Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu aliitwa absalom ndo anatajwa kua ni shida kuliko sisi kina baba ubayaMwanaume mzuri kuliko wote ni nabii yusuph.
Mwanamke mzuri kuliko wote ni mjukuu wake nabii yusuph.jina lake rahma kama ntakuwa sijakosea.
Mkuu huna picha yake tujionee urembo wake uliotukuka
What if your wrong??and they are right??Inasemekana picha zote zinazosemekana ni za cleopatra mitandaoni sio yeye na wala hakuna anayejua cleopatra alikua anaonekanaje, Ila kutona na michoro ya sarafu iliyopatikana na kwa historia inasema cleopatra alikua wa kawaida sana na hafananii huo uzuri wanaompa
Kuna Kileopatla mwingine anatudunga Chibuku DDC Kariakoo. Sura hamna kitu lakini chura mhn we acha tu
Marc Anthony huyu ni yule aliedate JLo?