Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
- Thread starter
- #61
Nipo hapa nimekosa sana nimekosa sana😄😄Wewe kijana uko wapi nije nikuchaleze viboko, Mara ya ngapi hii nikuelekeze?
View attachment 3180744
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo hapa nimekosa sana nimekosa sana😄😄Wewe kijana uko wapi nije nikuchaleze viboko, Mara ya ngapi hii nikuelekeze?
View attachment 3180744
Ndio ni kweli, wacheki upate pesa ya christmasNimekutana na hii post kwa mtu wa karibu tunayefahamiana kupewa million Tano kwa kujisajiri kwenye hilo shirika
Post hii
"wengi walighairi ila ni ukweli nilipokea hizi hela kutoka USAID promotion ni halali wala sio mkopo.Unalipa ada kulingana na mchango utakaochagua iwapo uko na hela zinazolingana kuwezesha, nilipokea zangu pia tsh 5,464,000 baada ya kuchagua na kulipa ada tsh 98,999.Jiunge nao kupitia huu mchongo kisha tuma n
Tumefanya naye kazi kwa kipindi kirefu hivyo kwa uaminifu siku Kujua kama Kuna watu wanauwezo waku hack ya mtuAchana nalo,kwni kufahamiana na mtu Ni Nini?
Kwamba mkifahamiana ndo atashindwa kukulaghai??
Be carefull.Nipo hapa nimekosa sana nimekosa sana😄😄
Huyo mtu aidha ni tapeli au account yake ya fb wameidukua vijana wa hovyo from Kenya.Nimepata hilo tangazo kwa mtu tunayefahamiana kabisa yeye ana sema amepata pesa ndio mana nimekuja kuuliza
Niliamka asubuhi kichwa bado pombe hazina nitoka kichwa nikikumbuka usiku nilivyochezea pesa kuwanywesha watu washkaji nimeamka walleti yangu imechakaa nikatakaNdio ni kweli, wacheki upate pesa ya christmas
Sasa huyo mtu mnayefahamiana aliingia kwenye mtego. Kuna links wanakutumia ukijiroga basi wanakuwa na uwezo wa kuendesha social medias zako zote mpaka whatasap zako.Nimepata hilo tangazo kwa mtu tunayefahamiana kabisa yeye ana sema amepata pesa ndio mana nimekuja kuuliza