha watoto wa Mjini tangu kikiwa TAA kisha TANU. Walugaluga walialikwa tuu.

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Kauli zinazotolewa na viongozi mbalimbali wakijitamba kuwa wao ni watoto wa mjini, wengine wakisema wamezaliwa Kariakoo, wengine, Ocean road, wengine mnazi mmoja, wengine Kinondoni basi ilimradi kila mmoja ajitutumue. Ndio ukweli huo. Kauli hiyo inamaana kubwa sana. Watoto wa Mzizima, bandari salama naam ndio Dar es salaam. Ndio msingi mkuu wa chama cha CCM ambapo kilikuwa Mjukuu wa TAA kisha Babaake ni TANU.

Watoto wa mjini wenye chama chake Vs walugaluga walioalikwa lakini nao hujiona chama ni chao.

Ngoja tuone.

Nawatakia Sabato Njema
 
Ila kauli za Jana alooo.. mara watoto wa kariakoo.. mara watoto wa ocean road.

Sasa hii ni namna gani?
 
Yaani toka asubuhi vijiwe vya hapa kijijini watu wamejazana wanalalamika Yanga kunyimwa goli na wengine wanasema CCM imekosa viongozi kwa kuwapa watu wanajiita wa mjini kiasi kuwa wanakijiji wanasema hao watu hawashindwi kuwaibia hela za chama 😀
Wenzào wakipigania uhuru wao wàlikuwa wapi?
 
Yaani toka asubuhi vijiwe vya hapa kijijini watu wamejazana wanalalamika Yanga kunyimwa goli na wengine wanasema CCM imekosa viongozi kwa kuwapa watu wanajiita wa mjini kiasi kuwa wanakijiji wanasema hao watu hawashindwi kuwaibia hela za chama 😀
Halafu mlalamikaji mkuu utakuta hajalipa kodi ya nyumba ada za shule ........

Haya mambo ya mpira yamewatoa watu katika kujushughulisha na mambo ya maana.

Tunalipa mamilion ya fedha magoli lakini hapo hapo watoto hawana madawati.

Aliyewaloga watanganyika kesha kufa.
 
Halafu mlalamikaji mkuu utakuta hajalipa kodi ya nyumba ada za shule ........

Haya mambo ya mpira yamewatoa watu katika kujushughulisha na mambo ya maana.

Tunalipa mamilion ya fedha magoli lakini hapo hapo watoto hawana madawati.

Aliyewaloga watanganyika kesha kufa.

Michezo pia ni ajira na inafanywa na watanzania wenzako
 
Watoto wa Mzizima chama chao ndio kiliibuka kidedea kuletea uhuru Tanganyika. Kwamba wao ndio waliwazidi ujanja vyama vingine ikiwemo vilivyokuwa vya walugaluga
kwa hiyo mimi kutoka meru ninaonekana mrugaruga wakuja hapo chama chakavu nikijaribu kujiingiza? dah!
 
Kwema Wakuu!

Kauli zinazotolewa na viongozi mbalimbali wakijitamba kuwa wao ni watoto wa mjini, wengine wakisema wamezaliwa Kariakoo, wengine, Ocean road, wengine mnazi mmoja, wengine Kinondoni basi ilimradi kila mmoja ajitutumue. Ndio ukweli huo. Kauli hiyo inamaana kubwa sana. Watoto wa Mzizima, bandari salama naam ndio Dar es salaam. Ndio msingi mkuu wa chama cha CCM ambapo kilikuwa Mjukuu wa TAA kisha Babaake ni TANU.

Watoto wa mjini wenye chama chake Vs walugaluga walioalikwa lakini nao hujiona chama ni chao.

Ngoja tuone.

Nawatakia Sabato Njema
Uzuri kipindi nyerere anaalikwa ....watoto wa mjini waliulizwa na mwingireza vijana wa mjini ili tuwaachie nchi lazima muwe na elimu sio elimu ya madrasa ni elimu dunia.....vijana wa mjini enzi hizo ndo kumtafuta nyerere sasa kutoka pugu

Kiukweli umesema ukweli kuwa ni chama cha watoto wa mjini ila watoto wa mjini wengi wao wanafanya CCM ibaki nyuma kama ilivyo kama mikoa yote inayopakana na bahari ya hindi ukiondoa dar es salaam

Na watoto wengi wa mjini ni waumini wa "proud to be" so hata wakielimika vipi elimu huwa haikamati kichwani vizuri
 
Uzuri kipindi nyerere anaalikwa ....watoto wa mjini waliulizwa na mwingireza vijana wa mjini ili tuwaachie nchi lazima muwe na elimu sio elimu ya madrasa ni elimu dunia.....vijana wa mjini enzi hizo ndo kumtafuta nyerere sasa kutoka pugu

Kiukweli umesema ukweli kuwa ni chama cha watoto wa mjini ila watoto wa mjini wengi wao wanafanya CCM ibaki nyuma kama ilivyo kama mikoa yote inayopakana na bahari ya hindi ukiondoa dar es salaam

Na watoto wengi wa mjini ni waumini wa "proud to be" so hata wakielimika vipi elimu huwa haikamati kichwani vizuri

Watoto wa mjini ndio zao. Ujanja mwingi.
Hata leo unakuta mtu hana elimu ya maana lakini wanaomtumikia ni maelfu ya wenye Elimu kubwakubwa
 
Kwema Wakuu!

Kauli zinazotolewa na viongozi mbalimbali wakijitamba kuwa wao ni watoto wa mjini, wengine wakisema wamezaliwa Kariakoo, wengine, Ocean road, wengine mnazi mmoja, wengine Kinondoni basi ilimradi kila mmoja ajitutumue. Ndio ukweli huo. Kauli hiyo inamaana kubwa sana. Watoto wa Mzizima, bandari salama naam ndio Dar es salaam. Ndio msingi mkuu wa chama cha CCM ambapo kilikuwa Mjukuu wa TAA kisha Babaake ni TANU.

Watoto wa mjini wenye chama chake Vs walugaluga walioalikwa lakini nao hujiona chama ni chao.

Ngoja tuone.

Nawatakia Sabato Njema
Uchaguzi ukifanyika watafurahishwa ,zama zimebadilika sana, mda ni mwalim mzuri
 
Watoto wa Mzizima chama chao ndio kiliibuka kidedea kuletea uhuru Tanganyika. Kwamba wao ndio waliwazidi ujanja vyama vingine ikiwemo vilivyokuwa vya walugaluga
Hii nyika haikustahili kupewa uhuru wa bendera mapema ile "watoto wa mzizima" na washirika wao wa kil-lugaluga walivyoingizwa kingi na mwingereza kukubali tarehe ile ya Dec 9, 1961. Hivi mnajua kwamba Januari 1962 mishahara ya watumishi ilikua hakuna? Alikopwa nani? Mwingereza huyo huyo na kwa masharti.
Yule mkweli aliwaambia .... baada ya Waingereza kuiba sana Tanganyika bila kufanya lolote lile (infrastructure alijenga Jarumani) wangebakia na kujenga institutions kwanza ... n.k. Matokeo yake na hadi leo 'waswahili' humnyooshea kidole yule mchumi kiwango cha uzamili (London School of Economics na Cambridge) ati kwamba ... bla bla .. bla! Matokeo yake sasa ndo hayoo .... mwenye macho na atazame
 
Hii nyika haikustahili kupewa uhuru wa bendera mapema ile "watoto wa mzizima" na washirika wao wa kil-lugaluga walivyoingizwa kingi na mwingereza kukubali tarehe ile ya Dec 9, 1961. Hivi mnajua kwamba Januari 1962 mishahara ya watumishi ilikua hakuna? Alikopwa nani? Mwingereza huyo huyo na kwa masharti.
Yule mkweli aliwaambia .... baada ya Waingereza kuiba sana Tanganyika bila kufanya lolote lile (infrastructure alijenga Jarumani) wangebakia na kujenga institutions kwanza ... n.k. Matokeo yake na hadi leo 'waswahili' humnyooshea kidole yule mchumi kiwango cha uzamili (London School of Economics na Cambridge) ati kwamba ... bla bla .. bla! Matokeo yake sasa ndo hayoo .... mwenye macho na atazame

Umeongea jambo ambalo sijawahi kulisoma wala kufundishwa shuleni
 
Back
Top Bottom