Ni kweli Dereva alimuacha Nape akiwa Ukumbini Mlimani City baada ya kupata taarifa bosi wake ametumbuliwa?

Yaani alitoka baruti kama Ngiri mkia juu kamuona simba
 
Watanzania ni wakarimu sana, namna pekee dereva anaweza muacha Nape (kama kweli alimuacha) itakuwa hawakuwa na mahusiano mazuri ya kazini.
Huwa wanapigiwa simu kufanya hivyo na ukikiuka na wewe waweza kupoteza ajira, huwa simchezo ukishatenguliwa, na dereva anaweza kukuvimbia hauna la kumfanya.
 
Huwa wanapigiwa simu kufanya hivyo na ukikiuka na wewe waweza kupoteza ajira, huwa simchezo ukishatenguliwa, na dereva anaweza kukuvimbia hauna la kumfanya.
Sahihi

Tena mara ingine dereva huwa na taarifa kabla ya bosi kutenguliwa kuwa ukimshusha tu kwenye mkutano au kikao rudisha gari wizarani haraka au kwa ofisi ya mkuu wa mkoa au wilaya chapchap na hatakiwi kuhoji au hata kupaki serikali ya mtaa au ofisi ya CCM au anaambiwa lock milango potea akija hakuti dereva akitoka abaki kupiga miyowe kuwa dereva Simuoni mshenzi huyu dereva
 
Hapana huu ni uongo
u
 

Lile robot litakuwa lilimbeba. Maana ndio akili mnembe aliyokuwa anaitumia 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…