Ni kweli hali ngumu na umaskini ni fedheha lakini tujiepushe na utajiri wa shortcut, utajuta sana, kafara ni lazima

Ni kweli hali ngumu na umaskini ni fedheha lakini tujiepushe na utajiri wa shortcut, utajuta sana, kafara ni lazima

YANI UMEANDIKA TITTLE KUBWA NKAJUA UNATIRIRIKA HABARI KAMILI KUMBE UNALETA UMBEA HAPA.

KWAHYO UNADHANI SISI HATUWEZI KUJIFANYIA MAAMUZI.


SIJAELEWA KWANINI UMELETA HUU UZI

THIS IS BULLSHIT
Ni wapi nimesema nimeleta huu Uzi ili pimbi kama wewe uelewe.

Ni watu wenye akili tu ndio wanaelewa Uzi huu na siyo matutusa kama wewe.

Shwaini.
 
Wewe umejuaje kua ile ajali haikua ya kawaida? umefanyaje mpaka ukawa na hayo macho ya rohoni na kuyatumia kuona? na mwingine akitaka kua na hayo macho ya rohoni anayapataje?

Huyo Ginimbi angekua masikini ungeamini kua ajali iliyomuua ni ajali ya kawaida?

Tajiri akifa au mtoto wake akifa,utasikia kamtoa kafara ila Masikini akifa au mwanae akifa utasikia Mungu kampenda zaidi!
Bongo pesa ngumu ukiwa nazo tu wanadhani ndumba 😁
 
Kuna mtu mzima anayefuatilia maisha ya watu? una watoto wakubwa ila unaleta mambo za kitoto.

Hizi habari achana nazo kuzishabikia ni kwamba unaamini na wewe sio? we si ndo namba moja mara hamna uchawi ,mara hamna Mungu ...Nin kimekupta?

Na Phd yako sasa sikia wapo madogo wanawin kweny game kwenda huko china wanavuta mizigo wanakuja kuuza ,halafu hawana familia kazi zao ni kudaka wadangaji mitandaoni kwa kujipost na kuonyesha pesa.

Watu wanatafuta pesa na wanapata ,we mtu mzima still anajikongoja na elimu yako ya ugoko ,doubts nyingi tambua akili yako ishalala watu washakuzidi maarifa.
Hivi umekula leo mchana? naona umejaa makasiriko na unaandika pumba tu mpaka unanifananisha Mimi na Kiranga?

Huu ni msimu wa mihogo na inaiva vizuri hebu pita sehemu upate mihogo kwanza utulize njaa ushushie na Pepsi big akili zitakurudia.
 
Sitaki kuandika mengi, tutakwenda kwa lugha ya Picha tu, tuwe makini na watu, ukione Picha kama hizi usitamani haya maisha utapelekwa shimoni.

Nilikuwa na conversation ya kuboost biashara zangu na jamaa Fulani ambaye tumefahiana kama mwaka sasa, nikashauriwa nitambulishwe kwenye brotherhood, kwanza Mimi ukiniambia tu neno brotherhood moja kwa moja nakumbuka filamu ya Nigeria Billionaires club ya Pete Edochie na Madon wenzake.

Nina story ndefu na ya kweli ila nawashauri wote tupambane na umaskini tuvumilie shida zina mwisho Mungu atatufanyia wepesi, hawa jamaa mwisho wa siku huwa wanataka kafara ya damu.
Huyo jamaa ni mganga wa kienyeji
 
😅😅😅😅 ni kweli kuna channel ukipata mbona unazipata hizo chumaaa.. sema kila mtu na siri yake.. sio matajiri wakubwa wote ni wa ndumba.. ila kila mtu ana siri yake
Watu hawataki kukubali ukweli kwamba opportunity za Marekani ndio nchi ya self made Billionaire.

Huku kina sisi kama siyo urithi basi lazima iwe ni ufisadi, occult na dark deals, huwezi kupata clean money hata siku moja.

Nilimsikia Shabiby siku moja akiwadanganya watu siri za utajili wake lakini hakuitaja biashara haramu ya pembe za ndovu ilivyowapa utajiri Waarabu wengi wa mikoani.
 
Sitaki kuandika mengi, tutakwenda kwa lugha ya Picha tu, tuwe makini na watu, ukione Picha kama hizi usitamani haya maisha utapelekwa shimoni.

Nilikuwa na conversation ya kuboost biashara zangu na jamaa Fulani ambaye tumefahiana kama mwaka sasa, nikashauriwa nitambulishwe kwenye brotherhood, kwanza Mimi ukiniambia tu neno brotherhood moja kwa moja nakumbuka filamu ya Nigeria Billionaires club ya Pete Edochie na Madon wenzake.

Nina story ndefu na ya kweli ila nawashauri wote tupambane na umaskini tuvumilie shida zina mwisho Mungu atatufanyia wepesi, hawa jamaa mwisho wa siku huwa wanataka kafara ya damu.
Shida nini Wakuu mbona pic kwangu azionyeshi mnaona nyiny tu.
 
Watu hawataki kukubali ukweli kwamba opportunity za Marekani ndio nchi ya self made Billionaire.

Huku kina sisi kama siyo urithi basi lazima iwe ni ufisadi, occult na dark deals, huwezi kupata clean money hata siku moja.

Nilimsikia Shabiby siku moja akiwadanganya watu siri za utajili wake lakini hakuitaja biashara haramu ya pembe za ndovu ilivyowapa utajiri Waarabu wengi wa mikoani.
Matajiri wetu wengi huwa wanaeleza upande mmoja, upande wa pili wanaficha sana . Shabiby katumia vizuri gairo vizuri sana kumtengenezea pesa kwa njia zote.. hata gold kule juu watu wamekuwa wanajipigia sana..
 
Ndio maana tunaadharisha na kuonya, Mimi nilikuwa na issue zangu zingine kabisa naambiwa nikatambulishwe kwenye brotherhood.

Uzuri haya mambo nayajuwa kitambo na ninaamini hata nipitie magumu kiasi gani lakini yana mwisho, siwezi kujoin brotherhood ya occult powers.

Sasa kwa jinsi hali imekuwa ngumu Nina mashaka sana vijana wengi ni kwamba tu hawana connection za kuwafikia wahusika lakini wakipata access kama Mimi itakuja kuwa ni msiba kwa Taifa.
Tayari huu msiba wa Arusha na Moshi wamekuja kwa kasi
 
Back
Top Bottom