Ni kweli Diamond Platnumz anatumia unga/madawa ya kulevya?

Ni kweli Diamond Platnumz anatumia unga/madawa ya kulevya?

Yani wanaija wanafanya mambo makubwa na hawapigani mafumbo ya hivi. Nahisi muda mwingine sisi ni kituko mbele ya watu wengine.
Industry yetu haijakaa vizuri Naijaa muziki wao.... uko mbali sana. Lisemwalo lipo !!
 
Nachokiona hapa inawezekana Diamond anapenda kuona ushindani ule wa yeye na ali kina ukiendelea kuja kwa harmo anaonekana kuharibu soko la biashara ya muziki tayari Kuna mgawanyiko wa wamashabiki diamond anatumia wapambe wake kumshusha harmonize
 
Nachokiona hapa inawezekana diamond anapenda kuona ushindani ule wa yeye na ali kina ukiendelea kuja kwa harmo anaonekana kuharibu soko la biashara ya muziki tayari Kuna mgawanyiko wa wamashabiki diamond anatumia wapambe wake kumshusha harmonize
Kuna jambo ujaelewa mkuu, ushindani wa Ally Kiba na Diamond haumnufaishi lolote Diamond kwa sasa,Kimtizamo naona mashabiki wa Diamond wanaona bora ashindanishwe na Ally kuliko Harmomize .
 
Wamakonde - ndani ntiti nje ntiti,,ukisimama nchale,ukikimbia nchale,,,Yani wamakonde ni wanafiki na wazandiki kiwango Cha standard gauge,kitu wanachokiweza ni kuchonga vinyago.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Harmonize kipindi anakaribia kuondoka WCB alidhani yeye ndiye anayeenda kuwa namba moja yani atamfunika bossi wake, sasa baada ya kutoka ndio akakutana na uhalisia ulivyo. Uthibitisho wa hili ni namna ya utoaji wa nyimbo pasipo na mpangilio unaoeleweka na namna anavyosign wasanii hovyo hovyo inaonyesha dhahiri ni frustration ya kutaka kumpindua diamond.

Kwenye moja ya interviews alizofanya Salam sk aliwahi kuongelea kuhusu swala la harmonize
Dah kama Sky Walker vile!!Hongera mkuu
 
Ok unauhakika gani kwamba dimond Hasniff unga ila anatumia dawa kama unazotaka wewe!?
Kwani kuna sehemu nimemuongelea Diamond anatumia nini ?

Mimi nimeelezea maana ya Protein powder, nimemjibu aliyekuwa anauliza kama wanaotumia protein powder na unga (cocaine) wapo sawa ?

Au umekurupuka tu na kurukia jibu langu ?
 
Kwavile ananunua kwa pesa yake ndio iwe halali kwake kama kioo cha jamii kutumia? Mkuu unajua Diamond anafataliwa na idadi ya watu wa ngapi na katika hao vijana na watoto ni wangapi ambao wanaweza kuwa influenced na lifestyle yake?

Martin Luther aliwahi kusema hivi "Our lives begin to end the day we become silent about things that matter.”
We ushawahi kumuona akitumia hiyo mihadarati??

Tatizo wabongo mnapenda kumpaka mtu aifa mbaya mbaya tu hata kama ana nzuri kibao. Na hao watu wengine wanakuaje influenced kwa tetesi tu kua anatumia wakati hata hawajawahi kumuona akitumia au yeye kusema anatumia.??
 
Nimejiuliza niko slow au vipi, maana sijaona msg ya diamond kama inamsema huyo konde direct ila huyo konde kamwagika povu lote lisilo na umuhimu.a whole message of nothing na kuandika hajui. Jamaa mropokaji toka yuko wcb.
Nina wasiwasi kama hata alilipa mil 600 kweli.
Dogo anajistukia sana aisee.
 
Yah wengi ni maigizo yani life style yao inawaponza maana mwisho wa siku hawataki kukubaliana na hali ndo kujiingiza kwny kutumia dawa za kulevya au kuvuta mabangi
Hata rose mhando na r.c. walianza kwa kukana ikawa kweli, na yule mamamangu mamanguu wa kizazi kile cha bange naye aliaharibikia nairobi
 
Back
Top Bottom