stonecutter
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 1,724
- 2,584
Aiseeee! tumeanza kujisifia mahali tulipozaliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale wa mbwinde mjue CCM siyo yenu,tulipokuwa tunasema CCM ina wenyewe sasa hao ndiyo wenyewe.Aiseeee! tumeanza kujisifia mahali tulipozaliwa.
Hatukuwa tunalijua hili. Tunawashukuru sana kwa kutufumbua macho.Wale wa mbwinde mjue CCM siyo yenu,tulipokuwa tunasema CCM ina wenyewe sasa hao ndiyo wenyewe.
Aiseeee! tumeanza kujisifia mahali tulipozaliwa.
Watu wakikosa hoja za kujisifu kwa jamii, watatumia hoja za dini, kabila na makazi yao waliyozaliwa
Ila itabaki kuwa PCM ameijenga heshima mtaani kuliko mwenezi yoyote ninayomjua tangu kuanza kwa siasa za vyama vingi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hizi lugha za watoto wa mjini na wa vijijini ni tambo tu na maneno kama yanayoandikwa kwenye kanga.
Kimsingi uongozi wa CCM haupatikani kwa kuzaliwa mjini au kijijini (walugaluga).
Hata hivyo, tukilinganisha wanaoitwa watoto wa kuzaliwa vijijini (walugaluga) na wa mjini, zaidi ni hao walugaluga kwa sababu wana uzoefu wa kijijini na mjini wakati wale wa mjini hawajui kijijini. Uthibitisho upo wazi (walugaluga wakipata uongozi huwapeleka puta wa mjini mpaka wanaomba po).
Utani wa jadi tu.
Tanzania ni kijiji tu. Sema wanakijiji wa DAR wamewazidi ujanja wanakijiji wa XXX.Kwema Wakuu!
Kauli zinazotolewa na viongozi mbalimbali wakijitamba kuwa wao ni watoto wa mjini, wengine wakisema wamezaliwa Kariakoo, wengine, Ocean road, wengine mnazi mmoja, wengine Kinondoni basi ilimradi kila mmoja ajitutumue. Ndio ukweli huo. Kauli hiyo inamaana kubwa sana. Watoto wa Mzizima, bandari salama naam ndio Dar es salaam. Ndio msingi mkuu wa chama cha CCM ambapo kilikuwa Mjukuu wa TAA kisha Babaake ni TANU.
Watoto wa mjini wenye chama chake Vs walugaluga walioalikwa lakini nao hujiona chama ni chao.
Ngoja tuone.
Nawatakia Sabato Njema
Ila chama hakijawahi kuongozwa na mtoto wa mjini wa Kariakoo wala ocean road wala hatujahi kuwa na hata waziri mkuu mtoto wa Kariako wala ocean road na sidhani hata kama tuna waziri.Kwema Wakuu!
Kauli zinazotolewa na viongozi mbalimbali wakijitamba kuwa wao ni watoto wa mjini, wengine wakisema wamezaliwa Kariakoo, wengine, Ocean road, wengine mnazi mmoja, wengine Kinondoni basi ilimradi kila mmoja ajitutumue. Ndio ukweli huo. Kauli hiyo inamaana kubwa sana. Watoto wa Mzizima, bandari salama naam ndio Dar es salaam. Ndio msingi mkuu wa chama cha CCM ambapo kilikuwa Mjukuu wa TAA kisha Babaake ni TANU.
Watoto wa mjini wenye chama chake Vs walugaluga walioalikwa lakini nao hujiona chama ni chao.
Ngoja tuone.
Nawatakia Sabato Njema
Tanzania ni kijiji tu. Sema wanakijiji wa DAR wamewazidi ujanja wanakijiji wa XXX.
Narudia Tanzania hamna mji ni vijiji. Sema, majogoo wa Kijiji XXX hayawiki Dar.😀
Wajanja wanapatikana mjini tuu Mkuu.
Ingawaje kijijini yapo majogoo ambayo mjini hayawiki