THE SHADOW ONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,201
- 1,974
Industry yetu haijakaa vizuri Naijaa muziki wao.... uko mbali sana. Lisemwalo lipo !!Yani wanaija wanafanya mambo makubwa na hawapigani mafumbo ya hivi. Nahisi muda mwingine sisi ni kituko mbele ya watu wengine.
Ile ya Harmonize huitaji kuwa na akili kujua kamlenga nani. Actually hata mwendawazimu anajua.
Harmonize anatambua vizuri asilimia kubwa ya mashabiki wake ni wa mkopo kutoka kwa Ally kibaAcheni kumjaza uyo kiba
JeshiiiNa wewe ni nani?
Sarah + JembeSio 600M tu bali ni 688M
Ndio kishakula.It depends
Kuna jambo ujaelewa mkuu, ushindani wa Ally Kiba na Diamond haumnufaishi lolote Diamond kwa sasa,Kimtizamo naona mashabiki wa Diamond wanaona bora ashindanishwe na Ally kuliko Harmomize .Nachokiona hapa inawezekana diamond anapenda kuona ushindani ule wa yeye na ali kina ukiendelea kuja kwa harmo anaonekana kuharibu soko la biashara ya muziki tayari Kuna mgawanyiko wa wamashabiki diamond anatumia wapambe wake kumshusha harmonize
Dah kama Sky Walker vile!!Hongera mkuuHarmonize kipindi anakaribia kuondoka WCB alidhani yeye ndiye anayeenda kuwa namba moja yani atamfunika bossi wake, sasa baada ya kutoka ndio akakutana na uhalisia ulivyo. Uthibitisho wa hili ni namna ya utoaji wa nyimbo pasipo na mpangilio unaoeleweka na namna anavyosign wasanii hovyo hovyo inaonyesha dhahiri ni frustration ya kutaka kumpindua diamond.
Kwenye moja ya interviews alizofanya Salam sk aliwahi kuongelea kuhusu swala la harmonize
Kwani kuna sehemu nimemuongelea Diamond anatumia nini ?Ok unauhakika gani kwamba dimond Hasniff unga ila anatumia dawa kama unazotaka wewe!?
Ukweli upi uweke hapa hadharani, Andunje mmakonde urefu kidampa na unfuchiro plus. Anaandika kama bataKiukweli Mondi anatumia Unga, inaumiza lakini ndio ukweli sijui kwanini hawajifunzi kwa wenzao, hakika umaarufu una gharama sana.
We ushawahi kumuona akitumia hiyo mihadarati??Kwavile ananunua kwa pesa yake ndio iwe halali kwake kama kioo cha jamii kutumia? Mkuu unajua Diamond anafataliwa na idadi ya watu wa ngapi na katika hao vijana na watoto ni wangapi ambao wanaweza kuwa influenced na lifestyle yake?
Martin Luther aliwahi kusema hivi "Our lives begin to end the day we become silent about things that matter.”
Dogo anajistukia sana aisee.Nimejiuliza niko slow au vipi, maana sijaona msg ya diamond kama inamsema huyo konde direct ila huyo konde kamwagika povu lote lisilo na umuhimu.a whole message of nothing na kuandika hajui. Jamaa mropokaji toka yuko wcb.
Nina wasiwasi kama hata alilipa mil 600 kweli.
Hata rose mhando na r.c. walianza kwa kukana ikawa kweli, na yule mamamangu mamanguu wa kizazi kile cha bange naye aliaharibikia nairobiYah wengi ni maigizo yani life style yao inawaponza maana mwisho wa siku hawataki kukubaliana na hali ndo kujiingiza kwny kutumia dawa za kulevya au kuvuta mabangi
Angalia picha za Diamond akiwa SA amekonda balaa labda kuna ukweli.Hata rose mhando na r.c. walianza kwa kukana ikawa kweli, na yule mamamangu mamanguu wa kizazi kile cha bange naye aliaharibikia nairobi