Ed edd n eddy
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 212
- 270
Okay sisemi kama anakula unga ila hiyo sababu uliyoitoa ndio sababu kuu inayowafanya wasanii kula unga wa cocaine.Cocaine ni stimulant nzuri sana na inakufanya uwe na nguvu za ajabu ndio maana utakuta huu unga unatumika sana kwenye party za wazungu unasniff kidogo unaget high na nguvu unaakesha usiku mzima.Mwamba anafanya show kwa masaa mengi kuliko msanii yoyote Tena mfululizo mpaka kuna wakati Uongozi wa Wasafi ukataka umtafutie daktari leo useme anatumia ngada me nakuelewaje alafu msemaji wa hiyo taarifa ni Mange ambaye Inajulikana wazi ana chiki binafsi na Diamond
Cocaine,mirungi,exctacy(molly) aina hizi za madawa zipo kundi moja la stimulants