Kapata story so akatutemea na ccmshua
mshua wako kwani alikuwepo au naye kahadithiwa?? mshua wako muongo huyo
Sina tatizo na hilo mkuu ila bado hujajibu swali la msingi sawa ni Jew je ni mweusi ???Einstein ni Jew na picha yake halisi ipo
Hakuna picha halisi cleopatra
Na kibaya wanamsadifu kama white wakati wamisri wa zamani walikuwa Black
Kapata story so akatutemea na cc
Ndo mwendelezo
Basi wamweke huyo wa nmb goole
Na huyo aliekuwepo magomeni ili vizazi vijavyo vijiue kulikuwa na pini kali tz.
Mkuu nakuambia huyo mtoto chini ya jua hili hakunagaSema hujawahi kuona huko mwanza, usiseme duniani umefika venezuela ww? Hapo rwanda tu kwa kagame ukifika utachanganyikiwa
Tusibishane kuona ni kuamini, labda ww huyo ndio mzuri kuliko wote kati ya uliowahi kuwaona huwezi kusema hakuna kama yeye duniani wakati wengine hujawaonaMkuu nakuambia huyo mtoto chini ya jua hili hakunaga
Picha yake plzzzz.....Hakika Creopatra aliumbika
Ukweli utabaki kuwa ukweli
Hata na nyimbo aliimbiwa.
Wafalme wa nji mbali mbali walikwemda kumuona malkia Creopata mm nimeadithiwa na mshua.
Teh teh naona dalili ya mtongozano hapoNMB, tawi gani Mkuu?
Na mshua alienda?Hakika Creopatra aliumbika
Ukweli utabaki kuwa ukweli
Hata na nyimbo aliimbiwa.
Wafalme wa nji mbali mbali walikwemda kumuona malkia Creopata mm nimeadithiwa na mshua.
Hiyo picha ya kuchora tu ingekuwa live ungekubaliAna uzuri gani huyu
Hahaha chiziii weweMzuri kiaje? Alikuwa anakunya half cake?
Kuna simulizi nyingi za zamani ambazo zinamtaja Cleopatra ambaye alikuwa malkia wa Misri enzi hizo kuwa ndiye mwanamke mzuri aliyewahi kuishi duniani. Je kuna ukweli wa habari hii?
Kuna mmoja mtoto wa kihaya miaka ya 80, 90 alikuwa anaitwa JENI alitungiwa nyimbo sana nasikia alikuwa anakojoa soda.Mzuri kiaje? Alikuwa anakunya half cake?