Ni kweli hili shirika wanatoa pesa za bure?

Ni kweli hili shirika wanatoa pesa za bure?

Hakunaga mjanja mjini hapa kila mtu aliyepo town alishawahi pigwa kwa wakati wake usisahau watu laki nne wanaofika kwenye mikesha ya mwamposa kila mwaka kuuziwa maji na mafuta hakunaga mjanja mjini kila mtu analiwa kwa wakati wake
Sio kila mtu amewahi kupigwa. Kuna mambo hayaingii akilini yaani ukianza tu kuelezwa unajua huu ni utapeli tangu mwanzo
 
Sio kila mtu amewahi kupigwa. Kuna mambo hayaingii akilini yaani ukianza tu kuelezwa unajua huu ni utapeli tangu mwanzo
Basi jua hilo tu mjini hapa wanaopigwa ni wengi ndio hivyo asilimia kubwa kila mtu atapigwa kwa wakati wake
 
Nimekutana na hii post kwa mtu wa karibu tunayefahamiana kupewa million Tano kwa kujisajiri kwenye hilo shirika
Post hii

"wengi walighairi ila ni ukweli nilipokea hizi hela kutoka USAID promotion ni halali wala sio mkopo.Unalipa ada kulingana na mchango utakaochagua iwapo uko na hela zinazolingana kuwezesha, nilipokea zangu pia tsh 5,464,000 baada ya kuchagua na kulipa ada tsh 98,999.Jiunge nao kupitia huu mchongo kisha tuma n
Unatangaza kijanja siyo!? Huu ni UTAPELI na unajua vema kuwa ni utapeli ila umetafuta namna ya kuuleta hapa.
 
Mnataka pesa za bure!!
Njooni hapa Mombasa tuwepe kwa Raha zenu.
Njooni tu..
 
Nimekutana na hii post kwa mtu wa karibu tunayefahamiana kupewa million Tano kwa kujisajiri kwenye hilo shirika
Post hii

"wengi walighairi ila ni ukweli nilipokea hizi hela kutoka USAID promotion ni halali wala sio mkopo.Unalipa ada kulingana na mchango utakaochagua iwapo uko na hela zinazolingana kuwezesha, nilipokea zangu pia tsh 5,464,000 baada ya kuchagua na kulipa ada tsh 98,999.Jiunge nao kupitia huu mchongo kisha tuma n
Tapeli hili senge,
Nenda Fb Kuna wajinga wenzio unaweza kuwapata.
 
Ni ngumu sana Ndezi kuisha nchi hii, wapigwe tu
 
Wewe kama wanakusaidia pesa utoe ya nn Tena huu ni utapeli ila kalogo kazuri aisee,,,,, haaaaaaahhaaaa
 
Nimekutana na hii post kwa mtu wa karibu tunayefahamiana kupewa million Tano kwa kujisajiri kwenye hilo shirika
Post hii

"wengi walighairi ila ni ukweli nilipokea hizi hela kutoka USAID promotion ni halali wala sio mkopo.Unalipa ada kulingana na mchango utakaochagua iwapo uko na hela zinazolingana kuwezesha, nilipokea zangu pia tsh 5,464,000 baada ya kuchagua na kulipa ada tsh 98,999.Jiunge nao kupitia huu mchongo kisha tuma n
Tia sasa hiyo 5M yote upate 250M utatupa mrejesho mkuu
 
Nimekutana na hii post kwa mtu wa karibu tunayefahamiana kupewa million Tano kwa kujisajiri kwenye hilo shirika
Post hii

"wengi walighairi ila ni ukweli nilipokea hizi hela kutoka USAID promotion ni halali wala sio mkopo.Unalipa ada kulingana na mchango utakaochagua iwapo uko na hela zinazolingana kuwezesha, nilipokea zangu pia tsh 5,464,000 baada ya kuchagua na kulipa ada tsh 98,999.Jiunge nao kupitia huu mchongo kisha tuma n
Jitahidi pia kuwafundisha watoto wako,maana mimi na wewe tumeshakua wapumbavu-------hakuna pesa ya Bure mtu/taasisi ikupe bila kufanya kazi yeyote ile
 
Achana na hao matapeli. Fanya kazi halali uingize kipato. Ukishaona unaambiwa utaingiza hela kwa kununua uanachama, au kulipa ada anza kukimbia. Huo ni utapeli
 
Wewe kijana uko wapi nije nikuchaleze viboko, Mara ya ngapi hii nikuelekeze?
download (21).jpeg
 
Tunakuwa Kwa kurudi nyuma - hao wengi wanakuwa hacked na account zap ndo hutumika kusambaza hizo taarifa so you need to play smart linapokuja swala la hela au fursa.
 
Jitahidi pia kuwafundisha watoto wako,maana mimi na wewe tumeshakua wapumbavu-------hakuna pesa ya Bure mtu/taasisi ikupe bila kufanya kazi yeyote ile
Hukumbuki kama watu walitajirika kwa pesa za kuokota enzi za uhujumu uchumi wahindi walikuwa wanaficha ela mashambani zingine kwa wafanyakazi wa ndani
😁😁
 
Hivi bado Kuna Vilaza Nchi hii kabisa
Utume Pesa Utumiwe pesa Ya Bure
Kama Yabure kwann utume yako?
Na Mode wanaacha Huu upuuz JF kabisaa
 
Back
Top Bottom