4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
PumbavuWalugaluga ndio huwa na hasira za kijinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PumbavuWalugaluga ndio huwa na hasira za kijinga.
Pumbavu
View attachment 2955415
Hapo unaona kijiwe cha Gahawa ?; au chochote kinachoonyesha Umjini ?
Thus hapana CCM sio Chama cha watu wa Mijini..., Chama cha Majambazi / Matapeli Maybe sabubu kinachofanyika ni ulaghai kwa peasants and workers
Duh...!, haya mambo ya kuanza kuitana Walugaluga...Kwema Wakuu!
Watoto wa Mzizima, bandari salama naam ndio Dar es salaam. Ndio msingi mkuu wa chama cha CCM ambapo kilikuwa Mjukuu wa TAA kisha Babaake ni TANU.
Watoto wa mjini wenye chama chake Vs walugaluga walioalikwa lakini nao hujiona chama ni chao.
Ngoja tuone.
Nawatakia Sabato Njema
Kizimkazi ni Tanganyika?Halafu mlalamikaji mkuu utakuta hajalipa kodi ya nyumba ada za shule ........
Haya mambo ya mpira yamewatoa watu katika kujushughulisha na mambo ya maana.
Tunalipa mamilion ya fedha magoli lakini hapo hapo watoto hawana madawati.
Aliyewaloga watanganyika kesha kufa.
Duh...!, haya mambo ya kuanza kuitana Walugaluga...
P
Yanatafakarisha sana. Nashangaa wateule wapya wote wanajitanabahisha kama "watoto wa mjini" kwamba wa nyuma yao (mwenezi) alikua mluga luga ? Au ummjini wao wanawatambia wapinzani?Duh...!, haya mambo ya kuanza kuitana Walugaluga...
P
Kwahio sababu ugali ni mchanganyiko wa Unga na Maji..., Basi ugali sio Ugali bali ni Unga na Maji ?Babu yake CCM ambaye ni TAA na Babaake ambaye ni TANU wote ni watoto wa Mjini
Wakati wananunua magoli,hao hao wanauza Bandari kwa ndugui zao waaarabu.Miafrika mkija kushtuka nchi imeshauzwa siku nyingi.Michezo pia ni ajira na inafanywa na watanzania wenzako
Wakati wananunua magoli,hao hao wanauza Bandari kwa ndugui zao waaarabu.Miafrika mkija kushtuka nchi imeshauzwa siku nyingi.
Tuache kukimbizana na masuala madogo madogo ambayo hayana athari kubwa kwa vizazi vya sasa na baadae.Tujikite katika kutazama kwa kina maslahi ya nchi kama vile Misitu yetu,Ardhi yetu,Bandari zetu na Rasilimali zetu.Tufanyaje mkuu?
Kutokana na namna upembuzi wowote wa yale yalojiri miaka ile, kwa maana hostoria yake na haya tunayopitila leo ni kwamba ukweli unabakia pale pale kuhusu dhana ya "UONGOZI". Hatutatoboa milele chini ya UONGOZI usiofaa. Binafsi naweza kukiri kwamba "WATO WA MJINI' hawafai kumilikishwa mustakabali wa nyika yoyote ile. Mtu hana hata chembe ya moral outhority halafu amwongoze nani?Umeongea jambo ambalo sijawahi kulisoma wala kufundishwa shuleni
Mkuu nilikuwa busy na Simba na Yanga , naomba weka nyama kidogo ya zile 5Ws ili nami nipate kuelewa.Ila kauli za Jana alooo.. mara watoto wa kariakoo.. mara watoto wa ocean road
-mnapigwa tu, kanya boya wa mjini wa mjini, wa shamba wa shamba tu,Uchaguzi ukifanyika watafurahishwa ,zama zimebadilika sana, mda ni mwalim mzuri
Yaani ni purukushani sasa shida ukiaminiwa na wanakijiji ni shida sana kila kijiwe nikipita lazima niitwe ili nifanye clarification.Halafu mlalamikaji mkuu utakuta hajalipa kodi ya nyumba ada za shule ........
Haya mambo ya mpira yamewatoa watu katika kujushughulisha na mambo ya maana.
Tunalipa mamilion ya fedha magoli lakini hapo hapo watoto hawana madawati.
Aliyewaloga watanganyika kesha kufa.
Hii lugha utoto wa mjini na kuitana walugaluga ni dongo kwa mwenezi aliyemtangulia huyu 'mtoto wa mjini' ila inafikirisha sana watu kubaguana kwa ulugaluga na utoto wa mjini haina afya hata kidogo.Duh...!, haya mambo ya kuanza kuitana Walugaluga...
P
Alaa kumbe !!!Hii nyika haikustahili kupewa uhuru wa bendera mapema ile "watoto wa mzizima" na washirika wao wa kil-lugaluga walivyoingizwa kingi na mwingereza kukubali tarehe ile ya Dec 9, 1961. Hivi mnajua kwamba Januari 1962 mishahara ya watumishi ilikua hakuna? Alikopwa nani? Mwingereza huyo huyo na kwa masharti.
Yule mkweli aliwaambia .... baada ya Waingereza kuiba sana Tanganyika bila kufanya lolote lile (infrastructure alijenga Jarumani) wangebakia na kujenga institutions kwanza ... n.k. Matokeo yake na hadi leo 'waswahili' humnyooshea kidole yule mchumi kiwango cha uzamili (London School of Economics na Cambridge) ati kwamba ... bla bla .. bla! Matokeo yake sasa ndo hayoo .... mwenye macho na atazame