Hii ingekuwa poa sana. Uko kwenye gari unaelekea dodoma umefika moro unasikia umetenguliwa aiyeteuliwa yuko dar. dereva anakuteremsha unaramba basi gari linarudi dsm.Pale Ikulu Mwinyi alipovunja Baraza Mawaziri waliondoka kwa miguu Baada ya kukuta Magari hayapo πππ
Kweli kabisa. Si unaona wanavyo hangaika saahiviIla CCM wanajua kucheza na akili za wananchi wao sanaaaa........
Wanaodhani mheshimiwa katumbuliwa kweli, wachunguzwe utimamu wa akili.
Sinema. Sinema. Sinema.
Unapo sema sanaa unamaanisha nini? Kwamba bado ni mawaziri back stage auIla CCM wanajua kucheza na akili za wananchi wao sanaaaa........
Iko hivyo,,waziri akishuka wanatoa namba za VIP na kuweka STK,,Hata majaji hivyo hivyoKumbe madereva huwa wana number plates mfukoni
Inasikitisha.......!Hizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza
Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini
Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM
Je ni Kweli?
Kwako Maranja wa Chadema X
Asante mkuu, sikulijua hiloIko hivyo,,waziri akishuka wanatoa namba za VIP na kuweka STK,,Hata majaji hivyo hivyo
Kumbe hujui mambo ya Itifaki ππKumbe madereva huwa wana number plates mfukoni
Huwezi kujua kila kitu bossKumbe hujui mambo ya Itifaki ππ
Nimeipenda hiiHuwezi kujua kila kitu boss
Wala sio ujinga
Usijali bwashee πHuwezi kujua kila kitu boss
Wala sio ujinga
Kashai oyeeee!!!Hizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza
Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini
Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM
Je ni Kweli?
Kwako Maranja wa Chadema X
Story za vijiweni tu hizo, anachoweza kufanya dereva ni kubadilisha plate number, siyo kumuachaHizi taarifa zimezagaa huko mtandaoni X na kwa sababu Nape kafunga akaunti yake imeshindikana kumuuliza
Inadaiwa mara Baada ya kupata taarifa kuwa Waziri Nape ametumbuliwa Dereva wa Serikali anayemwendesha alichomoa plate number za Waziri na kuweka STK kisha akaondoa gari kwa kasi na kumuacha Nape ukumbini
Nape alikuwa kwenye sikukuu ya kutoa Tuzo iliyoandaliwa na E FM
Je ni Kweli?
Kwako Maranja wa Chadema X
Huo ndio utaratibu ulivyo ndio maana mara nyingi teuzi wanafanya usiku. Mara baada ya kuteuliwa kwa kiongozi mpya na mwingine kutenguliwa, Dereva anatakiwa amtafute na aripoti kwa mteuliwa mpya.Joni, kwa taratibu za kiutumishi na nidhamu, huyo dereva kama kweli kafanya hivyo, kakosea sana kumuacha Nape, hilo ni kosa na dereva anaweza poteza kazi yake. Dereva hata kama boss wake katumbuliwa, inafaa amchukue na kumrudisha hadi nyumbani au ofisini kwake, kumbuka Nape bado hajakabidhi ofisi yake kwa Waziri mpya wakati tu ametumbuliwa, pia katika gari unaweza kuta kuna vitu vidogo vidogo vya Nape, mfano laptop au simu au nyaraka zake au nguo au hata kibegi chake, hivyo dereva kama kamuacha ni kosa.
Yeah! Coz wahuni wameondolewa meza kuuWallah Kelele ni nyingi juu ya Nape na J makamba. Jf imechafuka juu yao
π€£Watajuana wenyewe
Anabadilisha plate namba kutoka wapi? Dereva anatakiwa ampakie Waziri(CHEO) na sio dereva binafsi wa Nape. Hayo ya kubadilisha oale namba ni mahusiano tu.Story za vijiweni tu hizo, anachoweza kufanya dereva ni kubadilisha plate number, siyo kumuacha