Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi wamemchoka wanamuona dogo mshamba mfano juzi alipost na kusema kama wewe umesikiliza album yake na hujaielewa basi wewe ni mzee wa miaka 50 umepitwa na wakati, muda wote anajiita yeye ndie msanii namba 1 Tanzania wengine wamepitwa na wakati, hata wasanii wenzake wamemuona kumbe anaota mapembe alafu ndo kwanza safari inaanza
Hii nchi ina watu ni wapumbavu sijapata kuona ndio Maana The Late Magufuli alikuwa anawapeleka mchaka mchaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
'Mbona da Mange kasema', kwao hiyo inajitosheleza kabisa.
KabisaaaMihadarati ilivyo kama pembe la ng'ombe mwisho wa siku atajulikana nani anatumia.
Majibu yake wont give you a pennyHuu Uzi Niko nao bampa to bampa mpaka tufike hitimisho anatumia au hatumii?
Eti ushahidi wao ni "Da Mange kasema" yaani kama mafala hivi.Uzi wote kmmkee hauna picha ya ushahidi...
Jf ka makolo saasaa
Hamonaiz ana shape njia mpya ya muziki wa vijana , anatakiwa kuungwa mkonoWapi wamemchoka wanamuona dogo mshamba mfano juzi alipost na kusema kama wewe umesikiliza album yake na hujaielewa basi wewe ni mzee wa miaka 50 umepitwa na wakati, muda wote anajiita yeye ndie msanii namba 1 Tanzania wengine wamepitwa na wakati, hata wasanii wenzake wamemuona kumbe anaota mapembe alafu ndo kwanza safari inaanza
Haina tatizo.. sasa unaamua nini?Kwani bangi ina tatizo gani?
Kuna thread ilikuwa Vita ya mashoga sasa imehamia ya unga Sijui kesho tutaamka na kipiHaya wala ngada wameanza kucharuana.
Nchi iko busy hii, hakutakosekana cha kuamka nacho kwakweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kuna thread ilikuwa Vita ya mashoga sasa imehamia ya unga Sijui kesho tutaamka na kipi
Ntaandikia story kwenye blog yangu nivute mpunga mrefu
Duuu ndo wamefika hko ssa hvLeo katika pita pita zangu nimekutana na hii post ya Harmonize akiongelea mtu kutumia madawa ya kulevya na mtu huyu direct ni Dimond. Je kuna ukweli wowote au ni hasira za Harmonize kuambiwa anatumia mihadarati.
Wadau je kuna ukweli wowote kukonda kwa Dimond ni kwa ajli ya ubwiaji?
Hapa duniani hakuna kitu kibaya na chenye nuksi kama kumkataa baba yako au Mlezi wako, tena in public, hata uwe bilionea namba moja Africa.